Serikali yabaini ubadhirifu mabilioni ya fedha za malipo ya korosho. Wakulima wasiolipwa watakiwa kujitokeza na CAG kuikagua bodi ya Korosho

Nani alikuambia? Wizi na ufisadi hauwezi kuisha. Upo hata zile nchi ambazo zina kiwango kidogo cha ufisadi. Kinachotakiwa ni viongozi wenye nia na kiu ya kuuchukulia hatua kama ilivyoibuliwa hapa.

Haaaa haaaa acha nicheke tu, viongozi wenye nia ndio hao wanaingia madarakani kwa kubaka box la kura! Pale muhalifu anapoenda kupambana ili kumaliza uhalifu!
 
Yuko wapi CAG wa kukagua wizi wa Korosho? CAG wa kiukweli Prof Mussa Assad ameondoka, huyu Kicheere atakuja kufanya maigizo kwa kuchukua maelekezo toka kwa Jiwe. Usanii mtupu!!
 
Yuko wapi CAG wa kukagua wizi wa Korosho? CAG wa kiukweli Prof Mussa Assad ameondoka, huyu Kicheere atakuja kufanya maigizo kwa kuchukua maelekezo toka kwa Jiwe. Usanii mtupu!!
CAG ni taasisi!
 
JAMAA hawa ni waongo Duh

Unaunda tume afu unamtaka CAG akague ni upotevu wa pesa kwanini Tume na wakati huohuo CAG KATUMWA NIMATUMIZI MABAYA YA FEDHA ni shida SANA
 
Mtabakia kulilialia tu
Zao la korosho mshaliuaaaaa

Ova
 
Akili yako ya ajabu sana yaani kama wamelipwa kupitia BANK hakuwezi kuwa na ubadhirifu wowote?
 
Hii nchi inaendeshwa kigangster ni kukurupuka full. Watu wanapenda sana sifa na wamezidi ushamba
 
Hawana hela za kuwalipa wakulima waache ubabaishaji, Jiwe si alikuwepo huko Mtwara alijidai hela zipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…