Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Maanake Kigamboni isingepaswa kuwa Makazi kama wangeangalia Miaka 1000 mbele.

Kigamboni ingekua Economic Special Zonal ya Viwanda, Jeshi, Airport, Bandari , Tafiti mbali mbali ,

Eneo Hili Sijui kwanini Tuliruhusu Makazi
Na hivyo ndo ilivyopaswa kuwa!

Tatizo Tanzania hatuna watu wa mipango miji na makazi tuna wapima viwanja tu
 
Marekani nao ni hopeless, hawawezi kuwekeza hapo, unless kama mnawapa military base na uranium, they are equally wachenzi kama China
Halafu wamarikani siyo wabobevu katika biashara ya uendeshaji wa bandari. Wapi wamewahi kufanya hii kitu?
 
Nyepesi zilizopo ni kuwa mama kishawapa wajomba zake. Hivyo hii ni janja ya kuvunja mazungumzo ya awali Ina lengo la kuwafukuza wawekezaji wengine. Halafu baad ya wiki chache tu watatangazwa wajomba kuwa wameonesha nia.

Hii bandari, kumbukeni ni lazima ijengwe.
 
Biden kaandaa kikao na viongozi wa Afrika. Nadhani kitafanyika siku si nyingi sana.

Tuombe uzima tusikie jinsi Marekani atakavyotangaza mabadiliko ya Sera yake kwa Afrika. Wabashiri wanadai sasa Marekani ataanza uwekezaji mkubwa Afrika kama anavyofanya China. Tusubiri tuone
Atakuja na masharti kama kawaida ushoga kwanza mengine baadae.
 
Kuna watu walisema China walipewa bandari ya bagamoyo bure kubadilishana na ONE mmoja aliyekamatwa China kumbe ni uzushi mtupu
 
Ni Rasmi Mkataba Huo ni Kichaa pekee angekubali masharti yale .

Kufufuliwa kwa mazungumzo yale Vijana wengi ambao hata Mkataba awajawahi kuuona walidai JPM alikataa mradi kwa roho mbaya[emoji28][emoji28]

Leo Hii Vichwa Chini Yuko wapi Yule Ngoswe Wa Kigoma Mchumba wa Serikali ya Kule Zenji na Kiongozi Mkuu wa zambarau?? alidai Tumejikosesha uchumi[emoji3] wakati hata mkataba ajawahi utia machoni
Huyu ni mchumia tumbo na mtu hatari sana kwani yeye lake ni tumbo lake kwanza 🤣
 

SERIKALI imeanza mchakato wa kutafuta mwekezaji mpya kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kutokufikiwa mwafaka na hatimaye kujitoa.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, alisema hayo jana alipoulizwa swali na waandishi wa habari kuhusiana na hatua ambayo serikali imefikia katika mpango wake wa kuanza ujenzi wa bandari hiyo.

“Bandari ya Bangamoyo ni kweli muda mrefu tumeizungumza na tulikuwa tunaenda vizuri na baadhi ya watu lakini sasa hivi inaonekana yale mazungumzo hayakwenda vizuri. Mwenyewe ameamua hatoendelea kuwekeza huko,” alisema Prof. Mbarawa.

Pia alisema hata baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kuvunjika, nia ya serikali ya kujenga bandari hiyo iko pale pale.

“Nia ya serikali iko pale pale kwa sababu tunajua bandari hii ya Dar es Salaam inaanza kufika mahali inashindwa uwezo wake na bandari itakayotuokoa ni hii ya Bagamoyo. Kwa hiyo hilo la serikali tunalijua na tutahakikisha tunalisimamia ili tuijenge haraka iwezekanavyo.

“Katika mpango huu, naamini tutapata wawekezaji wengine wazuri na wenye uwezo wa kujenga bandari hii ya Bagamoyo,” alisema Mbarawa.

Wakati wa Bunge la Bajeti lililomalizika Juni 30, mwaka huu, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka 2022/23, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema katika kipindi cha mwaka 2021/22, serikali ilifufua majadiliano ya mradi wa Bandari na Kanda Maalum ya Bagamoyo (BSEZ) uliosimama tangu mwaka 2018.

Alisem wizara yake ndiyo ilikuwa inaratibu uendelezaji wa BSEZ unaolenga kuendana na ushindani wa biashara za usafiri wa majini pamoja na kuunganisha shughuli zingine za kiuchumi ikiwamo viwanda na utalii.

Dk. Kijaji alisema wizara hiyo ilifufua majadiliano na wawekezaji ambao ni Merchants Holdings (International) Co. Ltd (CMHI) ya China na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman (OIA) ambayo awali ilikuwa inaitwa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman (SGRF).

