nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Teh hivi padre ana mamlaka gani katika nchi hii kumfanya asiguswe?
-au unaamini Padre ndio yesu mwenyewe?
-
-
-au unaamini Padre ndio yesu mwenyewe?
-
-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuone daktari mapigo yako ya moyo yameshuka na acid imekuwa nyingi mwilini mwako kwa hasira na chuki!mpuuzi mkubwa wewe ,jenga hoja juu ya tuhuma nzito inazorushiwa serikali, ipo siku huyo Dikteta mnayeshinda Humu kumsifia ndo ataomba asylum.
kwani Kuna ulazima wote tuwe watanzania wacha wengine wanyang'anywe tu!Kama ubongo wako hauwezi kupambanua mambo ya msingi rudi kwenye uzi wa dreamliner ukaelezee wi-fi
Teh hivi padre ana mamlaka gani katika nchi hii kumfanya asiguswe?
-au unaamini Padre ndio yesu mwenyewe?
-
-
waumini " wenyewe wa Tz ni alijojo " hamna kitu" kila mtu anayaogopa mauti" ... hakuna wakuthubutu kumtoa jiwe madarakani" kama ingelikuwa wapo/yupo" basii mpaka sasa hivi jiwe angelikuwa ameshakimbilia uhamishoni".... wabongo wote ni watu waoga tu" makelele mengi vitendo 0Kuna tetesi kuwa Serikali inapanga au imemvua Padre fulani uraia kisa walaka wa TEC. Nataka niseme kuwa kanisa huwa halichezewi na walevi wa madaraka, ulimweni kote kanisa linaheshimika. Nataka niwaombe viongozi kanisa Katoliki, huyo Padre wanaemuandama msiruhusu aende popote, baada ya hapo tupe taarifa sisi waumini tuone mtu yeyote kama atamgusa.
Ndio wameanza kumgusa sasa,Mguse sawaswa ndio utajua Padre ni nani
Tafadhali funguka zaidi kuhusu huo mkasa/habari. NimevutiwaSasa huku tunakokwenda si kuzuri.
Ninakumbuka Namfua alitaka ardhi ya watawa wa kanisa Katoliki Kilacha itolewe kwa vijiji vya ujamaa.
Alisema ”ardhi itolewe kwa watu wanaozaa na kujenga taifa kuliko kuwaachia wale matasa”. Watawa walianza Novena, Namfua alipata ajali mbaya iliyisabisha kifo chake.
Unaongea ujinga, achana na kiongozi wa dini wewe,Teh hivi padre ana mamlaka gani katika nchi hii kumfanya asiguswe?
-au unaamini Padre ndio yesu mwenyewe?
-
-
Hao maafisa uhamiaji wengi wao ukiwapa mtihani huohuo sijui wataishia nao kuvuliwa uraia?Mimi ni mtanzania original lakini kweli ukiniambia nikuonyeshe kaburi la bibi mzaa baba sijui nitaanzia wapi. Kwa kigezo hichi cha makaburi wengi sii raia.
kwanini unahisi mimi ndo nimeongea ujinga na sio wewe?Unaongea ujinga, achana na kiongozi wa dini wewe,
🙆🏽♂️🙆🏽♂️Teh hivi padre ana mamlaka gani katika nchi hii kumfanya asiguswe?
-au unaamini Padre ndio yesu mwenyewe?
-
-
Ngoja aje Padri McharoMguse sawaswa ndio utajua Padre ni nani
Unataka wote wawe mang'ombe? Waburuzwe tu bila kuhoji? Akili alizotupa Mungu sio za kwendea chooni tu lazima ufikiri na kuhoji.Ila Kigoma kz ipo uraia wao huwa una mashaka kwa sababu ya mwingiliano Mkubwa na tamaduni zinazofanana na akina kurunziza.Na wao wapunguze ubishi maana ni wabishi kupita kiasi!
Unatapika au unahara?Msaidie kupata asylum nae aishi huko ughaibuni!
Kwa hiyo anaanza utaratibu nchi nzima kuwaondoa au mpaka utoe tamko fulani ndio uchunguzi uanzeSerikali ndio wanajisahihisha sasa muache kulalamika.
Tunawasifu maaskofu na mapadre wa katoliki nchini DRC wamefanya kazi yao ya kitume na matokeo yake tumeyaonaInauma miongoni mwa Mapadre ninaowapenda na kuwakubali sana Ni katibu Mkuu Padre Raymond Saba inauma sana unafiki wa baadhi ya Maaskofu wakatoliki kuficha na kushindwa kuusema ukweli huyo anaeagiza wahoji uraia ni raia wa wapi
Kuna siku utakuwa wa mabuwaMkono wa CHUMA.
Mbona warundi wamejaa sana hapa nchini?unaweza kua sahihi,lakini huyo padri ni mrundi,hapo hata akipiga novena itamrudia hakuna dhulma hapo,ametendewa haki
Tanzania ndio nchi pekee dunia,mgeni anaweza kujichanganya na raia,akapata pasi na kadi ya kura akajifanya mtanzania