Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

Serikali ya Tanzania imeshindwa kutafsiri dhana ya Burkina Faso?

Madini adhimu umeongea fikiria Mwigulu anakuja na bajeti 4% inaenda kwenye anasa kama vitafunwa, sherehe, safari nk vitu ambavyo havina tija kwenye ustawi wa taifa letu wala havina msaada wowote afya imekuwa kizungumkuti, ajira nazo. Bado ufahari wa magari zaidi ya 600B zinaenda kwenye manunuzi ya magari ya kifahari
 
Upumbavu ndio shida yetu ya kwanza huku ya pili ikiwa uongozi m'baya

Unaamini eti laana ndo chanzo cha umaskini Africa/Tanzania

After 5 years waangalie wakenya hatua kubwa ya maendeleo watakayokua wamepiga baada ya kutoka kwenye upumbavu na kupinga uongozi m'bovu

Waafrica wangapi wapo huko abroad mfano Obama Kanye West lakini wana maendeleo na Obama aliweza kuongoza taifa kubwa sababu hana upumbavu kichwani na mfumo wa uongozi bora uliopo Marekani,

kama ni laana basi ingewashika ngozi nyeusi wote walio hadi abroad huko!
Ujinga ndiyo shida yetu.
 
Mbunge anatembelea gari ya million 500+ lenye cc 4600 ambalo baada ya miezi kadhaa analibadilisha ananunua jingine.

Mtu anamiliki mansions ughaibuni na hapa nchini. Anamiliki maelfu ya hekari za ardhi. Familia yake haiishi nchini ipo ughaibuni.

Utitiri wa kodi kila kukicha wanabuni mbinu ya kuendelea kukamua walalahoi na bado mikopo wanazidi kukopa. Deni la taifa linakuwa huku wananchi wakizidi kudidimia kwa utitiri wa kodi.

Na bado hapo hapo viongozi wanakuja na kauli za kejeli na dharau kwa wananchi. Hapo hapo kuna raia baadhi wenye mafuvu yasiyokuwa na kitu ndani yanaimba mapambio kama wendawazimu.

This is a shithole of a country.
Na nwingine kichwa chake ni kitupu anakwambia sisi ni maskini sababu tuna laana na sio uongozi m'bovu
 
Kama wataelewa hili watakua wamefanikiwa maana, siasa zimebadilika na umewashauri vyema dunia ya sasa ni ya wananchi waelewa, hivo porojo na blahblah watu wanachoka itafikia hatua hata polisi na majeshi yatawaacha ccm wajipambanie maana hata wao wanaumizwa na ujinga wa wanasiasa wasio wachapakazi
Polisi wa tanzania ni kama tu misukule iliyopewa silaha, haijui ku reason, haina akili kabisa.
 
Mbunge anatembelea gari ya million 500+ lenye cc 4600 ambalo baada ya miezi kadhaa analibadilisha ananunua jingine.

Mtu anamiliki mansions ughaibuni na hapa nchini. Anamiliki maelfu ya hekari za ardhi. Familia yake haiishi nchini ipo ughaibuni.

Utitiri wa kodi kila kukicha wanabuni mbinu ya kuendelea kukamua walalahoi na bado mikopo wanazidi kukopa. Deni la taifa linakuwa huku wananchi wakizidi kudidimia kwa utitiri wa kodi.

Na bado hapo hapo viongozi wanakuja na kauli za kejeli na dharau kwa wananchi. Hapo hapo kuna raia baadhi wenye mafuvu yasiyokuwa na kitu ndani yanaimba mapambio kama wendawazimu.

This is a shithole of a country.
Kama ni lake binafsi sioni tatizo. Tatizo ikiwa ananunuliwa au kukopeshwa na serikali.
 
Hususan kwa watendaji, washauri wa Rais na vyombo vyetu vya intelijensia.

Nchi ndogo za magahribi ya Afrika zimeonesha jinsi Afrika inavyohitaji mabadiliko ya namna tunavyoongoza nchi na kusimamia serikali.

Tanzania ni wakati umefika itazame uhalisia. Ya nchi hizo ndogo ni mfano mzuri sana, na tusidhani hayajafika Afrika Mashariki, yameshafika. Yanasambaa kama moto wa makumbi.

Leo tunashuhudia Kenya hata Polisi na jeshi hawataki kuhusishwa na siasa na uongozi mbovu.

Tutakopa mpaka lini? Tutaendelea na kila kitu cha uongozi kukifanya siasa mpaka lini?

Tumeshuhudia watu kama Makonda wanaondokana na siasa za kulindana na kuingia kwenye uhalisia wa kumtumikia mwananchi. Naona mawaziri wachache sana wameliona hilo, lakini hawaonekani vilivyo na hawatumii media kuonesha dhahiri shahiri kuwa sasa siyo wakati wa siasa, ni wakati wa vitendo.

Tunataka tuone mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wakiondokana na dhanna ya kujitetea na kutetea ujinga, tunataka tuwaone wakitumikia wananchi muda wote.

Serikali iwachane kabisa na anasa za kijinga za magari ya kifahari kwa kila mkuu wa idara mpaka wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya. Hiyo ni dharau kubwa kwa wananchi wanyonge.

Kuna mengi sana ya kurekebisha na waziri wa fedha leo hii anakuja na bajeti ambayo haitekelezeki kwa jinsi fungu kubwa linavyokwenda kwenye matumiazi ya anasa. Anasa ya kwanza inayojionesha wazi wazi ni kwa Mtanzania wa kawaida, ni wakuu wote, kuaniza wa idara mpaka mawaziri kutembelea magari ya anasa ambayo ni mzigo mkubwa kwa nchi ya kimasikini.

Serikali ijirekebishe, tusifikiri sisi ni kisiwa, sisi ni nchi inayopakana na nchi nyingi Afrika. mabadiliko ya mama anayoyataka kwenye R zake nne yawekwe wazi, siyo kutangaza mabadiliko wakati naamini hata mawaziri hawaelewi ni mabadiliko yepi.

Naamini katika watendaji na idara zote za serikali waliyoelewa dhanna ya R nne ni wachache sana. Ofisi ya Rais inayohusika na habari inatakiwa itowe elimu kubwa kwa serikali na wananchi ili wote tuelewe ni kupi, kupatana, kustahamili, kubadilika na kujenga upya kuliko kusudiwa na falsafa ya R nne za mama Samia.

Ukifatilia habari za Burkina Faso kwa sasa, utaona kuwa wanaziishi R nne za mama Samia bila kuwa nazo.
S isi tulionazo tunashindwa kuziishi.
 
Kila siku ninasema hapa huu ukweli kuwa waislamu ndiyo wanao tuaribia taifa wanapo kuwa marais...wakishika nchi hadi watoto wao wanakuwa miungu na mabilionea ...mtizame mkapa ..nyerere na magufuli walipo kuwa viongozi uwezi kusikia kashifa yoyote wala kujiinua kwa watoto wao wala ndugu zao wala wake zao ...leo wake za marais waislamu wametaka wamefanya kutungwe sheria ya wao kulipwa mishahara kama marais ...kuna huyo Haramia wa samia anaitwa abdul ni hatari tupu kwa sasa ni zaidi ya mafirauni 1000
I am muslim. Naafikiana na wewe.
 
Hata ukristo haukatazi mtu kuwa bilionea ...tumia akili kujua nilicho maanisha tatizo lako wewe akili zako ni finyu
Sasa akili zangu wewe zinakuhusu nini?

Au mada hapa ni akili zangu?
 
Back
Top Bottom