Serikali ya Tanzania yapiga marufuku Media za Tanzania kurusha matangazo kutoka kwa Media za Kimataifa/Kigeni

Serikali ya Tanzania yapiga marufuku Media za Tanzania kurusha matangazo kutoka kwa Media za Kimataifa/Kigeni

Akishapata kibali atakuwa responsible kwa kila kitakachosemwa na chombo husika.

Mathalani BBC warushe habari ya Lissu na TCRA waone haifai wakitaka kumpiga faini watampiga aliyeungana na BBC.

Hii nchi sijui inaelekea wapi?
Eti wanataka media za kimataifa zinyooke kama za Tz. [emoji1] Iwe ni mwendo wa kumsifia mtakatifu kote kote, kutoka Marekani hadi Eswatini. [emoji1] Watangoja sana.
 
Kuna kitu tunapaswa kujiuliza,

Haya yanafanyika kwajili ya taifa au kwajili ya mtu fulani au kikundi cha watu kisichopendwa kufatiliwa?

Huu uzalendo wa kufichana fichana na kunyamazishana utakua ni version mpya huu.
Imekuwa ni enzi za Cold War, uzalendo unapimwa kwa viwango vipya, cha kwanza kabisa ni kwamba lazima uwe unajibu ndio kwa lolote watakalosema.
 
Tuna Kim Jong Un wetu wa hapa hapa home A.M tofauti moja tu kati yao ni staili wa kunyoa nywele. 😀

Dah! ila naona amekumbana na kichaa anayeitwa Tundu Lissu, yaani jamaa mjasiri kiasi cha kupigwa marisasi na bado akageuza kurudi kwao kugombea urais. Kawaida CCM wamezoea kufanya uchaguzi kama onyesho fulani la kuwakuna mabeberu ili waendelee kupewa misaada ila nahisi kwa huu uchaguzi ujao wataloa jasho sana, itawabidi wafanye pushup nyingi sana.
 
Back
Top Bottom