Kwa mujibu wa Kijaji, majadiliano hayo yalihusu eneo dogo la mradi wa BSEZ kwa kuendeleza eneo la hekta 3,087 kati ya hekta 9,887 ambapo unahusisha ujenzi wa bandari.

Pia alisema mpango huo ulihusisha ujenzi wa kituo cha usafirishaji kwenye eneo la hekta 887 na uendelezaji wa eneo maalum la viwanda kwenye eneo la hekta 2,200.

Chanzo: IPP MEDIA
[emoji38][emoji38][emoji38] Afe kipa afe beki .
 

SERIKALI imeanza mchakato wa kutafuta mwekezaji mpya kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kutokufikiwa mwafaka na hatimaye kujitoa.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, alisema hayo jana alipoulizwa swali na waandishi wa habari kuhusiana na hatua ambayo serikali imefikia katika mpango wake wa kuanza ujenzi wa bandari hiyo.

“Bandari ya Bangamoyo ni kweli muda mrefu tumeizungumza na tulikuwa tunaenda vizuri na baadhi ya watu lakini sasa hivi inaonekana yale mazungumzo hayakwenda vizuri. Mwenyewe ameamua hatoendelea kuwekeza huko,” alisema Prof. Mbarawa.

Pia alisema hata baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kuvunjika, nia ya serikali ya kujenga bandari hiyo iko pale pale.

“Nia ya serikali iko pale pale kwa sababu tunajua bandari hii ya Dar es Salaam inaanza kufika mahali inashindwa uwezo wake na bandari itakayotuokoa ni hii ya Bagamoyo. Kwa hiyo hilo la serikali tunalijua na tutahakikisha tunalisimamia ili tuijenge haraka iwezekanavyo.

“Katika mpango huu, naamini tutapata wawekezaji wengine wazuri na wenye uwezo wa kujenga bandari hii ya Bagamoyo,” alisema Mbarawa.

Wakati wa Bunge la Bajeti lililomalizika Juni 30, mwaka huu, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka 2022/23, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema katika kipindi cha mwaka 2021/22, serikali ilifufua majadiliano ya mradi wa Bandari na Kanda Maalum ya Bagamoyo (BSEZ) uliosimama tangu mwaka 2018.

Alisem wizara yake ndiyo ilikuwa inaratibu uendelezaji wa BSEZ unaolenga kuendana na ushindani wa biashara za usafiri wa majini pamoja na kuunganisha shughuli zingine za kiuchumi ikiwamo viwanda na utalii.

Dk. Kijaji alisema wizara hiyo ilifufua majadiliano na wawekezaji ambao ni Merchants Holdings (International) Co. Ltd (CMHI) ya China na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman (OIA) ambayo awali ilikuwa inaitwa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman (SGRF).

Kwa mujibu wa Kijaji, majadiliano hayo yalihusu eneo dogo la mradi wa BSEZ kwa kuendeleza eneo la hekta 3,087 kati ya hekta 9,887 ambapo unahusisha ujenzi wa bandari.

Pia alisema mpango huo ulihusisha ujenzi wa kituo cha usafirishaji kwenye eneo la hekta 887 na uendelezaji wa eneo maalum la viwanda kwenye eneo la hekta 2,200.

Chanzo: IPP MEDIA
Mara juzi habari ikaja humu humu kua wamevunja mradi

Leo wamerudi na hili tena

Mama kweli ni mama,hawezi kazi za baba.....2025 ifike mapema tupeleke mtu nyumbani akapikie wajukuu
 
Uache uongo, Marekani hawezi kuwekeza bandari ya bagamoyo na hiyo nia haipo.

Sana sana hapo ni kuwabembeleza hao wa- OMAN
Anayewekeza anatakiwa aone fursa na mwenye nchi aone faida ya uwekezaji huo.
Kubembelezana siyo kwa uwekezaji endelevu.
 
Marekani nao ni hopeless, hawawezi kuwekeza hapo, unless kama mnawapa military base na uranium, they are equally wachenzi kama China
Ila ni bora wao kuliko macho madogo ambao wao sehemu zote walizowekeza ni majanga tu Sri Lanka, Zambia na sehemu zingine
 
Kwani lazima wawekezaji? Kama tuliwekeza kwenye kununua ndege matrilioni ya shilingi tunashindwa nini kuwekeza fedha zetu wenyewe?

Hapo kinachotakiwa ni serikali kuweka mipango ya muda mrefu ya kuwekeza bila kuathiri miradi mengine.

