Serikali yaamuru shule kufungwa (kuelekea maandamano kesho Julai 19, 2023)

Serikali yaamuru shule kufungwa (kuelekea maandamano kesho Julai 19, 2023)

Kenya wana Katiba Mpya na matokeo wanapingwa Mahakamani lakini watu wanatuhumiana kuibiana kura, wanapelekana Mahakamanj na hukumu zinatoka lakini hawaridhiki wanakuja mtaani kupigana Mawe

hapo kinachotafutwa sio haki ya Raia wa kawaida bali fursa ya Wanasiasa kuingia kwny Serikali ya umoja wa Kitaifa

huku kwetu ukitaka kuitwa Mhafidhina mshawishi Mbowe na Zitto wavitoe vyama vyao kwny keki ya Muafaka
Unapenda sana kufanya citation yako kila mara Kenya, kwani wapi ulipaona wanademokrasia pamoja mfumo mzuri kwenye katiba yao lakini hawaendi mahakamani wala kuandamana? Ubinafsi ndiyo imekujaa.
 
Unapenda sana kufanya citation yako kila mara Kenya, kwani wapi ulipaona wanademokrasia pamoja mfumo mzuri kwenye katiba yao lakini hawaendi mahakamani wala kuandamana? Ubinafsi ndiyo imekujaa.
Napenda sana kutumia reference ya Kenya kwa kuwa ndio reference mliyotumia sana wakati wa uchaguzi wao mkatuambia tujifunze …

kama Wenyewe hadi leo hawajaridhika na uchaguzi wao mlitaka tujifunze nini sasa?…vurugu za uchaguzi ?
 
Rutto kuweka kichwa ngumu itamcost sana...maandamano Siku tatu hapo unakaribisha uasi na movement zisizotarajiwa....Raila Odinga is powerfully sana
 
Maandamano ndio huleta kuheshimiana kwenye nchi. Hapa kwetu makondoo wako kibao. Siku watu uoga utawaisha ndio itakuwa mwisho wa kutawaliwa kwa shuruti na CCM.
Lkin wana katiba safi!

Vipi tena?
 
Natoa tu angalizo Wanaoandamana ni Watu wazima lakini Watoto wananyimwa haki yao ya msingi ya Kusoma

Watanzania tusiige ya Majirani Zetu

Mlale Unono
Ndio maana Tzn haitaruhusu huo upuuzi,watakabiliwa kabla ya kuleta madhara
 
Nchi ambayo CCM imeua elimu ,Raia watajuaje haki zao Kwa sasa adui wa Tanzania ni POLISI ,CCM,UJINGA
 
Natoa tu angalizo Wanaoandamana ni Watu wazima lakini Watoto wananyimwa haki yao ya msingi ya Kusoma

Watanzania tusiige ya Majirani Zetu

Mlale Unono

Haki sio bure. Na mwanadamu lazime afe, iwe kifo akiwa katika harakati za kudai haki, kifo kwa kukosa huduma za matibabu, etc..
 
Tafuta pesa uheshimiwe

Wee unadhan heshma ya Mheshimiwa Mbowe hapo Chadema inatokana na kuongoza maandamano ?
Wewe nani kakukataza kutafuta pesa. Wewe tafuta pesa acha wengine watafute haki.
 
Back
Top Bottom