sawa aende tu vaticanHivi mandela angesema awafukuze wale wazungu wote wangekwenda wapi manake sio kwao kule, wangerudi uholanzi nan angewapokea na wangekaa wapi, keshokutwa mtamsikia yuko vatican na cheo kikubwa tu jiwe lenu litaenda na kuomba kw huyo huyo aombewe