Serikali yabainika kutoa Ksh.147B kinyume cha sheria kutoka kwenye Mfuko wa Pamoja

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Your browser is not able to display this video.

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu Matumizi ya Bajeti Zilizorekebishwa, imefunua jinsi serikali ilivyotumia bilioni 147 za shilingi bila idhini ya Bunge la Kitaifa.

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Nancy Gathungu, inaonesha kuwa jumla ya bilioni 595 za shilingi zilichukuliwa kinyume cha sheria kutoka kwenye hazina katika miaka 9 iliyopita, mbinu ambayo mdhibiti anasema inapunguza imani na uaminifu katika serikali na kuongeza hatari ya rushwa na upotevu wa rasilimali za umma.
 
Kwenye utawala wa kipchirchir arap hiyo "hela ndogo" inakubalika😁
 
The leading country for corruption in East Africa - Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…