Tetesi: Serikali yadaiwa kumvua uraia Padri wa Kanisa Katoliki

....nawe ni mpinzani....inawezekana jamaa kaweka chumvi kwenye maelezo yake hebu wewe weka ukweli wa Maswali aliyoulizwa nasi tujue
 
Mimi ni mtanzania original lakini kweli ukiniambia nikuonyeshe kaburi la bibi mzaa baba sijui nitaanzia wapi. Kwa kigezo hichi cha makaburi wengi sii raia.
Hata huyo anayesema uonyeshe ukimwambia yeye aonyeshe sidhani kama ataweza
 
unaweza kua sahihi,lakini huyo padri ni mrundi,hapo hata akipiga novena itamrudia hakuna dhulma hapo,ametendewa haki
Tanzania ndio nchi pekee dunia,mgeni anaweza kujichanganya na raia,akapata pasi na kadi ya kura akajifanya mtanzania
Samahani kabonde na mh mbona anatika urundini pia
 
Kwani viongozi walio tangulia hawakuwa wanawajua kuwa ni warundi?mbona kuna wasomali wamejaa lkn hamuwaandami kiasi hicho?
Ni jukumu lako kama mtanzania kumchoma mtu kama sio raia,kulia mitandaoni hakukusaidii
Mbona mkienda nchi za watu mnajificha kama kunguru mki overstay?Tanzania sio shamba la bibi
 
Ni jukumu lako kama mtanzania kumchoma mtu kama sio raia,kulia mitandaoni hakukusaidii
Mbona mkienda nchi za watu mnajificha kama kunguru mki overstay?Tanzania sio shamba la bibi
Kinana kwao wapi?
 
Mkuu,ushauri wako natumai utazingatiwa.
 
Samahani Mimi nipo kigoma wenyeji wanasema alitoka huku
 
Huo waraka wa wakatoliki aliouandika UPO WAPI mkuu? au na wewe umesikia tu!
Maana wa KKKT tumeuona wote.
 
Hongera sana Dr. Charles Kitima kwa uteuzi, huyu ni mtu makini sana na hana makuu
 
Raha ni pale muhumini wao mwenyewe anavyowashugulikia maaskofu wake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinana kwao wapi?

Tanzania. Kinachozungumziwa Hapa ni kuupata Urai kwa njia za kihalali.

Jiuulize:?Manji, Bakhresa , wahindi, NA asilimia kubwa ya wazanzibari wenye asili ya kiarabu kwao ni wapi?

Hatuna habari kamili bali inaonyesha kama huyu Askofu hakupitia njia sahihi kupata uraia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…