Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Ican see tooHii itakuwa ni plan ya warusi kuwabambikia kesi wahamiaji wa afrika na asia kisha kuwarubuni wajiunge na vita kuipigania Russia Front line ili waweze kuachiwa
Hii scenario nakubaliana nayo kabisa.Hii itakuwa ni plan ya warusi kuwabambikia kesi wahamiaji wa afrika na asia kisha kuwarubuni wajiunge na vita kuipigania Russia Front line ili waweze kuachiwa
Mbowe kuachiwa ile kesi ya Ugaidi na wale makomandoo wa JWTZ serikali ilikuwa sahihi
Chadema ilipeleka watu wake Wagner Grouo kupindua nchi 2015
Lema akadakwa kama kamanda wa uasi kupewa dhamana akatoroka akatororokea kanada kamanda mwingine wa maasi Tundu Lisu akakimbia nchi mbio ubeligiji baada ya mission kufeli
Sababu serikali ina mkono mrefu kupitia chama tawala ilipandikiza mamluki kiibao Chadema
Wahusika wakuu Wakatoroka nchini kwenda nje ya nchi zigo wakambwagia Mbowe
Aliyesota ndani
Serikali ikamuonea huruma ikafuta kesi sababu hakujua kuwa wenzie wanapeleka wana Chadema kwenda Urusi kwa kisingizio cha kusoma kumbe wanaenda kambi za Wagner mercenaries fighters mamluki wa kupigana kwa malipo
Anyway Lisu karibu Tanzania uje kumzika huyo Tarimo mliyempeleka Wagner Group.Russia japo bado wako kule wengi wa Chadema
Ila serikali hailali kuhakikisha watanzania wako salama na nchi inakuwa na amani
Karibu Tundu Lissu uje kumzika kamanda wako Mliyempeleka. Urusi ajiunge.na Wagner group apate uzoefu wa vita aongoze vita kuitoa CCM madarakani kwa mtutu
Wa bunduki akirudi na kuhitimu Russia ambako ndiko kambi kubwa za wagner.group
ukiangalia hata hivyo, hata kama wamgaribi wana mambo ya dhambi na ujinga mwingi, ila wana faida zaidi kwetu kuliko urusi, wanatoa misaada mingi kuliko urusi. hivi ukiuliza hapa bongo mrusi amefanya nini kwa Tanzania, utataja nini? au tunawaweka kama reserve tukihitaji silaha watuuzie? au nini yaani faida yao kwetu? imagine mtu yupo gerezani, wanamwambia aende vitani, unyama gani huo? hata wamagaribi hawawezi kufanya icho kitu. ina maana urusi ana wanajeshi wachache kiasi gani hadi ahitaji mamluki wa aina hiyo? ana uhitaji wa wanajeshi sana kumbe? si walikuwa wanajifanya taifa imara? mbona sasa linafanya vita za kishamba sana.
Amen!Apumzike kwa amani....
Kuna kua mercenary (professional fighters) wanapigana kwa kulipwaYes wanaitwa mercenary, yaani askari wa kukodi wanapigana kwaajili ya mpunga changamoto wanakua hawako patriotic na nchi, kama unajiweza kwenye medani rusia inaonekana anahiyo fursa.
Na yeye analipa kwenye moto wa milele
Kwa hiyo wachaga tu ndio unaona wanapambana!???Salute kwa Wachaga wanapambana sana kila panda ya Dunia ukifuatilia utawakuta....kuna chalii mwingine yupo kwenye jeshi la Marekani.
For sure jamaa wako vizuri.... R.I.P Nemes
Urusi ni Supa-pawa wa mchongo......hii Vita imeanika udhaifu wake kumbe alikuzwa na propaganda tu.imagine mtu yupo gerezani, wanamwambia aende vitani, unyama gani huo? hata wamagaribi hawawezi kufanya icho kitu. ina maana urusi ana wanajeshi wachache kiasi gani hadi ahitaji mamluki wa aina hiyo? ana uhitaji wa wanajeshi sana kumbe? si walikuwa wanajifanya taifa imara? mbona sasa linafanya vita za kishamba sana.
