Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Yanini kumlaumu mkwezi wakati nazi imeliwa na mwezi?!

Kuna watu walishatabiri Haya yote ya kufungiwa na nchi mbalimbali pale mipaka itakapofunguliwa baada ya kupata ahueni ya ugonjwa wa Corona.

Athari za kutotangaza takwimu juu ya ugonjwa wa Corona ndiyo hizi!

Imeonekana kutotangaza kana kwamba imechukuliwa nchi imekuwa na high risk profile!

Sasa ingekuwa vyema mjadala na hoja ikaanzia hapo badala ya kumhukumu mkwezi.

Nazani kama sijakosea Lema alisema kuhusu athari ya kutotangaza takwimu za ugonjwa wa Corona.

Nabii Lema yametimia kuhusu hili la Corona

Kwani kuna hata ya kulaumiana?

Haya ni matokeo ya kutokuwa na common protocol kuukabili huu ugonjwa.

Huwezi kuchagua kuufumbia macho ugonjwa unaoambukiza na unaouwa halafu utegemee kuchangamana na wenzio wanaouepuka.

Heko Kenya kwa kuchukua hatua kujilinda na huu ugonjwa.

Heko Tanzania kwa kuchukua hatua za kujifariji.

Wote tuko vizuri wapi tatizo?
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!
Wewe ndio umekuwa more than hiyo aggression unayopinga.
 
MIMI NINA OBSERVATION TOFAUTI;

1. Huu mgogoro wa Kenya na Tanzania ni ishara ya ku fail kwa diplomasia ya kimataifa chini ya utawala wa Magufuli....

2. Mgogoro huu ni ishara (signal) tu kuwa lipo tatizo kubwa zaidi ambalo halisemwi wazi na viongozi wa nchi hizi mbili na ambalo kwa kweli ndilo chanzo cha mgogoro huu....

Haiwezekani ishu iwe ni korona wakati vikao na vikao kati ya viongozi wa nchi hizi mbili vimekaa kutafuta ufumbuzi, lakini bado hawakubaliani tu ili kumaliza mgogoro na badala yake unazidi kukua tu....!

3. Mgogoro huu hauwaumizi watawala wa serikali ya CCM bali wananchi wa kawaida kabisa wa itikadi za kisiasa zote ambao maisha yao yanategemea mahusiano mema kati ya nchi hizi mbili. Wananchi tukatae uhuni huu na interests za watu binafsi (watawala) kutuumiza sisi....

2. Aidha, mimi nilidhani pia wangepiga marufuku kila ndege inayopitia Kenya kuja Tanzania ya shirika la ndege lolote like. Lakini kuilenga KQ tu inadhihirisha kabisa liko jambo jingine lililo chanzo cha mgogoro huu na siyo virusi vya Corona kamwe...
Kwanini unasema ni kushindwa kwa utawala wa Magufuli na kumuacha Uhuru Kenyatta?, kumbuka suala la kuzuia ndege za Kanya kuja Tanzania na kuzuia magari ya Utalii ya Tanzania kwenda Kanya ulitokea kipindi cha Kikwete, Coalition of the willing ni kipindi cha Kikwete, wacha kumuonea Magufuli, wakenya ni hovyo Sana.
 
Maisha yetu Africa sisi na kupimana pimana afya wapi na wapi, yani vimafua tuu ndio vizuie shughuli nyingine zisiendelee, tunakufa na Ebola HIV kila siku ili licorona litupe tension si vimafua hivi ata malaria ni mara kumi zaidi kwa ukali. Em tupumzishwe na kaugonjwa iki
Mkuu,so wewe unasubiri mpaka afe ndugu yako?Kwamba wakifa wengine haikuhusu?Wakiugua wengine hata wasipokufa haikuhusu?Wakiugua wengine ilia wasipimwa haikuhusu?Kwamba tukae na wagonjwa kimya kimya bila kupima,kufuatilia na kujua hali halisi?Watakao kufa wafe na watakaopona wapone?je hio ndo imani yako?

Kwa mtazamo huo nafikiri ni sawa kabisa wakatuzuia,Tulivowakatalia tumewasaidia sana maana......That is too selfish.
 
Sawa, na wewe kuzuia ni economically viable kwako au unakurupuka?

Kumbuka Nairobi ni international hub mizigo na watalii wote wanatumia route ya Nairobi kuja TZ, kwahiyo unawalazimisha waende Cape Town ndio waje TZ?

Watakuja tena?

Pigeni hesabu ya hasara na financial projections muone kama ni economically meaningful kwenu acheni bangi za Chato!
You provoke, we Retaliate.
Why povu now aaah!!
 
Tatizo siyo civid19, tatizo ni upungufu wa busara. Tunajua wote tuna matatizo, halafu mmoja anajifanya kiranja wa mwingine. Kila mmoja abaki na shida zake.
Coronavirus ndo kiini cha haya. Sasa ndo imejulikana hakuna cha EAC ama AU.Utawazuia vipi waafrica wenzako kuingia nchini mwako kisa Coronavirus ?By the way waafrica siyo watu wa kusafiri safiri sana. Pia Africa Coronavirus siyo kali kivile kama ilivyo Ulaya.
 
Dodoma has listened to the people.

Good countermeasure, good job.

We have always said that Kenya needs us more than we need them. We run an endemic trade deficit with them, plus we have the land they are drooling about.

