Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule US kuna homeless kubao, yaani masikini hana hata uhakika wa sehemu ya kulala, btw huu msaada si ni kutokana na majanga? Kuna ubaya gani? Yaani mnaongea utafikili umetolewa msaada wa kuwajengea shule?Mkuu 'Icebreaker', huu mfano siyo sahihi hata kidogo
Hao maskini wa huko ni tofauti sana na wa huku kwetu. Unalinganisha hali mbili tofauti kabisa na katika mazingira ambayo hayafanani kabisa. Mlinganisho huu hauwezekani.
Hii ni diplomasia, siku uki negotiate ufutiwe tariffs za billions unashangaa wanalainika na kukubali!! That's diplomacy.Huo ni upendo mshumaa.
Kujitutumua tu wakati uwezo huo hatuna.
Si juzi tu hapo tumekopa ili tujenge vyoo.
Ugiriki mpaka ikabidi iokolewe na wenzie maana nchi ilitaka kupigwa mnada kabisa!! Ila Bado Wanatoa misaada Kila mwezi huku Africa.Kama wadau wanavyosema kutoa Ni moyo ila kwakweli kabla ya kutoa tujitafakari,kuna wakati tunasema tunaviongozi wa hili taifa Ni Wa hovyo wafuasi wao wanakasirika.
Juzi tu hapa tumepewa mikopo,juzi mama kapewa msahada wa dola 30000 za kujenga vyooo na madarasa,akasema anaomba wadau wamsahidie pia kuchanga ili kufanikisha zoezi hili,leo nao wanatoa msahada wa dola "1000,000"?
Walikua wanakusanya tozo kwanza.hapo sasa!
Ni swali zuri hili la kuwauliza. Siku zote hizo walikuwa wakisubiri kitu gani?
Ajabu ni kwamba hata sisi bado tunaomba misaad kila siku halafu tukija huku tunajifanya dona kantree, hiyo hela tungetumia kupunguza deni la Taifa aisee badala ya kujivimbisha kutoa misaada
Hutasikia wametoa msaada ndani humu hata bima ya afya bure inawezekana ila hawatakiDuu hata Malawi juzi wamekula bonge la msaada aisee inaeelekea naishi kwenye nchi TAJIRI ila sijijui
EeenHeee!
Kama "kutembea"kwako matokeo yake ndiyo haya unayoandika hapa, ya kupotosha watu; mimi sihitaji kutembea kwa namna hiyo.
Mungu aendelee na Mama kwa kishindio kikuu!Tanzania yatoa msaada wa Dola za Marekani 1,000,000 kwa Uturuki kufuatia madhara ambayo nchi hiyo inepata kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea mwezi Februari mwaka huu...
Hutasikia wametoa msaada ndani humu hata bima ya afya bure inawezekana ila hawataki
Heee! Bilioni mbili na ushehe, mmepata wapi hizo hela za kuwapa hao matajiri wakubwa. Si ndio hao wanaojenga reli ya SGR kwa matrilioni mengi na upigaji mwingi tu?! Je, watoto wetu wote wama madawati?...Tanzania yatoa msaada wa Dola za Marekani 1,000,000 kwa Uturuki kufuatia madhara ambayo nchi hiyo inepata kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea mwezi Februari mwaka huu...
Mzee tunaitaji pesa ya kumalizia miradi,Mambo hayaendi ugumu na mfumuko wa vitu uko juu,Mama anatoa pesa anagawa kweli?Ugiriki mpaka ikabidi iokolewe na wenzie maana nchi ilitaka kupigwa mnada kabisa!! Ila Bado Wanatoa misaada Kila mwezi huku Africa...