Wegner ni waongo waongo tu!Kulingana na ushahidi wa nyaraka za mahakama ya Urusi ambazo jarida la “The Chanzo” imeweka wazi mtandaoni, marehemu hakuwahi kuhukumiwa bali kesi yake ilikuwa ikisogezwa na yeye kubaki jela hadi alipojiunga na kundu la Wagner. Hicho kifungo cha miaka 7 alichohukumiwa mwezi March 2022 si kweli kulingana na documents za mahakama zilizopo mtandaoni.
Hii itakuwa ni plan ya warusi kuwabambikia kesi wahamiaji wa afrika na asia kisha kuwarubuni wajiunge na vita kuipigania Russia Front line ili waweze kuachiwa
Maelezo hayatoshi!Waziri wa Mambo ya Nje, Stergomena Tax amesema Mtanzania aliyefariki Dunia Nchini Urusi, Nemes Tarimo alikuwepo nchini humo kwa ajili ya masomo na alijiunga na Chuo cha Moscow Technology Pro mwaka 2020 kwa masomo ya Shahada ya Uzamili katika fani ya 'Business Informatics'.
Waziri amesema taarifa ambazo Serikali imezipokea ni kuwa mwezi Machi 2022, Mtanzania huyo alikuhumiwa kifungo cha miaka saba gerezani kwa mujibu wa Sheria za Urusi kutokana vitendo vya uhalifu.
Ameongeza kuwa akiwa gerezani alipewa nafasi ya kujiunga na kikundi cha kijeshi kilichopo nchini humo kinachofahamika kama Wagner akihadiwa kulipwa fedha lakini pia kwa ahadi ya kuachiwa huru mara baada ya vita ambapo inadai kuwa alikubali kujiunga na kikundi hicho.
Ikumbukwe kauli ya Waziri siku chache baada ya kuibuka taarifa zilizodai uwepo wa Mtanzania aliyefia Nchini Urusi akihusishwa katika mapigano ya vita vya baina ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa muda.
Familia ya Nemes Tarimo ilithibitisha kutokea kwa kifo hicho na kuwa wanasubiri mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya maziko.
Aidha, kwa mujibu wa familia hiyo alifariki mwishoni mwa mwezi Oktoba 2022 na kwamba taarifa ya kwanza walipatiwa na marafiki wa karibu mwishoni mwa mwezi Desemba 2022 kuwa kijana wao amefariki lakini baadae walidai kupata taarifa rasmi kutoka Ubalozi wa Tanzania Moscow, Urusi.
Pia soma:
Safari ya kuusafirisha mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo kutoka Urusi hadi Tanzania inaanza 24 Januari, 2023
Tarimo Nemes, anayedaiwa alifariki akiwa vitani Ukraine, aligombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CHADEMA
Wasimlete huku, wamzike hukohukoWaziri wa Mambo ya Nje, Stergomena Tax amesema Mtanzania aliyefariki Dunia Nchini Urusi, Nemes Tarimo alikuwepo nchini humo kwa ajili ya masomo na alijiunga na Chuo cha Moscow Technology Pro mwaka 2020 kwa masomo ya Shahada ya Uzamili katika fani ya 'Business Informatics'.
Waziri amesema taarifa ambazo Serikali imezipokea ni kuwa mwezi Machi 2022, Mtanzania huyo alikuhumiwa kifungo cha miaka saba gerezani kwa mujibu wa Sheria za Urusi kutokana vitendo vya uhalifu.
Ameongeza kuwa akiwa gerezani alipewa nafasi ya kujiunga na kikundi cha kijeshi kilichopo nchini humo kinachofahamika kama Wagner akihadiwa kulipwa fedha lakini pia kwa ahadi ya kuachiwa huru mara baada ya vita ambapo inadai kuwa alikubali kujiunga na kikundi hicho.
Ikumbukwe kauli ya Waziri siku chache baada ya kuibuka taarifa zilizodai uwepo wa Mtanzania aliyefia Nchini Urusi akihusishwa katika mapigano ya vita vya baina ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa muda.
