Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!

Ndio shida na huu utawala, hautumiagi akili katika higher levels kabisa!
Kenya wanajitoa ufahamu mkuu Wewe unataka akili zipi zitumike kama UAE watu wanaingia na certificate tu za ku approve kuwa hawana Convid19 wewe unataka tubembelezane na kenya kama kina nani? Kitendo cha kuzuia kabisa ni kama wamedharau maamuzi na Labs za nchini kwetu na kufanya ivo ni kama wamemdharau Rais pia Sasa hapo hakuna Kupoteza muda ni Chuma Chuma tu mpaka akili ziwarudi acha waendelee ku grab attention ya international communities sisi ngoja tuendelee kuchapa Kazi
Halafu nikisema Kenya wanahujumu Soko la utalii wa Tanzania kwa maamuzi yao hayo wewe utakataa? Acha tu JPM aende nao Jino Jino
 
Pagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.

Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya[emoji29][emoji29]

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Tutakula wenyewe pamba yote tuliyovuna pamoja na ufuta wote.
 
Mwamba MAGUFURI anzisha oparation ya kuwasaka wa kenya walioko Tanzania na kuwarudisha makwao [wamejaa Tanzania na awafuati taratibu za nchi]“”kwa mtu anaewafaamu hawa jamaa “”sio watu wazuri kabisa,
Tatizo wengi wana Kadi zetu za uraia
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!

Ndio shida na huu utawala, hautumiagi akili katika higher levels kabisa!
Acha upumbavu
 
KQ ilikua inakuja Dar peke yake mara 5 kwa siku ukiachana na JRO/ZNZ

Uwezi kusema ni jambo la kawaida kwa KQ, ofcoz ni pigo kwa KQ
Five times? They thought we are stupid, ngoja tuone. Lakini tatizo kubwa limekuwa Tanzania kupiga hatua kubwa kwenye kuinua uchumi wake. Hilo hasa ndilo pigo kubwa Kenya hawakulipenda. Vile vile kutokana na Tanzania kutokuweka lockdown uchumi wa Tanzania unaonekana kushamiri inawauma sana, na hizi ni rasha rasha tu masika yenyewe bado.

Chonde chonde Kenya wasije wakatuma bendera nyeupe tu, JPM hajaribiwi.
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!

Ndio shida na huu utawala, hautumiagi akili katika higher levels kabisa!

Fikiri sawasawa, acha ushabiki. Kama Tanzania imejaa Corona, na hiyo ndiyo sababu ya kuzuia Watanzania wasitue Kenya, kwa nini Wakenya wenyewe wanaingia Tanzania na kurudi Kenya kila siku? Au Wakenya hawana uwezo wa kubeba Corona toka Tanzania?
 
Hawana chochote wakenya, na wasituzoee,fukuza wote kuanzia balozi wao,wamejaa kupiga daiwaka ktk mahoteli na ualimu wa chekechea.ZUIA MIPAKA YOTE VYAKULA VISIENDE KENYA(ndani ya masaa 2 tu Wataomba poo),kenya wanaishi na majirani kwa unafiki wa hali ya juu,nakuamini ktk hili mkuu
 
Wengi mnao changamoto humu ni wa pesa ya mwisho wa mwezi serikalini au tunaita ng'ombe wa kufungwa,wafanyabiashara waliojiajiri mini nawaita nyati hawatafurahia hii wanaomba suluhu ipatikane
 
Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo Jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yaani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na Jambo Jet bado KQ itapata pesa kupitia precision air
Precision Air imezuiwa kuingia Nairobi.
 
Kwenye aviation kuna kitu kinaitwa BASA (Bilateral Air Service Agreement) zinazoingia nchi na nchi, kwenye BASA kuna kipengele kinaitwa reciprocal kwamba kinachofanyika upande mmoja wa mkataba ndo hicho hicho kifanyike upande mwingine

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Tunarudi kuleeee kwenye historia ya EAC ya Nyerere. Huwezi taka community iwepo ili ufaidi wewe tuu, hakuna mamlaka yenye akili atazuiwa kuingia kwenye nchi ya mwenzake halafu yenyewe iendelee kumpokea aliyeweka vizuizi.

Naona wakulima na wafanya biashara wanavyoumia ila Ifike mahala.
 
Pagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.

Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya[emoji29][emoji29]

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.

Kwa hiyo hao wakenya wanapofanya maamuzi ya kutufungia huwa hawana mshauri? Yaani sisi tufungiwe alafu tutafute mshauri sisi? Akili za matope kabisa.

Yaani mimi nichukue mkeo alafu wewe badala ya kukasirika utafute mtu wa kunibembeleza?
Mnachanganyikiwa na nini jamani?
 
EAC ipo mashakani ila Kenya walianza zamani tangu enzi za mzee Kenyatta EAC ilivunjika, ngoja tuone
Mchonga aliamua kufunga mpaka jumla. Kenya hata siku moja hawawezi kujifunza. Tujenge ukuta tu hawajitambui tena wanaleta mchezo wakati huu wa uchaguzi! Hizo zitakuwa ni instructions kutoka kwa mabwana zao.
 
Huo Ni upumbavu Hakuna justification yoyote kwanini tanzania imestopisha KQ kuja bongo.

Tunaona Ulaya nchi inaipiga ban nchi nyingine ila hatuoni huu upuuzi wa kukomoana. Huu ujinga uko Bongo tu.

Na kwasababu nchi imejaa viongozi wa hovyo raia mizigo mnaishia kukenua.
Kenya wawe waangalifu na rais wao,kachukua fedha za covid sasa amechoka kupambana nayo na anachofanya sasa nikutengeneza msuguano na tz huku akifahamu wananchi wake hawana ardhi ambayo yeye na family yake wanaihodhi,hivyo tuko hapa Mpanda Wakenya wengi wakitafuta ardhi kwa ajili ya kilimo.
 
Back
Top Bottom