We are not going to be their door mat.

Blow up the East African Community, for all we care.
Kicheko Kwa precision air kupiga mpunga hahahaha
 
Hapana inamaanisha KLM ikitoka Nairobi ikuje Tanzania, isirudi tena nairobi itoke huko ikienda amsterdam kwa vile abiria kutoka Tanzania hawaruhusiwi katika uwanja zetu za ndege. Hata ATCL haijafungiwa ni abiria wa kutoka Tanzania, yani hata ukuwe mtalii unapitia nairobi amabayo ndiyo hub ya east and central africa kutoka Tanzania hauruhusiwi. Hii ndiyo msimamo ya Kenya.
KLM ipi inayotua Nairobi then Dar?
 
Sasa hili bifu mkitaka linoge ni hakuna mazungumzo! Mambo ya mabalozi sijui mawaziri wamekaa wamejadili hatutaki kusikia wacha kila mtu abaki kwao!
Bifu lolote la TANZANIA na kenya , Kenya ndio itakayoumia zaidi ila tu inajitutumua
 
Uamuzi wa Serikali ya Tanzania ninaupongeza sana.
 
Sawa, na wewe kuzuia ni economically viable kwako au unakurupuka?

Kumbuka Nairobi ni international hub mizigo na watalii wote wanatumia route ya Nairobi kuja TZ, kwahiyo unawalazimisha waende Cape Town ndio waje TZ?

Watakuja tena?

Pigeni hesabu ya hasara na financial projections muone kama ni economically meaningful kwenu acheni bangi za Chato!
Tunawalazimisha waje moja kwa moja au wapitie entebe kumbuka tumefungua majadiliano tena ya ujenzi wa bomba la Hoima
 
Utawala wa awamu hii kwenye diplomasia na majirani kwa kweli lazima tulie
Wakenya ndiyo wenye tatizo, wana mgogoro na Ethiopia, wana mgogoro na Uganda kugombea kisiwa na sasa wameanzisha mgogoro na Tanzania. Hapo ndipo utaona mwenye tatizo ni nani.
 
Pagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.

Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya[emoji29][emoji29]

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Usisahau na Marehemu Mahiga.
 
Sasa bwashee ngoja nkuulize...
Hapo kwa Scenario hyo decision gani ingetakiwa ifanyike..?

Honestly kwangu mimi Covid19 ni economic war Tz tumejifunza kuishi nayo tofaut na hapo tungeendelea kupokea misaada kwasabab tu inatakiwa tutangaze updates which by all means ugonjwa ambao tiba yake haifahimiki ni bora kuzuia matangazo kuacha watu wafanye activity zao.

Sasa kenya wanateseka hatutangazi wamepima airport kwao wakaona tunayo? Kama ndio waekwe quarantine.. tofaut na hapo ni chuki ndo zinafanya maamuzi kama haya mbona TZ hawakufunguka wala kumzuia mkenya kuingia huku.

All in all let's watch and see
Mkuu

I'm afraid you still dont get it....

Sisi Tanzania hatujatoa jibu la Covid-19 kwa Kenya wakaridhika.Hii kazi ya kuwahakikishia Wakenya kua Tanzania hakuna covid-19 kwa udhibitisho ni kazi ya hawa mapunguani tuliowapa hizi ofisi waendeshe..

Hiyo Kazi hawajaifanya,walichofanya ni kukurupuka na wao kufunga bila majibu sahihi kwa Wakenya...

Brother,Kenya economically inauza zaidi TZ kuliko sisi tunavyouza kwao maana hatuna bidhaa kama wao,it does not make any sense wao eti kulikataa hili soko tu bila sababu..

Wamepiga hesabu wakaona athari za covid-19 kwao ni kubwa kuliko hela wanayopata TZ,hivyo wakafunga..

Hakuna vita ya kipumbavu namna hiyo kama unavyoniaminisha hapa...

Serikali is really doing a very bad job to convince these people kwamba hakuna covid-19 TZ.Ukweli ni kwamba ipo na hawana majibu kwa hawa watu,ndio maana.

Kaanza Kenya,no wonder wakafata wengine..maana nasikia mpaka na Rwanda magari ya TZ ni lazima yapimwe kwa wiki nzima ndio yapite wakati ya UG na Kenya yanapita same day,tunakosa mapato hapa!

Upumbavu wetu wa kupambana na korona ndio backlash hizi zinakuja na I see tutazuiwa kuingia nchi kibao,just wait hii ni tip of the iceberg!
 
Serikali ya Tanzania yaipiga KQ Airways kutua nchini

"Wakimwaga ugali tunamwaga mboga"
"Magufuli baba lao"View attachment 1523058View attachment 1523059
Chuki ya uthibiti wa madini yetu. Mamamae mlizoea kuwa wauzaji wakuu wa madini ya wizi toka TZ sasa mmedhibitiwa mnawayawaya.

Eti wa pili kidunia kwa uuzaji Tanzanite, kenya kuna shimo hata moja la Tanzanite?

Na mtakufa njaa mwambieni huyo mvuta bangi wenu apige magoti na amuombe msamaha JPM.
 
Kitu nilichojifunza leo , JF Watanzania ni wengi Sana kuliko wakenya yani wakenya hawafiki hata ile robo tu ya Watanzania
 
Back
Top Bottom