Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Wako sahihi.Ukiwaambia hivyo TANESCO utaambiwa ,"..sisi hatufanyi kazi kwa matamko ya wanasiasa majukwaani,hatujapata taarifa/muongozo rasmi."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako sahihi.Ukiwaambia hivyo TANESCO utaambiwa ,"..sisi hatufanyi kazi kwa matamko ya wanasiasa majukwaani,hatujapata taarifa/muongozo rasmi."
Hiyo ni kwa ajili ya ule umeme unaosambazwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) au ule wa kawaida unaoshughulikiwa na TANESCO moja kwa moja? Na pia kwa nini waziri katumia neno "wanaolazimisha" ina maana kuna nafasi ya "kuwaomba" wananchi kulipia hizo nguzo na wakilipia kwa hiari inakuwa siyo tatizo? Kama hilo la kuwaomba lipo na linaruhusiwa basi kuna uwezekano wa mameneja kulazimisha kwa kutumia lugha ya kuwaomba kulipia kama njia ya kujenga mazingira ya rushwa.
Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Medard Kalemani ameagiza makandarasi au mameneja wanaolazimisha wananchi kulipia nguzo za umeme ili kuunganishiwa nishati hiyo kukamatwa.
Amesema watu hao wanapuuza agizo la Serikali inayotaka nguzo hizo kutolewa bure.
Ametoa ufafanuzi huo Februari 15, 2020 baada ya kupokea malalamiko ya mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya CCM Mkoa wa Geita.
Yakobo amesema licha ya Serikali kutangaza mara kwa mara kuwa nguzo za umeme ni bure wapo makandarasi wanaoendelea kukaidi agizo hilo na kuwatoza wananchi fedha.
Kalemani amewataka wakuu wa Wilaya kote nchini kusimamia agizo hilo na kuwakamata watakaotoza fedha.
Amebainisha kuwa Serikali inatoa nguzo za umeme bure na wananchi wanapaswa kuchangia Sh27,000 pekee kwa ajili ya kuunganishiwa umeme.
Amebainisha kuwa Serikali inatoa nguzo za umeme bure na wananchi wanapaswa kuchangia Sh27,000 pekee kwa ajili ya kuunganishiwa umeme.
Ametoa ufafanuzi huo Februari 15, 2020 baada ya kupokea malalamiko ya mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya CCM Mkoa wa Geita.
Hawawezi kukujibu ndugu yangu hili suala nimewauliza sana hawatoa majibu maana mimi kutoka kwenye source ya umeme niko umbali wa Km 1.5 hivi but wako kimyaNipo umbali wa kilomita 4 kutoka kwenye centre yenye umeme ninahitaji kuunganishiwa umeme na mimi napaswa kupatiwa nguzo bure mpaka sehemu ya makazi yangu ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa enzi hizoooooMwaka wa uchaguzi nchi huwa ni ya maziwa na asali.
Hawawezi kukujibu ndugu yangu hili suala nimewauliza sana hawatoa majibu maana mimi kutoka kwenye source ya umeme niko umbali wa Km 1.5 hivi but wako kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwinge savei anatengeneza mazingira ya pesa ananambia tuinane nduo anuandikie bili kwahiyo anakaribisha maUngumzoo mie ndio wamenichoshaa kweli tanesco na njaa zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasi ya rais Magufuli ni kubwa kuliko watukanaji wake.Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Medard Kalemani ameagiza makandarasi au mameneja wanaolazimisha wananchi kulipia nguzo za umeme ili kuunganishiwa nishati hiyo kukamatwa.
Amesema watu hao wanapuuza agizo la Serikali inayotaka nguzo hizo kutolewa bure.
Ametoa ufafanuzi huo Februari 15, 2020 baada ya kupokea malalamiko ya mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya CCM Mkoa wa Geita.
Yakobo amesema licha ya Serikali kutangaza mara kwa mara kuwa nguzo za umeme ni bure wapo makandarasi wanaoendelea kukaidi agizo hilo na kuwatoza wananchi fedha.
Kalemani amewataka wakuu wa Wilaya kote nchini kusimamia agizo hilo na kuwakamata watakaotoza fedha.
Amebainisha kuwa Serikali inatoa nguzo za umeme bure na wananchi wanapaswa kuchangia Sh27,000 pekee kwa ajili ya kuunganishiwa umeme.
Naomba ufafanuzi tofauti ya single phase na 3phase.na namna ya kuzitumia.nipo gizani kidogo hapo.Ukienda tanesco kuwaeleza hili jambo watakujibu halijapitishwa bungeni [emoji16][emoji16]
Kuvutiwa umeme single phase 321,000/= 3phase 1,912.000 [emoji16][emoji16] wangepatikana wapinzani kama makampuni ya simu wasingethubutu kutupandilia vichwani
Naomba ufafanuzi tofauti ya single phase na 3phase.na namna ya kuzitumia.nipo gizani kidogo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ufafanuzi tofauti ya single phase na 3phase.na namna ya kuzitumia.nipo gizani kidogo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app