Yes and noNa mahakama wakikubali itakuwa kuingilia uhuru wa faragha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes and noNa mahakama wakikubali itakuwa kuingilia uhuru wa faragha
Hiyo kwa Boniyai tu mkuu ambae wanajua wakiyakoroga yatazuka mengi kwa kuwa kesi inafuatiliwa na wengi.....mie na wewe kwa askari wetu walivyowababe unaweza kung'ang'anizwa mpaka utoe ikiwezekana hata kuminywa minywa mazagazagaKumbe kupekuliwa kifaa Chalo Kama simu na laptop mpaka mahakama itoe kibaliiiiiiiiiiiiiiiiiii happy nimewaelewa
Mahakama: Tunataka kuchunguza Account yako ya X.
Me: Nimesahau password ya iPhone yangu.
bon YAI ,sio bwege atumie laini za kitanzania kupangia mambo ya kiharakati labda kwenye biashara zake za mayaiHii mitandao ya simu sio salama kama vd tg n.k
ni lazima wanataka kudukua tu ila wanataka mahakama iwape go ahead kama bosheni tu!
Kazi yenu sifa zake uwe na D mbili tu, hata shamba boy wangu anazo.Tatizo dogo sana hilo. Tuna uwezo wa kumkumbusha na akaikumbuka vuzuri tu.
Kina nani hao wenye hiyo kazi ya D 2??Kazi yenu sifa zake uwe na D mbili tu, hata shamba boy wangu anazo.
Icloud inatolewa vizuri bila madhara yoyote mkuu.Patamu hapo, Na wakienda Apple jamaa watakana katakata kuhusu kutokujua icloud passcodes za wateja wao. Hii ishu hata kwa FBI iligonga mwamba!
kama boni anatumia apple kufanya hivyo hawatoboi. Maana apple lazima awape access na base code . Which ni violation ya mteja wao na brandPatamu hapo, Na wakienda Apple jamaa watakana katakata kuhusu kutokujua icloud passcodes za wateja wao. Hii ishu hata kwa FBI iligonga mwamba!
Icloud inatolewa vizuri bila madhara yoyote mkuu.
Technology inakua kila siku. Ila kisheria sawa itashindikana
Ni kinyume na sheria.Kwa matoleo mapya ya IOS hutoboi, labda matoleo ya zamani ndo yanaweza kutoa
Inategemea unatumia ios ipi,si ios zote zinapitika. Na pia kuna madhara ya kutoa icloud kwa brute force. Upotevu wa data ikiwa ni moja wapo, so kama wanataka access wajue data zitapotea which ni against malengoIcloud inatolewa vizuri bila madhara yoyote mkuu.
Technology inakua kila siku. Ila kisheria sawa itashindikana
Nimekuelewa mkuu ni kama kusema "unamwagia nje"bon YAI ,sio bwege atumie laini za kitanzania kupangia mambo ya kiharakati labda kwenye biashara zake za mayai
Ni kinyume na sheria.
Ila nothing is impossible. Siongelei theory, nina uhakika.
Hizo security zimewekwa na wanadamu au malaika?
Nilie m quote alisema haiwezekani.Inategemea unatumia ios ipi,si ios zote zinapitika. Na pia kuna madhara ya kutoa icloud kwa brute force. Upotevu wa data ikiwa ni moja wapo, so kama wanataka access wajue data zitapotea which ni against malengo
Simple way ni kuwa contact apple, maana wao hutoa access kwa mamlaka husika in event ya criminal charges
Umejifungia kwenye box.Niamini mimi mkuu, security ya apple kwenye IOS mpya haifunguki kirahisi kama android. Ni JIWE lile aisee. Labda baada ya miaka 7 ijayo ndo kidoogo watu wataweza kubypass baadhi ya matoleo.
Too bad nimepata taarifa simu zake zote ni za samsungNilie m quote alisema haiwezekani.
Anyway ngoja mambo yasiwe mengi, kwa ground mambo ni tofauti mkuu.
Faragha ikiatarisha usalama wa nchi, lazima itafutiwe tiba mbadala.Na mahakama wakikubali itakuwa kuingilia uhuru wa faragha
Ndio unajua leo?Nilicho jifunza
Usipoteze muda wako kufanya kinachoitwa "kuwapigania watanzania".
Watanzania 100% ni wapuuzi.