Jambotemuv, mkuu nashukuru sana kwa response yako throughout.
Shadow, mkuu kama utaruhusu naomba niunganishe hapa maoni yangu na kuwa jibu kwa pamoja kwani naona kuna baadhi ya points zime-overlap.
1.
The role of God in creation and in raising children:
JAMBOTEMUVAll children are born uneducated, poor, etc. Doing the best, with the help of GOD, to provide for the helpless child is what is expected of parents.
..... The fate of any child is never certain to anybody other than GOD. I doubt whether your mother would say she honestly knew where you would end up in life.
Nadhani nitaanza kwa kuleta angle ambayo ni ngumu kwa wengi kuuona lakini ni fact, wapo watu na si wachache ambao hawaamini kuwa Mungu ana role yoyote katika maisha ya binadamu. They are atheists. Wao wanaamini kuwa kuumbwa kwa binadamu ni chemical and biological. Wao je, utawaweka wapi? Kama haamini, huwezi kumlazimisha, na anaona hana uwezo wa kulea mtoto. It is their right.
Pia katika hili mimi nasema tunakuwa tunamsingizia vitu vingi Mungu. Hivi kweli katika dunia ya leo mtu unaweza kusema kila mtoto anazaliwa na riziki yake? Alafu unamtuma mtoto aende kwa mjomba, mama mdogo ec kuomba school fees? Unaweza kweli ukajizalia tu mtoto na ukamwacha to the mercy of God and the society? Mi naona tumeshapita na kuvuka that stage. My mother could not say 100% where I will be but she knew that the upbringing and education she gave me will enable me to survive anywhere in the world! Na kwa hilo namshukuru sana. Pia namshukuru Mungu (kwa sababu namwamini) kwa kunipa nguvu na bahati lakini naamini you have to help yourself in order for God to be able to help you.
2.
Taking away Life
Control over ones body has never been extended to the right to endanger or take away life. Ndio maana ikithibitika umefanya jaribio la kutoa maisha yako mwenyewe unatiwa hatiani.
Again mudering a helpless child is not having control over ones body but over the child's life and unfairly so.
Hapo hatukubaliani kwamba mtu akitaka kujiua eti unatiwa hatiani and that is right! No it is
not right! It is your body and your life. The only one who can judge a person (if you beleive) in this case is God alone, siyo sheria ya nchi. Kwa nini nasema hivyo? If you have intense suffering and you willingly want to end your life, why should anyone deny this from you?
Getting back to the unborn babies, uliuliza nani atawatetea, mama zao just like when they are born. The other point of contention, when does an embryo constitute a human being. That is also up for debate as religious people say at conception, scientists have varying answers. This problem comes up in the case of cell harvesting etc.
3.
Ukoloni/utumwa mamboleo
SHADOW: But in one note; we have to not that there is no freedom without a limit. Suala la utoaji mimba ni nyeti katika mila za kitanzania na kiafrika kwa ujumla. Si kila kitu kinachotoka Ulimwengu 'ulioendelea' ni kizuri. Kuhusu uhuru wa wamama wamepewa na ile sheria ya kujaamiana. Sasa na hili la utoaji wa mimba kumbuka it takes two to tangle. Sasa na haki ya mwanaume katika kiumbe hicho itawekwa wapi? Je haki ya huyo mtoto as a human being italindwa vipi? Penal Code yetu imebainisha vizuri kabisa kwamba kama mimba inahatarisha maisha ya mama basi hapo mwanamke anahaki ya kuitoa na mengine kama hayo.
Umaskini tabu sana, unakuta nchi imeadiwa pesa na wafadhiri kuridhia maazimio kama haya ya ajabu ajabu.
JAMBOTEMUV:Shadow asante. Njaa ndo imemfanya hata waziri akawa anasema wameridhia tu mkataba lakini haijatungwa sheria. Mikataba mingi tunaridhia kinyume na dhamira zetu kwa maslahi yasiyo wazi na hili ni mojawapo. Ndio nikasema ukoloni mamboleo sikueleweka. Basi tuyaite utumwa mamboleo Ingekuwa kuua ni jibu zamani vilema wengi waliuawa wachanga. Je ni vilema wangapi tena waliotoka familia fukara kupindukia tunawaona leo wakihudumia jamii kwa mengi?
I continue to disagree that this is a Western or Eastern, African, Asian, European initiative. I call it Enlightment. Tukichunguza hata jamii za Marekani, Ulaya etc tutaona ya kuwa walikuwa na mfumodume, iliyofanya wanawake wanyimwe haki zao hivyo utoaji mimba ilifanyika kwa siri, ukichangia na dini (ambazo zote ziko based mpaka leo kwenye mfumodume) basi unaweza kuona ya kuwa everything goes back to male dominance over female. System ilikuwa (na bado ni katika mfumo huu) Wanaume wanataka kuwaeleza wanawake wafanye nini. Lakini baada ya wanaharakati (siyo akina mama tu, bali hata wanaume walioendelea kifikra) kujaribu kuhakikisha akina mama wanapewa haki zao, ndipo tunaweza kuona mabadiliko katika jamii za Marekani na Ulaya. Lakini hii haina maana kwamba wote katika jamii hizi wanakubali na wapo wanaharakati wanaopinga (pro Life) na wanaotetea (Pro Choice) utoaji mimba.
tukija kwa ukoloni huu na wafadhili let us be honest for once. Enyi watetezi wa ProLife, ni wangapi mnakuwa active katika charity na kusaidia mamilioni ya watoto ambao ni maskini, wametelekzwa (yatima) au wanateswa (abused). Because if you advocate such policies that is the least you can do. And BTW naomba nitoe analogy: hata mimi kama ni mfadhili na familia ninayoisaidia naiona inazaliana tu na kusema eti Mungu atampa kila mtoto riziki yake, lakini wanaishi kwa pesa zangu, lazima nitawa-change-ia na kuwashauri wajaribu family planning. Ama sivyo naacha kuisaidia familia hiyo, maana inaonekana msaada wangu hautakuwa na mwisho. It's fair isn't it?
At the end of the day, mimi binfasi siwezi kumshauri mwanamke atoe mimba akija kwangu kwa ushauri, lakini niko tayari kumpa options zake na nita-respect her decision.
Wakuu nashukuru kwa debate nzuri na ninaendeleakusubiri maoni yenu, shukrani!