Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Unadhani kwenye Movie ndio hakuna uchakachuaji?
Jaribu utajionea mwenyewe....
Well said, maana hata Phd ya kikwete ni mpango ulioratibiwa na Steven Seagal na wenzake, wakati wao hawana hizo Phd.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kwenye Movie ndio hakuna uchakachuaji?
Jaribu utajionea mwenyewe....
Mama Mdogo,
Hivi mmiliki wa Shule anaweza kuwa kwenye list ya waajiriwa wa shule "as a member of staff"?
Kwahiyo wakija wakaguzi naye anakaguliwa "Kitabu cha Maadalizi ya somo e.t.c"!
Kweli Tanzania hakuna lisilowezekana!
Ze forum is the one but .......ze PhD ............. is invesale proposheno na Praimare skuulAm i in right forum??
Mtoa hoja upo sahihi au nitafute miwani nisome upya hii kitu??
USTAADH hebu tufafanulie hizo PhD zinazofundisha Shule za msingi wakati baadhi ya Universities wanatafuta
Its possible mkuu, what if ni kama ile ya jk? zote c ni PhD jamani au?
Bongo zipo hizi jamani, mnasahau Open university wanatoa PhD! Hizi ndo PhD za hawa walimu wa primary. I am sure if they are confident enough that they hold PhD, they would not continue to be where they are.
PhD..............!!!!!!!!!!! .............Primary................!!!!!!!!!!!!!! there must be a typing error somewhere............
they must be kidding!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!PhD..............!!!!!!!!!!! .............Primary................!!!!!!!!!!!!!! there must be a typing error somewhere............
PhD..............!!!!!!!!!!! .............Primary................!!!!!!!!!!!!!! there must be a typing error somewhere............
Hiyo ndio shida ya kukaa bongo bila kutembea na kufunguka macho. Huku US mbona watu wana PhD na Masters na wanafundisha middle schools na high schools.
Cha ajabu ni kipi?
Kama Obama alimaliza Masters (LLM) tena pale Harvard Law na akaenda kuwa Community Organizer sasa ajabu iko wapi?
Tembeeni mjionee
What is the difference between Harvard PhD and Open University PhD? especially when the OUT PhD is not honorary one like Boyz II Men ones :lalala::lalala:
Bongo zipo hizi jamani, mnasahau Open university wanatoa PhD! Hizi ndo PhD za hawa walimu wa primary. I am sure if they are confident enough that they hold PhD, they would not continue to be where they are.
Kwani PhD za Open University ni tofauti na zingine?
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imebainisha kuwa hadi kufikia Juni mwaka huu, shule za msingi zilikuwa na walimu wapatao 58 wenye Shahada ya Udakatari wa Falsafa (PhD) wakati walio na Shahada ya Uzamili ni 75, Shahada ya Kwanza 1,099 na Stashahada ya Ualimu ni walimu 6,512.
Hata hivyo, pamoja na makundi hayo matatu, pia imeonesha kuwa idadi ya walimu wa Daraja la Tatu A ni 148,986 na wa Daraja B na C idadi yao ni 9, 123 sawa na asilimia 5.8 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Taasisi ya BEST 2006-2010.
Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu katika Wizara hiyo, Rose Massenga, alibainisha hayo Novemba 8 wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu, Jumanne Sagini, kufungua mkutano wa wakuu wa vyuo vya ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali mjini hapa.
Kwa mujibu wa Masenga, upande wa walimu wa shule za sekondari wanaofundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, wenye Shahada ni 9,910, Stashahada 22,171, wenye leseni ni 3,997 sawa na asilimia 12.46 na wengine 4, 439 sawa na asilimia 13.84.
Hata hivyo, alisema mahitaji ya walimu wa elimu ya awali na msingi kwa mujibu wa PEDP katika mwaka 2010 hadi 2011, wanahitajika walimu 18, 783 kati ya hao 15, 783 ni wa msingi na 3,000 wa elimu ya awali, ambapo elimu ya sekondari kwa kipindi hicho wanahitajika walimu 30,075.
Alisema mafanikio ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya elimu ya msingi na ule wa elimu ya sekondari, imesababisha ujenzi wa shule nyingi za msingi na sekondari uliambatana na uandikishaji wa wanafunzi wengi kwenye ngazi hizo na matokeo yake kusababisha mahitaji makubwa ya walimu.
Hivyo alisema ni vyema ieleweka kuwa msimamizi wa utoaji wa mafunzo ya ualimu unazingatia mambo mengi vikiwemo sheria, kanuni na miongozo mbalimbali inayoelezeka katika viwango vya kitaifa na kimataifa.
