Serikali ya Tanzania kuajiri watumishi 44,096 na kupandisha madaraja watumishi 92, 619

Serikali ya Tanzania kuajiri watumishi 44,096 na kupandisha madaraja watumishi 92, 619

Ndugu hivi uko tanzania ya wapi hiyo au bado uko fm6

Udsm Baed tu ni zaidi ya 1000
Bado Bed kama 300
Bado wale wa science Conas 300
Bado coed special need kama 300

Haya Bado branches za udsm Duce na Muce chuo kizima kinatoa degree za education tu

Nenda udom ndio inaongoza kwa udahili utachoka asee hao 1200 ni udom pekee inatema na zaidi,

Hapo sijagusia vyuo vingine vya kati na waajiriwa wengi wanatoka humo.
Huyo jamaa nahisi yupo Lushoto huko chuo cha mahakimu 😂😂😂
 
we

wewe ndo muongo, nimemaliza UDSM 2015 namba yangu 01366 surname yangu inaanza na M , rafiki yangu surname yake A inaanza reg no yake ni 00730 sasa mwenye surname inayoanza na na Z atakuwa na reg no ngapi? Mahaba yakizid hupunguza uwezo wa kufiri, hicho ni chuo kimoja tu je hapa nchini kuna vyuo vingapi?
Kashiba uji huyo 😂😂😂 hizo ajira ni sawa na kijiko cha sukari kwenye pipa la maji
 
Wewe kwa akili ulionayo unaona graduates ni walimu tu?
Kwa chuo nilichosoma mimi graduates walikuwa mikondo 5! Uhasibu, Sheria, Masoko, Uchumi, Ugavi na Rasilimali watu! Hao ni undergraduates tu! Sijazungumzia diploma wala, certificates ambao ni wengi pia!

Kwa undergraduates tu uki combine figure wanaweza kufika kati ya 900-1000 kama wastani! Sasa zidisha hio figure mara 5 uone itakupaje? Likely 4500 kila baada ya miaka mitano na wanaoajiriwa na kujiajiri hawafiki 500 katika hilo kundi lote!

Vyuo vikuu viko vingapi bongo? Mzumbe,Sua, Tumaini, UDSM, St.Joseph,IFM,CBE, UDOM hivyo ni baadhi tu! Nafikiri vinafika hata 10 au zaidi! Kwa mwaka tu ni 45,000 graduates!

Kwa miaka mitano unazungumzia 225,000 graduates! Kuchekelea ajira 40,000 haingii akilini
Mkuu mimi nimesoma Afya, nimehitimu 2016. Ajira nyingi zilitoka 2018 ambazo zilikuwa 8,000 tu.

Kabla ya hapo Afya zilitoka ajira 2,000 ( 2017 ), na Ajira 555 ( 2019 ).

Kwahiyo kwa ajira hizo 40,000 ni nyingi sana kulinganisha na ajira zote zilizotoka 2016.
 
Mkuu mimi nimesoma Afya, nimehitimu 2016. Ajira nyingi zilitoka 2018 ambazo zilikuwa 8,000 tu.

Kabla ya hapo Afya zilitoka ajira 2,000 ( 2017 ), na Ajira 555 ( 2019 ).

Kwahiyo kwa ajira hizo 40,000 ni nyingi sana kulinganisha na ajira zote zilizotoka 2016.
Ila hazita cover watu waliopo mtaani hata kwa 50% tu, bado kilio kipo pale pale yani!
 
Ila hazita cover watu waliopo mtaani hata kwa 50% tu, bado kilio kipo pale pale yani!
Huwezi kuajiri kila mtu na siyo kila mtu anataka hizo ajira za LAKI 5 kwa mwezi.

Jambo la msingi ni kupambana kupunguza unemployment rate kwa kila iwezekanavyo kupitia serikali yenyewe na sekta binafsi.
 
Huwezi kuajiri kila mtu na siyo kila mtu anataka hizo ajira za LAKI 5 kwa mwezi.

Jambo la msingi ni kupambana kupunguza unemployment rate kwa kila iwezekanavyo kupitia serikali yenyewe na sekta binafsi.
Sawa chief
 
Sasa wahakikishe hakuna mambo ya wenye vyeti feki
 
uongo vyuo vyetu vyote ukijumlisha vinatoa graduate 1200 tu wa ualimu kwa mwaka ukipiga kwa miaka 20 nyuma ni elfu 24 tu!! hiyo laki tano umeitoa wapi?
Umepata wapi data. Kuna graduates, kuna diploma, kuna certificate.... Vyuo vya ualimu vipo vingapi halafu useme 1200
 
Dah cjui unawaza nn ndugu..kwa hio serikali isifanye chochote ..maaana kwa mtazamo wako wakiajir itakua wanataka kuharaib legacy ya magu hata wakijenga miundo mbinu bhc itakua wanataka kuharib legacy ..kwa maana hio nchi isifanye jambo lolote la kimaendeleo ili tuzid kumkumbuka huyo magu
Maana yake wakiruhusu demokrasia legacy inabomolewa?
 
Mh. Hakimu unaweza kutuambia kuwa...
Je, watu waliosomea ualimu wanaweza kuajiriwa katika sekta gani binafsi tofauti na shule za binafsi licha ya kuwa waajiri katika shule hizi wanawasimanga walimu wahanga wa ajira? Na ni kwa kiwango gani sekta binafsi inaweza kutoa ajira kwa walimu?...
Je, ni maeneo gani mtu aliyesomea ualimu yaani MWALIMU anaweza kujiajiri tofauti na kufundisha?
.
ANGALIZO: Hadhi ya walimu iheshimiwe kwani kuna watu walioshiba hadi kusahau wengine hawakawii kuwaambia walimu kuwa wasitegemee serikali iwaajiri kwani kuna fursa nyingi za kujiajiri hata kuokota chupa za plastic, vyuma chakavu, n.k kuwa nazo ni fursa tosha ambazo mwalimu anaweza kuzitumia kujiingizia kipato!
Narudia hayo ni maneno/mawazo ya watu walioshiba na kuwasahau wenye njaa!
mi ni mwalimu niliyekosa ajira kwa miaka 6, si nikajaribu kufungua day care januari hii, nikakutana na fungia fungia day care, pia serikali ikatangaza kufungua day care zake. Nikawa najiuliza serikal si wanasema tujiajir? Sasa mi mwalimu nijiari vipi.
 
Wewe kwa akili ulionayo unaona graduates ni walimu tu?
Kwa chuo nilichosoma mimi graduates walikuwa mikondo 5! Uhasibu, Sheria, Masoko, Uchumi, Ugavi na Rasilimali watu! Hao ni undergraduates tu! Sijazungumzia diploma wala, certificates ambao ni wengi pia!

Kwa undergraduates tu uki combine figure wanaweza kufika kati ya 900-1000 kama wastani! Sasa zidisha hio figure mara 5 uone itakupaje? Likely 4500 kila baada ya miaka mitano na wanaoajiriwa na kujiajiri hawafiki 500 katika hilo kundi lote!

Vyuo vikuu viko vingapi bongo? Mzumbe,Sua, Tumaini, UDSM, St.Joseph,IFM,CBE, UDOM hivyo ni baadhi tu! Nafikiri vinafika hata 10 au zaidi! Kwa mwaka tu ni 45,000 graduates!

Kwa miaka mitano unazungumzia 225,000 graduates! Kuchekelea ajira 40,000 haingii akilini
kabisa
 
Back
Top Bottom