Mama Samia hii ni fursa yako ya kuweka legacy(alama ya uongozi wako), Jenga mwenyewe hiyo Bandari.
Ten billion dollars sio pesa ya mchezo mchezo hizo dreamliner unaokota zaidi ya 20
 

SERIKALI imeanza mchakato wa kutafuta mwekezaji mpya kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kutokufikiwa mwafaka na hatimaye kujitoa.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, alisema hayo jana alipoulizwa swali na waandishi wa habari kuhusiana na hatua ambayo serikali imefikia katika mpango wake wa kuanza ujenzi wa bandari hiyo.

“Bandari ya Bangamoyo ni kweli muda mrefu tumeizungumza na tulikuwa tunaenda vizuri na baadhi ya watu lakini sasa hivi inaonekana yale mazungumzo hayakwenda vizuri. Mwenyewe ameamua hatoendelea kuwekeza huko,” alisema Prof. Mbarawa.

Pia alisema hata baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kuvunjika, nia ya serikali ya kujenga bandari hiyo iko pale pale.

“Nia ya serikali iko pale pale kwa sababu tunajua bandari hii ya Dar es Salaam inaanza kufika mahali inashindwa uwezo wake na bandari itakayotuokoa ni hii ya Bagamoyo. Kwa hiyo hilo la serikali tunalijua na tutahakikisha tunalisimamia ili tuijenge haraka iwezekanavyo.

“Katika mpango huu, naamini tutapata wawekezaji wengine wazuri na wenye uwezo wa kujenga bandari hii ya Bagamoyo,” alisema Mbarawa.

Wakati wa Bunge la Bajeti lililomalizika Juni 30, mwaka huu, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka 2022/23, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema katika kipindi cha mwaka 2021/22, serikali ilifufua majadiliano ya mradi wa Bandari na Kanda Maalum ya Bagamoyo (BSEZ) uliosimama tangu mwaka 2018.

Alisem wizara yake ndiyo ilikuwa inaratibu uendelezaji wa BSEZ unaolenga kuendana na ushindani wa biashara za usafiri wa majini pamoja na kuunganisha shughuli zingine za kiuchumi ikiwamo viwanda na utalii.

Dk. Kijaji alisema wizara hiyo ilifufua majadiliano na wawekezaji ambao ni Merchants Holdings (International) Co. Ltd (CMHI) ya China na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman (OIA) ambayo awali ilikuwa inaitwa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman (SGRF).

Kwa mujibu wa Kijaji, majadiliano hayo yalihusu eneo dogo la mradi wa BSEZ kwa kuendeleza eneo la hekta 3,087 kati ya hekta 9,887 ambapo unahusisha ujenzi wa bandari.

Pia alisema mpango huo ulihusisha ujenzi wa kituo cha usafirishaji kwenye eneo la hekta 887 na uendelezaji wa eneo maalum la viwanda kwenye eneo la hekta 2,200.

Chanzo: IPP MEDI


SERIKALI imeanza mchakato wa kutafuta mwekezaji mpya kwa ajili ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kutokufikiwa mwafaka na hatimaye kujitoa.

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, alisema hayo jana alipoulizwa swali na waandishi wa habari kuhusiana na hatua ambayo serikali imefikia katika mpango wake wa kuanza ujenzi wa bandari hiyo.

“Bandari ya Bangamoyo ni kweli muda mrefu tumeizungumza na tulikuwa tunaenda vizuri na baadhi ya watu lakini sasa hivi inaonekana yale mazungumzo hayakwenda vizuri. Mwenyewe ameamua hatoendelea kuwekeza huko,” alisema Prof. Mbarawa.

Pia alisema hata baada ya mazungumzo na mwekezaji wa awali kuvunjika, nia ya serikali ya kujenga bandari hiyo iko pale pale.

“Nia ya serikali iko pale pale kwa sababu tunajua bandari hii ya Dar es Salaam inaanza kufika mahali inashindwa uwezo wake na bandari itakayotuokoa ni hii ya Bagamoyo. Kwa hiyo hilo la serikali tunalijua na tutahakikisha tunalisimamia ili tuijenge haraka iwezekanavyo.

“Katika mpango huu, naamini tutapata wawekezaji wengine wazuri na wenye uwezo wa kujenga bandari hii ya Bagamoyo,” alisema Mbarawa.

Wakati wa Bunge la Bajeti lililomalizika Juni 30, mwaka huu, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara kwa mwaka 2022/23, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema katika kipindi cha mwaka 2021/22, serikali ilifufua majadiliano ya mradi wa Bandari na Kanda Maalum ya Bagamoyo (BSEZ) uliosimama tangu mwaka 2018.

