This is good news ila hizo pesa ni peanut compared to what German looted Tanzania, hivyo ni sehemu tuu ya CSR. Sasa its high time Tanzania sio tupewe viji misaada mbuzi as favours, bali tupewe haki yetu na mapato stahili ya mali kale zetu zilizoko Ujerumani. Sio vibaya tukiwakumbusha Ujerumani kurudisha fuvu la Mkwawa shujaa, na wale mashujaa wote waliowanyonga, kisha kuwachinja na kuchukua vichwa vyao na kuvipeleka Ujerumani. 2. Warudishe malikale zote walizo loot from German East Africa. 3. Wagharimie kutujengea uwezo wa uhifadhi, ili waturudishie ile skeleton ya dinasauria wetu wa Tendaguru ambeye ndie anayevunja gueness book of records ya dinasauria mkubwa duniani, ambaye anawaingizia Ujerumani bilions of money kupitia utalii. Watujengee uwezo, waturudishie dinasauria wetu, watu waje Tanzania na sio Ujerumani.
P