BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo Mei 12, 2023 Bungeni Dodoma kwenda kwa Waganga wa Wilaya na Mikoa Nchini kote akiwataka kusimamia utoaji wa Dawa hizo kwa Watoto wenye chini ya miaka 5.
Waziri Ummy amesema Dawa hizo zikiwemo Kidonge Myeyuko cha 'Amoxicillin', Zinc na ORS hununuliwa na Serikali ili kuzuia Vifo vinavyotokana na Homa ya Mapafu na Kuhara, hivyo zinapaswa kugawiwa bure kwenye Vituo vyote.