Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Katika Halmshauri ya Wilaya ya Ngorongoro pekee, kupitia AMRI hii, Serikali imezifuta Kata 11, Vijiji 25 na Vitongoji 96.



Wilaya ya Ngorongoro (kijani)inapatikana katika mkoa wa Arusha.

Wilaya hii inapakana na nchi ya Kenya kwa upande wa kaskazini, Wilaya ya Monduli kwa upande wa Mashariki, Wilaya ya Karatu kwa upande wa Kusini na mkoa wa Mara kwa upande wa Magharibi.

Wilaya hii ina historia ya pekee kwa kuwa ni sehemu yenye vivutio vingi. Eneo maarufu na linalojulikana sana ulimwenguni ni hifadhi ya Ngorongoro iliyopo ndani ya kasoko ya volkeno bwete (baridi) na kasoko hii iko katika wilaya hii. Pia mlima wenye volkeno hai ujulikanao kama Oldoinyo Le Ngai upo katika wilaya hii. Kwa maana hii sehemu kubwa ya wilaya hii imehifadhiwa: ni asilimia kama 60.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro ilihesabiwa kuwa 174,278. Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 273,549.

Ngorongoro District (Wilaya ya Ngorongoro, in Swahili) is one of seven districts in western Arusha Region of Tanzania. The district is bordered to the north by Kenya, to the east by Monduli District, the northeast by Longido District, and to the south by the Karatu District. The western border is the Serengeti District in Mara Region. Ngorongoro District is home to the Ngorongoro Crater and was named after it. It covers an area of 14,036 km2 (5,419 sq mi).[1] The district is comparable in size to the land area of Timor Leste.[2] The administrative seat is the town of Loliondo. The district is home to the Ngorongoro Conservation Area which is a UNESCO World Heritage Site. The district is also home to the third tallest mountain in the country, Mount Loolmalasin. According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Ngorongoro Region was 129,776.[3] By 2012, the population of the district was 174,278.[4] By 2022, the population had grown to 273,549.[5]
 
Na ukiona inatumia nguvu hivi, basi tutambue kabisa kuwa HAWANA SABABU TANGIBLE ZINAZOWEZA KUELEWEKA KIRAHISI KWA KILA MTU ZA KUWAHAMISHA HAWA WAMASAI..!

Hili zoezi kiukweli kabisa halifanyiki "kwa manufaa ya umma" bali ni mpango mikakati wa mafisadi wachache sana ndani ya serikali hii..

Kwa hakika na bila shaka yoyote, ni kuwa zoezi hili linafanyika "for personal interests" za Rais Samia Suluhu Hassan na watu wake ndani ya serikali/CCM na ndiyo maana linapata upinzani mkali kabisa kuwahi kutokea..!!!

Lingekuwa kwa manufaa ya umma, basi lingekuwa shirikishi kwa wadau wote na lingefanyika kwa uwazi kabisa na pia Bunge kuridhia kwa azimio maalumu..
 
You might be right
 
Kwa hiyo ndiyo kusema hiyo Wilaya yote kwa sasa ni mali ya Waarabu!! Sasa kulikuwa na sababu gani ya kupigania Uhuru!!

Tungeendelea tu kutawaliwa basi, kama viongozi wenyewe wana tabia za akina Chifu Mangungo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…