Alisem wizara yake ndiyo ilikuwa inaratibu uendelezaji wa BSEZ unaolenga kuendana na ushindani wa biashara za usafiri wa majini pamoja na kuunganisha shughuli zingine za kiuchumi ikiwamo viwanda na utalii.

Dk. Kijaji alisema wizara hiyo ilifufua majadiliano na wawekezaji ambao ni Merchants Holdings (International) Co. Ltd (CMHI) ya China na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman (OIA) ambayo awali ilikuwa inaitwa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Oman (SGRF).

Kwa mujibu wa Kijaji, majadiliano hayo yalihusu eneo dogo la mradi wa BSEZ kwa kuendeleza eneo la hekta 3,087 kati ya hekta 9,887 ambapo unahusisha ujenzi wa bandari.

Pia alisema mpango huo ulihusisha ujenzi wa kituo cha usafirishaji kwenye eneo la hekta 887 na uendelezaji wa eneo maalum la viwanda kwenye eneo la hekta 2,200.

Chanzo: IPP MEDIA
Hakipo kitachoendelea bwagamoyo, kinachofanyika ni "ANAJIKOSHA"

Tangu lini Biashara kubwa namna hiyo zikapewa Nchi mbili tena giants zipambanie Bandari moja!!!!!

Hapa Tz Pana wahuni aseeee!!!!!😀😀.
 
Mradi wa bandari Bagamoyo una kipaumbele gani katika mahitaji yetu baada ya kuwekeza fedha nyingi bandari za Dsm, Tga na Mtwara? Kidokezo nionacho cha kukazania ujenzi huo kipo katika repoti ya CAG kuhusu mradi unaoendelea bandari ya Tanga. Alliyepata tenda ya ujenzi analipwa zaidi ya Shs. 104 bilioni. Yeye katoa kazi hiyo ya ujenzi kwa kampuni nyingine akiilipa Shs.40 bilioni! Jirani na bandari ya Tanga ,sekta hiyo hiyo ya usafirishaji shirika la reli TRC limekarabati majengo ya stesheni, bohari na ofisi kwa gharama kubwa. Miaka inapita majengo hayo hayatumiki. Kidokezo kingine hicho.
 
Maanake Kigamboni isingepaswa kuwa Makazi kama wangeangalia Miaka 1000 mbele.

Kigamboni ingekua Economic Special Zonal ya Viwanda, Jeshi, Airport, Bandari , Tafiti mbali mbali ,

Eneo Hili Sijui kwanini Tuliruhusu Makazi
Kwakweli. Katika eneo ambalo limenikalia kushoto ni hilo🙌
 
Kila nchi itakayokuja haitakuwa tofauti sana na china .tuache ukichwa boga wa kiafrika ,tuuziane hisa tujenge taratibu kwa malengo ni suala la.kujiamini na kuwa na flexibility ya ki mawazo. Hii babdari tukicheza nayo ndo litakuwa kaburi kama sri lanka
 
Kwani lazima wawekezaji? Kama tuliwekeza kwenye kununua ndege matrilioni ya shilingi tunashindwa nini kuwekeza fedha zetu wenyewe?

Hapo kinachotakiwa ni serikali kuweka mipango ya muda mrefu ya kuwekeza bila kuathiri miradi mengine.

Mama Samia hii ni fursa yako ya kuweka legacy(alama ya uongozi wako), Jenga mwenyewe hiyo Bandari.
Kinachotafutwa hapo ni namna ya ku.mpa huyo anayeitwa mwekezaji toka UAE mengine ni ujanjaujanja wa kuhalalisha mipango iliyokwishaamuliwa.

Kama kungekuwa na uhitaji wa kweli wa bandari ya Bagamoyo ( naamini haupo) basi tungejengq wenyewe bila kuhitaji mwekezaji, ni rahisi tungesubiri tumalize kujenga JNHPP Rufiji na SGR kisha kuhamia kuanza, kujenga bandari ya Baganoyo kwa pesa zetu wenyewe na tungeweza kwa sababu kiasi cha pesa tunazotenga,katika bajeti ya kika mwaka kwa ajili ya miradi ya JNHPP na SGR tungezitenga kwa ujenzi wa bandari; lakini kwa kuwa nia sio njema ila ni kwa ajili ya maslahi binafsi ndio maana unasikia hizo hadithi za mwekezaji. Na mwekezaji mpya tayari yupo mfukoni ni timing tu ya ku.mtambulisha inatafutwa.
 
Back
Top Bottom