Familia ya Nemes Tarimo ilithibitisha kutokea kwa kifo hicho na kuwa wanasubiri mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya maziko.
Aidha, kwa mujibu wa familia hiyo alifariki mwishoni mwa mwezi Oktoba 2022 na kwamba taarifa ya kwanza walipatiwa na marafiki wa karibu mwishoni mwa mwezi Desemba 2022 kuwa kijana wao amefariki lakini baadae walidai kupata taarifa rasmi kutoka Ubalozi wa Tanzania Moscow, Urusi.
Pia soma:
Safari ya kuusafirisha mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo kutoka Urusi hadi Tanzania inaanza 24 Januari, 2023
Tarimo Nemes, anayedaiwa alifariki akiwa vitani Ukraine, aligombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CHADEMA
Je nikiingia kupambna baaada ya miezi mitatu mpunga umesoma 50 m je nikitoroka au kusaliti kambi ya warusi nijiunge ukraeni kutakuwa na shida Ni Bora nijisalimishe ukrainYes wanaitwa mercenary, yaani askari wa kukodi wanapigana kwaajili ya mpunga changamoto wanakua hawako patriotic na nchi, kama unajiweza kwenye medani rusia inaonekana anahiyo fursa.
Wacha ujinga, CDM siyo msemaji wa Serikali. Kibali cha kutoka nje ya nchi unapewa na Serikali kupitia passport na visaPia, Nemes Tarimo alikuwa mwana CHADEMA na aligombea ubunge 2020 kupitia kwenye Jimbo la Ubungo.
Mungu amweke mahali pema peponi lakini Jambo hili CHADEMA walitakiwa watoe maelezo ya kutosha kilichopelekea mwanachama wao akafungwa miaka 7
Tanzania haiwajali wananchi wake wa ndani na nje, serikali imefunga mjadala! Warusi ni marafiki zetu wa damu.Waziri wa Mambo ya Nje, Stergomena Tax amesema Mtanzania aliyefariki Dunia Nchini Urusi, Nemes Tarimo alikuwepo nchini humo kwa ajili ya masomo na alijiunga na Chuo cha Moscow Technology Pro mwaka 2020 kwa masomo ya Shahada ya Uzamili katika fani ya 'Business Informatics'.
Waziri amesema taarifa ambazo Serikali imezipokea ni kuwa mwezi Machi 2022, Mtanzania huyo alikuhumiwa kifungo cha miaka saba gerezani kwa mujibu wa Sheria za Urusi kutokana vitendo vya uhalifu.
Ameongeza kuwa akiwa gerezani alipewa nafasi ya kujiunga na kikundi cha kijeshi kilichopo nchini humo kinachofahamika kama Wagner akihadiwa kulipwa fedha lakini pia kwa ahadi ya kuachiwa huru mara baada ya vita ambapo inadai kuwa alikubali kujiunga na kikundi hicho.
Ikumbukwe kauli ya Waziri siku chache baada ya kuibuka taarifa zilizodai uwepo wa Mtanzania aliyefia Nchini Urusi akihusishwa katika mapigano ya vita vya baina ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa muda.
Familia ya Nemes Tarimo ilithibitisha kutokea kwa kifo hicho na kuwa wanasubiri mwili wa mpendwa wao kwa ajili ya maziko.
Aidha, kwa mujibu wa familia hiyo alifariki mwishoni mwa mwezi Oktoba 2022 na kwamba taarifa ya kwanza walipatiwa na marafiki wa karibu mwishoni mwa mwezi Desemba 2022 kuwa kijana wao amefariki lakini baadae walidai kupata taarifa rasmi kutoka Ubalozi wa Tanzania Moscow, Urusi.
Pia soma:
Safari ya kuusafirisha mwili wa Mtanzania Nemes Tarimo kutoka Urusi hadi Tanzania inaanza 24 Januari, 2023
Tarimo Nemes, anayedaiwa alifariki akiwa vitani Ukraine, aligombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CHADEMA