Naye mgeni rasmi, Sagini alisema shule za msingi zina uhaba wa walimu wasiopungua 45,000, wakati upungufu ni mkubwa zaidi kwa sekondari katika masomo ya sayansi.
Hata hivyo, alisema ngazi ya elimu ya msingi idadi ya wanafunzi imeongezeka maradufu kutoka milioni nne mwaka 2001 hadi milioni 8.4 mwaka 2010, ambapo shule za sekondari idadi ya wanafunzi imeongezeka kutoka chini ya 300,000 mwaka 2001 hadi milioni 1.6 mwaka 2010.
Sagini alisema wakati idadi ya wanafunzi ikiongezeka kwa kiwango hicho kikubwa, idadi ya walimu imekuwa ikiongezeka kwa kiasi kidogo ambacho hakitoshelezi mahitaji ya ngazi ya msingi na sekondari.
Pamoja na hayo, amekipongeza Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa kupendekeza na kukubaliana kutafakari hoja ya kuimarisha mafunzo ya ualimu na kupata utaratibu wa mafunzo ya ualimu ulio bora zaidi utakaowezesha kufanikisha malengo ya elimu kuanzia elimu ya awali hadi vyuo vya ualimu na vyuo vikuu.
Na ukiona wa PhD anafundisha primary.............nina wasi wasi na hiyo PhD inayozungumziwaWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imebainisha kuwa hadi kufikia Juni mwaka huu, shule za msingi zilikuwa na walimu wapatao 58 wenye Shahada ya Udakatari wa Falsafa (PhD) wakati walio na Shahada ya Uzamili ni 75, Shahada ya Kwanza 1,099 na Stashahada ya Ualimu ni walimu 6,512.
Hata hivyo, pamoja na makundi hayo matatu, pia imeonesha kuwa idadi ya walimu wa Daraja la Tatu A ni 148,986 na wa Daraja B na C idadi yao ni 9, 123 sawa na asilimia 5.8 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Taasisi ya BEST 2006-2010.
Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu katika Wizara hiyo, Rose Massenga, alibainisha hayo Novemba 8 wakati akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu, Jumanne Sagini, kufungua mkutano wa wakuu wa vyuo vya ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali mjini hapa.
Kwa mujibu wa Masenga, upande wa walimu wa shule za sekondari wanaofundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita, wenye Shahada ni 9,910, Stashahada 22,171, wenye leseni ni 3,997 sawa na asilimia 12.46 na wengine 4, 439 sawa na asilimia 13.84.
Hata hivyo, alisema mahitaji ya walimu wa elimu ya awali na msingi kwa mujibu wa PEDP katika mwaka 2010 hadi 2011, wanahitajika walimu 18, 783 kati ya hao 15, 783 ni wa msingi na 3,000 wa elimu ya awali, ambapo elimu ya sekondari kwa kipindi hicho wanahitajika walimu 30,075.
Alisema mafanikio ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya elimu ya msingi na ule wa elimu ya sekondari, imesababisha ujenzi wa shule nyingi za msingi na sekondari uliambatana na uandikishaji wa wanafunzi wengi kwenye ngazi hizo na matokeo yake kusababisha mahitaji makubwa ya walimu.
Hivyo alisema ni vyema ieleweka kuwa msimamizi wa utoaji wa mafunzo ya ualimu unazingatia mambo mengi vikiwemo sheria, kanuni na miongozo mbalimbali inayoelezeka katika viwango vya kitaifa na kimataifa.
Naye mgeni rasmi, Sagini alisema shule za msingi zina uhaba wa walimu wasiopungua 45,000, wakati upungufu ni mkubwa zaidi kwa sekondari katika masomo ya sayansi.
Hata hivyo, alisema ngazi ya elimu ya msingi idadi ya wanafunzi imeongezeka maradufu kutoka milioni nne mwaka 2001 hadi milioni 8.4 mwaka 2010, ambapo shule za sekondari idadi ya wanafunzi imeongezeka kutoka chini ya 300,000 mwaka 2001 hadi milioni 1.6 mwaka 2010.
Sagini alisema wakati idadi ya wanafunzi ikiongezeka kwa kiwango hicho kikubwa, idadi ya walimu imekuwa ikiongezeka kwa kiasi kidogo ambacho hakitoshelezi mahitaji ya ngazi ya msingi na sekondari.
Pamoja na hayo, amekipongeza Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kwa kupendekeza na kukubaliana kutafakari hoja ya kuimarisha mafunzo ya ualimu na kupata utaratibu wa mafunzo ya ualimu ulio bora zaidi utakaowezesha kufanikisha malengo ya elimu kuanzia elimu ya awali hadi vyuo vya ualimu na vyuo vikuu.