Serikali ya Tanzania yapiga marufuku Media za Tanzania kurusha matangazo kutoka kwa Media za Kimataifa/Kigeni

Kuna mtu the hegue anaitafuta kwa nguvu sana na vikaragosi vyake like you.
 
Ukiwa CCM pekee ndio mzalendo sio?

Hauna tofauti na waliokuwa wana support ukoloni enzi TANU inatafuta ukombozi
 
the hegue ni utumbo gani wewe!!! peleka mjomba wako kama ni rahisi hivyo.
Fear of unknown

Acha uoga wa mabadiriko mkuu

Hata Roman empire ili collapse CCM ni mda tu tunaipa
 
Kwani wakisha apply na kupata permit kutambuliwa rasmi ujiungaji wao na media za nje si unaruhusiwa kujiunga na radio/tv zozote za nje ili ziweze kuhabarisha issues about Tanzania na dunia

Wajisajili tu waendelee tu na uhabarishaji.
Akishapata kibali atakuwa responsible kwa kila kitakachosemwa na chombo husika.

Mathalani BBC warushe habari ya Lissu na TCRA waone haifai wakitaka kumpiga faini watampiga aliyeungana na BBC.

Hii nchi sijui inaelekea wapi?
 
Kama redio yenyewe ni BBC ya wakikuyu nani anaitaka BBC toka iweke base yake Kenya imekuwa chombo kichefuchefu wakikuju wanaitumia kuchafua tz Ila kila wakijaribu wanaumbuka walikuwa wanasema tunakufa kwa korona wameumbuka Ila awasemi vibaya Kenya.
 
Kwani BBC, VOA, DW, ALJAAZIRA wao ni nani mpaka lazima tuwasikilize propaganda zao na utumbo wao?? tupa kureeee!!
Hizo redio sikuizi zimekuwa za kisenge kweli ,sisi tutatumia jamii forum yatosha
 

Rekebisha heading na uongeze "without permission from the government and the relevant authorities".
 
Ukiwa CCM pekee ndio mzalendo sio?

Hauna tofauti na waliokuwa wana support ukoloni enzi TANU inatafuta ukombozi
Nafikiri wewe bado mtoto, pia uelewa wako bado mdogo sana kuhusu nchi na mifumo ya dunia.

Kama kuwa Rais au uzalendo ni bora tungempa Dr Slaa, Lowasa au Mbowe kipindi kile.

Siyo huyo mtu aliyekaa miaka kwa wazungu hatujui aliyekua anamlisha, aliyekua anampa makazi n.k juzi karudi nchini kesho tumpe nchi awe rais sababu kupigwa risasi, huo ndio uzalendo unaoutaka?

Huyo tundu ni amechanganyikiwa na anatakiwa kutulia ili ku recover. Kamwe tundu hawezi kua Raisi hata kama Western media zitampa support kumpa publicity
 
We waona hafaa kuzuia wapinzani taarifa zao zisi lushe ili watanzania wapate haki zao za msingi kusikiliza Habari za pande zote watawala na upinzani pia?
 
Watu mliochoka huwa hamuiishi kujikomba unatamba kuandika kiingereza ili? Pole sana na ulimbukeni wako wa kukashifu serikali inayokulinda wewe na makaburi ya babu zako, Mwandishi gani kakamatwa au kuuawa? Kwa hiyo ulitaka Rais azuie vifo ambavyo havina kinga? Ulivyo mbaguzi na kujifanya unajali mbona hauhoji bodaboda wanaokufa na wengine kukamatwa kila siku kwa kutokuwa na mafunzo sahihi ya usalama barabarani? Ungekuwa kweli una mapenzi na watanzania usingehangaika kulalamikia kifo cha mtu mmoja ukaacha makundi ya watanzania yanayoangamia kila siku nenda kawaambie walikokutuma tunajua hila zako.
 
Here is President Uhuru Kenyatta, telling Chief Justice Maraga to get used to the insults coming from Kenyan bloggers and Criticism coming from Kenyan media.


Now notice how the judiciary in Kenya is independent and the courts will not follow anything that comes from the executive or parliament.


Now in your head try to imagine if any of this can happen in Tanzania.
 
Feelings pelekea bibi yako. Facts ndizo hizi hapa.

Media freedom crisis in Tanzania - Public Media Alliance
Tanzania suspends another media outlet over its Covid-19 coverage | Reporters without borders
Tanzanian reporter banned for six months for coronavirus coverage | Reporters without borders
Tanzania slaps harsh sanctions on three online TV channels | Reporters without borders
Tanzania: Journalist must be freed and given medical care, RSF says | Reporters without borders
 

Na nilifurahi sana serikali ilivyyowafunda waandishi wa BBC kina Kikeke, sijui nani yule anayejiita Mziwanda na wenzao wengine, wakati kolona ilivyokuwa ikipiga hodi Tanzania na ukanda wote kwa ujumla walikuwa wanatangaza kadhia kama vile ni mashindano vile. Mara Tanzania 7, Kenya 8 ehee hee, huku vinachekelea. Lakn baada ya Jembe kutoa ile hotuba kali ya kuacha kutumia akili za kushikiwa na mabeberu, angalau wameshika adabu.

Maana alisema huko kwa mabeberu wanakufa kwa maelfu lakini hamtangazi au hata mkitangaza mnatangaza kwa huruma na hisia za majonzi kana kwamba wale wanaokufa ubeberuni ni watu zaidi ya waAfrika wenzao. Maana wakati wanapotangaza wanakuwa na mbwembwe na kutokujali kana kwamba wanasema hawa waAfrika wana haki ya kufa. Acha wafe. WaAfrika sijui nani alituroga.
 
Kuna mtu the hegue anaitafuta kwa nguvu sana na vikaragosi vyake like you

Hata siasa za dunia huzijui, hiyo hegue yako iko mbioni kufungwa, maana mfadhiri mkuu kaitosa.
 
Huna hope, stukia basi jombaa. Kuna watu wanatamani sana kwamba mbaki kwenye giza la kutojitambua. Ili wafaidi kwa mgongo wa upumbavu wenu.
 
Huna hope, stukia basi jombaa. Kuna watu wanatamani sana kwamba mbaki kwenye giza la kutojitambua. Ili wafaidi kwa mgongo wa upumbavu wenu.
Kama kubaki gizani ni kuendelea kuwa mtz, basi ni heri iwe hivyo.

BBC waliowaunga mkono wakati wa kutangaza idadi ya maambukizi, leo hawana la kuwasaidia hata katika shirika lenu la ndege.

Poleni sana, ndio zawadi ya mtu mtaalam wa kila jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…