Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Kila nchi tutashughulika nayo kulingana na umuhimu wale na vile itakavyotuchukulia. Tumeanza na Kanya, tunasubiri inayofuata.

Umuhimu wa Kenya kwa Tanzania sio sawa na umuhimu wa SA au USA kwa Tanzania,tutashughulika nazo tofauti endapo zitafanya kama ilivyofanya Kenya
Jawabu la Covid-19 kwa hizi nchi na evidences unazo?

Huna

Unakula kufuli!

Subiri......

Maana naona hamuoni mbali mnaiona Kenya tu..wakati kuna rundo la hizi nchi linakuja!

TZ tutabaki kua comedians kuhusu corona kama Madagascar....tutakung'utwa kufuli worldwide!

Kaanza Kenya.....
 
Brother

SA ndio more serious zaidi ya Kenya.....

Kwavile SA maambuzi yamepamba moto,hawatataka more additions from abroad kuingiza virus zaidi SA.

Na TZ tumebeba mavirusi tele

Ramaphosa sasa hivi atapiga ban!

SA wapo serious sana na covid.....subiri utaona ban inafuata!
Tz imebeba mavirus tele.umejuaje mkuu??

Kwa vipimo,au kwa idadi ya vifo??
 
Na juzi wametoka kumpokea Rais wao hewa bila ya kuvaa barakoa harafu wanataka takwimu ili wajue kama korona ipo au hamna [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yani nimejua wapinzani hawana akili Kwa kiwango gani najuta kuharibu kura yangu 2015[emoji24][emoji24][emoji24]
Nyumbu ni nyumbu tu,hata apewe nguo akili zake ni zile zile.
 
1596266567845.png

Huyu ni mkenya anayejitambua .
 

Attachments

  • 1596266753104.png
    1596266753104.png
    68 bytes · Views: 2
Hapa ndipo anaponitatiza huyu jamaa yetu.[emoji16][emoji16]

Umeelewa sasa kwamba ugomvi wake na serikali ni mwingine,hapa ni kichaka tu.
Kuna mijitu haijui lugha hii ya mafumbo ila Kwa Mimi hata hainisumbui nilishajifunza siku nyingi
 
Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo Jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yaani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na Jambo Jet bado KQ itapata pesa kupitia precision air
Mbona kama umeumia hivii..kunywa maji bwana upunguze hasira



...oooh sorry kumbe nairobi maji hakuna,no way
 
HAHAHAHA, Kelele za chura hiyo. Uganda ama Rwanda zikifunga Kenya inaweza kuumia lakini si Tanzania. KQ na mtoto wake Jambo Jet zinaenda Entebbe na Kigali kushinda Dar na hizo vitu zingine umetaja
C huwa mnasema hamchangii kwenye majukwaa mengine zaidi ya jukwaa la kenya imekuaje tena umekuja humu ambapo WaTz tunaongea mambo yetu? Au ndio desperation.
 
Boss hizi vitisho zenu hazikuanza leo na Kenya haijashtuka. 2015 GOT ilipunguza frequency ya KQ kuingia Dar kutoka 5 kwa siku mpaka 14 kwa wiki. Wiki iko na siku ngapi 7, haya fanya 14/7=2. Hesabu rahisi hiyo.
Kevin mrudishe zile tausi tuliwapea
Hamnanga shukrani buda.
 
Tumia akili kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha!

Hakuna kitu ilikua inaitwa Chademo!

hapo ndipo niliposemea utumie akili maana ni obvious umekosea sababu ubongo wako ni mbovu na evidence nimeiweka hapo!

Mengine ni blah blah na very subjective!

Unadai TZ hakuna corona,una evidences za upimaji?Huna

Hizi nchi ni watu wenye akili akam nyie,msiwaletee utoto!

Viongozi wa TZ wamefanikiwa kudanganya raia zake kua hakuna covid-19 TZ kwa kutumia propaganda maredioni

Ni too bad hizi nchi za nje zinataka evidences na sio propaganda za Dr Abbas na wengine!

Hapo kagusa Kenya,wanafuata wengine....sijui utanijibu nini hapa!?
Twende kwenye mada ya msingi nimeita hivyo kusud Kwa jina lingine chadomo kama imekuuma jinyonge harafu ulete taarifa hapa umejiskiaje
 
Tanzania tulipokosea ,ni kuanza kujibizana nao.
Hawa binadamu wa aina ya Kenya ni wakunyamazia tu,unajifanya husikii,mwisho wa siku wataonekana wajinga.
 
Kuna watu wanapenda ugomvi, sasa mnashangilia nini yaani. EAC hiyo inavunjika. Soon mabalozi watatimuana kama vile naona soon
Bora ivunjike...jumuiya yenyewe ni ya kijinga tu
 
Covid-19 ni hasara zaidi kwa Wakenya kuliko hela za mauzo wanazopata TZ....

Wakaona wapige chini....

Naona mmefocus na amuzi la Kenya ambalo infact linatutoa kamasi,of which ni tip of the iceberg

Nchi zingine ziki-follow suit,then we are dead!

Maana hatuna majibu ya covid-19 kwa evidences,hatuna...

Naona SA ikipiga ban videnge vya TZ,na wengine wanafuata..

Goodluck dealing with them....

Lazima tutumie akili na kua sincere na kufanya mambo kwa uwazi maana mataifa mengine yapo at stake here...

Msituletee vituko vya Chattle hapa duniani....domino effect inakuja!
Aise,mbona wewe post zako ni future possible tense? yaani wewe kila ukiandika "Kama ziki..." Sasa ni hivi,Dua la kuku halimpati mwewe,marekani ni nchi mojawapo amabyo inayoiamini TZ kwa kupambana na Corona,na watalii wanaendelea kuja,hizo "wishes" zako hazitatokea,but,elewa, TZ hakuna Corona! that's a bitter truth for you to swallow.nakuhakikishia,Uhuru lazima apige goti.
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!
We pimbi kweli? Hayo makorona yaliyojazwa nchini yako wapi? Hebu tuambie namna gani nzuri ya ku-adress hii issue ambapo mtu kaanza kukufungia anga yake. Ulitaka tuwalambe makalio?

Kenya hawakuanza Leo, umesahau walianza kwenye malori. Tulivyowatait Mbona tulielewana. Hawa watu wanatumika na washakula pesa ya mzungu kwahiyo lazima waonyeshe measures wanazochukua kukabiliana Covid ili kujustify mpunga waliokula. So, dawa yao ni kuoneshana makali mpaka tutaelewana.
 
Aise,mbona wewe post zako ni future possible tense? yaani wewe kila ukiandika "Kama ziki..." Sasa ni hivi,Dua la kuku halimpati mwewe,marekani ni nchi mojawapo amabyo inayoiamini TZ kwa kupambana na Corona,na watalii wanaendelea kuja,hizo "wishes" zako hazitatokea,but,elewa, TZ hakuna Corona! that's a bitter truth for you to swallow.nakuhakikishia,Uhuru lazima apige goti.
Marekani ya nyoko
 
Pagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.

Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya[emoji29][emoji29]

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Corona uioni? Hiyo ndiyo sababu ya kutomzika Mkapa
Lakini Wakenya wasituchezee
Wewe ungekuwa presidaa ungekubali ujinga na hila za Wakenya?
 
Back
Top Bottom