Tetesi: Serikali yadaiwa kumvua uraia Padri wa Kanisa Katoliki

Kisheria, ni nini wanadai kime justify kushuku uraia wake?

In other words, what is the probable cause, kitu kinachofanya atiwe shaka Bakari au Neema na siyo Mzee wa Upako au Shehe Kipozeo au Mchungaji Mama Rwakatare au Alhaji Jakaya Kikwete.
 
Nchi ipo kwenye giza nene sana
We mkuu ni hamnazo, unaamka asubuhi unaenda kugombania usafiri wa kwenda kazini unafika kazini unasubiri mda wa chai ukanywe, lanchi ukale, jioni ukagombanie usafiri urudi home, uko salama km una familia inategemea utarudi salama hawategemei hata siku moja utalipukiwa na bomu au utakuta vita njiani inaendelea, afu hayo yote hamna unaleta ushuzi wa nchi iko kwenye giza, nenda usiku baa uone giza lipo wapi watu wanakula bata, maclub yanajaa, asubuhi saa 11 wanaamsha makazini we hilo giza umeliona wapi mkuu, acha kupotosha akili finyu za wafuasi wenzio
 
unaweza kua sahihi,lakini huyo padri ni mrundi,hapo hata akipiga novena itamrudia hakuna dhulma hapo,ametendewa haki
Tanzania ndio nchi pekee dunia,mgeni anaweza kujichanganya na raia,akapata pasi na kadi ya kura akajifanya mtanzania
Hivyo vitu anavipataje kama siyo raia?
 
Kikao kile na Maaskofu hawakuzungumzia mambo kama hayo? Walikwenda kufanya nini?
 
kama wewe ni mtanzania,huwezi kushindwa kuonesha walipozikwa wazee wako,muite Helsinki nae awe mkimbizi wa kiuchumi
Uelewa finyu, waliozama na MV bukoba takribani watu 1000 na MV Spice Islander iliyoua karibu watu 200 unaweza kutuonyesha makaburi yao yako wapi, acheni ushabiki maandazi.
 
Uelewa finyu, waliozama na MV bukoba takribani watu 1000 na MV Spice Islander iliyoua karibu watu 200 unaweza kutuonyesha makaburi yao yako wapi, acheni ushabiki maandazi.
hata ukiacha hiyo, kuna watu hawakukulia makwao, wametawanyika wakiwa wadogo na hivyo hawawezi kujua mambo ya makabuli! Ni mpaka awe na shida na vitu kama hivyo. Mimi sijui makaburi ya babu/bib zangu nilikuwa wamekufa kitambo na sukulia nyumbani, nitajuaje makaburi hayo!
 
Hao wote uliowataja kimajina tu unajua kuwa si raia wa Tz mi naona serikali inafanya sawa tu
 

Ok!!!
 
Yaani mzee Saba wa Mwanga Majengo ni mgeni? Kigoma lazima watu wafanye kitu cha tofauti ili tabia hii ikome.Ni kigoma pekee ndiko utashushwa kwenye gari pale kankoko kuulizwa kitambulisho.
 
unaweza kua sahihi,lakini huyo padri ni mrundi,hapo hata akipiga novena itamrudia hakuna dhulma hapo,ametendewa haki
Tanzania ndio nchi pekee dunia,mgeni anaweza kujichanganya na raia,akapata pasi na kadi ya kura akajifanya mtanzania
Unaongea usilo lijua.Wale tuliosoma Katubuka shule ya msingi tunaifahamu vizuri familia hii.Hata mdogo wake Alex ni padri ila hili halijamgusa.
 
Maombi haya yaliyofanyika kipindi kile yafanyike na kwa huyu dhalimu aliyemjua Mungu.
 
Na Wewe mhamiaji haramu
 
Ndugu hata kama unasema ukweli,cheki facts zako kwanza,kabla hujaweka bandiko,Eyakuze sio mzaliwa wa Kigoma,ni Mhaya wa Bukoba,aliyezaliwa Mwanza
 
Nilishawahi kusikia kuwa Kikwete na mwinyi ni descendants wa kiarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…