this is among very visionary comments within this very esteemed platform JF...Tahadhari, :-
MAMBO MUHIMU YA UHIFADHI WA RASILIMALI ZA MBUGA ZETU ZILIZOPO KWENYE MIPANGO YA UHIFADHI NA URITHI WA DUNIA, TUSIGEUZE KUWA MASUALA YA KISIASA, UHIFADHI HAINA UDUGU NA SIASA! TUELEWE HILI.
Ilikuwepo lakini machawa wamekuwa hawaifanyii kazi.kwani hiyo section ilikua hakuna wakati wa wenye kiburi na jeuri walipokua mabosi wa TLS japo sifahamu inaeleza au kuhusu nini π
Wanasemaga hakuna mkate mgumu mbele ya Chai π ππTangazo batili! Serikali itajuta kumuachia Mwabukusi kuwa Rais wa TLS!
Kila zama na kitabu chake subiri Mwabukusi aifanyie kazi ndiyo utajua ilikuwepo au haikuwepo. Kumbuka Tundu Lissu na Fatuma Karume ni wahanga wa section hiyo na kwa sasa msitegemee kumdhuru Mwabukusi hamtabaki salama!kwani hiyo section ilikua hakuna wakati wa wenye kiburi na jeuri walipokua mabosi wa TLS japo sifahamu inaeleza au kuhusu nini π
Siku njema huonekana asubuhi hivyo matumaini ni makubwa mno!Wanasemaga hakuna mkate mgumu mbele ya Chai π ππ
Lakini ngoja tuone bado ni mapema sana kufanya speculation's ππ
ni wahanga wa kiburi na jeuri yao usipotoshe tafadhaliKila zama na kitabu chake subiri Mwabukusi aifanyie kazi ndiyo utajua ilikuwepo au haikuwepo. Kumbuka Tundu Lissu na Fatuma Karume ni wahanga wa section hiyo na kwa sasa msitegemee kumdhuru Mwabukusi hamtabaki salama!
Section 4 ilichangia!ni wahanga wa kiburi na jeuri yao usipotoshe tafadhali
Lakini hii siyo amri ya 'KUFUTA' Vijiji na Vitongoji.Serikali kupitia kifungu cha 30 cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Sura ya 287 kinachotoa ruhusa kwa mamlaka za Serikali kufanya mgawanyo wa Halmshauri za Wilaya;
Imetoa AMRI rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali namba 673 la tarehe 02 Agosti, 2024; ili kufuta baadhi ya maeneo ya kiutawala kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa hapa nchini kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa tarehe 27 Novemba, 2024.
Amri hii rasmi sasa inafuta Kata, Vijiji na Vitongoji katika Halmashauri za Wilaya zifuatazo; Ngorongoro, Bahi, Chemba, Kasulu, Kakonko, Hai na Rombo.
Katika Halmshauri ya Wilaya ya Ngorongoro pekee, kupitia AMRI hii, Serikali imezifuta Kata 11, Vijiji 25 na Vitongoji 96.
Garatwa,
Dar es Salaam, Tanzania.
20 Agosti, 2024.
View attachment 3074791
Kwa mujibu wa serikali amri hii inafuta kata, vijiji na vitongoji na ndiyo sababu wananchi katika maeneo hayo wamesitishiwa huduma za jamii kama ujenzi na ukarabati wa shule, zahanati, barabara na huduma zingine. Pia wamehamishiwa maeneo mengine kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na pia kurekebisha au kuboresha taarifa zao katika daftari la kupiga kura.Lakini hii siyo amri ya 'KUFUTA' Vijiji na Vitongoji.
Ni amri ya Marekebisho ya Amri ya MGAWANYO.
Kuna mtu anaweza kuinterpret hiyo notice vizuri na nini implications yake?
Asante sanaKwa mujibu wa serikali amri hii inafuta kata, vijiji na vitongoji na ndiyo sababu wananchi katika maeneo hayo wamesitishiwa huduma za jamii kama ujenzi na ukarabati wa shule, zahanati, barabara na huduma zingine. Pia wamehamishiwa maeneo mengine kujiandikisha katika daftari la kupiga kura na pia kurekebisha au kuboresha taarifa zao katika daftari la kupiga kura.
TLS na wabobezi wengine wa sheria wamepinga hatua hiyo na kutumia kifungu hicho cha 30 wanasema hakimpi mamlaka waziri kufuta maeneo bali kurekebisha mipaka ya utawala. Kwa hiyo wanakwenda mahakamani kupinga amri hiyo.
jina langu lipo kwenye mgao nhahahKinachokuchekesha ninini?
ππ
Haya πjina langu lipo kwenye mgao nhahah
Alafu anjitia mwanasheriaKuna shido ya nino teno?
Code ipo PMπHaya π
Watu na akili zao!That's equation,
Who will solve ?
Na hawa ni 95% kwa bara la Afrika.Kuna watu kuua wenzao kwa sababu ya pesa na madaraka siyo shida kabisa.