MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
A donor country
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa ni moyo si utajiri...
Walisaidiwa pia wa Palestina na kuwapa nyumba za kuishi Dar.Tanzania iliongoza mapambano ya Ukombozi wa nchi kusini mwa Bara la Afrika tulikuwa na utajiri gani...
Kweli ndoto ya JPM ya Tanzania kuwa Donor Country, Dr Salmia ameifanikisha. Hongera sana mama. USD 1,000,000 ni sawa na TZS 3 billion.Donor country imetia hongera JPM.
Hapana.Unajua hata tusingetoa hao wenyewe wangetuelewa tu maana wanajua hali yetu.
Utakuwa ni mmoja wa wasioweza kutofautisha hao maskini wa Marekani na maskini tulio nao hapa Tanzania.Kule US kuna homeless kubao, yaani masikini hana hata uhakika wa sehemu ya kulala, btw huu msaada si ni kutokana na majanga? Kuna ubaya gani? Yaani mnaongea utafikili umetolewa msaada wa kuwajengea shule?
Dah!Kweli ndoto ya JPM ya Tanzania kuwa Donor Country, Dr Salmia ameifanikisha. Hongera sana mama. USD 1,000,000 ni sawa na TZS 3 billion.
Huko Malawi thamani ya chakula tulicho wasaidia ni zaidi ya hiyo. Huo ni mwanzo tu. Tumeanza kuwapelekea jirani zetu gesi ya bei nafuu ili kuwapunguzia makali ya maisha ili waachane na maandamano yasiyokuwa na kikomo.
Tumewadhamini jirani zetu baada ya benki kuu yao kuishiwa dollars za kununulia mafuta ya petroli na dizeli ili kuwaepusha na janga la nchi kukosa nishati hiyo.
Nchi yetu ni tajili
Tanzania yatoa msaada wa Dola za Marekani 1,000,000 kwa Uturuki kufuatia madhara ambayo nchi hiyo inepata kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea mwezi Februari mwaka huu.
Hii ni mara ya pili Tanzania kufanya hivyo baada ya majuzi kuwasaidia marafiki zetu wa Malawi [emoji1156] waliokumbwa na Kimbunga kilichosababisha maafa.
Tanzania inarejea enzi za Mwalimu Nyerere ilipokuwa mstari wa mbele kulikomboa Bara la Afrika.
Wahenga walisema kutoa ni moyo si utajiriDuu hata Malawi juzi wamekula bonge la msaada aisee inaeelekea naishi kwenye nchi TAJIRI ila sijijui
Na mahindi, mchele na maharage yetu tumekuwa tukiwauzia majirani zetu hao kwa bei ndogo hadi kupelekea bidhaa hizi kuwa za aghali zaidi kuliko za huko kwao. Tulipositisha wakaanza maandamano ya kupinga bidhaa hizi kupanda zaidi bei.Dah!
Naomba hii aione mhusika.
Lakini fahamu kwamba hii nchi sasa milango yake yote na madirisha, na hata kupitia darini,"IPO WAZI"!
"Hii nchi ni tajiri" in magufuli's voice
Tanzania yatoa msaada wa Dola za Marekani 1,000,000 kwa Uturuki kufuatia madhara ambayo nchi hiyo inepata kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea mwezi Februari mwaka huu.
Hii ni mara ya pili Tanzania kufanya hivyo baada ya majuzi kuwasaidia marafiki zetu wa Malawi [emoji1156] waliokumbwa na Kimbunga kilichosababisha maafa.
Tanzania inarejea enzi za Mwalimu Nyerere ilipokuwa mstari wa mbele kulikomboa Bara la Afrika.
Kutoa ni moyo na si utajiriMatonya anamsaidia Mo