Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
613
Reaction score
791
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Chunya, Dkt. Felista Kisandu kupisha uchunguzi kwa madai ya kutoa taarifa zisizo sahihi za ugonjwa usiofahamika.

Amesema hata kama ugonjwa huo ungekuwepo waziri ndiye anatakiwa kutoa taarifa.

Zaidi, soma:


D7BEAFD1-5A29-4F19-8E36-8C6C54C1E51E.jpeg
B7D83F2E-6A33-4F3E-A00B-3699ED3DE9D7.jpeg
 
Watz kwa pa1 tusipokuwa wamoja na kukemea huu ujinga, tutapukutika kama màjani! Imagine mtu amewatahadharisha juu ya ujio wa ugonjwa usiofahamika but jitu linakuja et siyo kaz yake. Yan tukusubr ww wazr ndo uje utangaze🤔🤔 roho za watu hazina spea!

Hii ni nchi ya mashetani kweli kweli!
 
Hii serikali sasa hivi inakanusha kila kitu, wamekuwa too predictable mpaka wanapoteza maana, kwani wakisema upo ila wanachukua hatua kuudhibiti na kuwaasa wananchi wachukue tahadhari kuna tatizo gani?

Huu ushamba sasa ni too much na sijui utakwisha lini.
 
CCM na mwenyekiti wao Jiwe ni kama bibi kizee mchawi akizoea kula nyama za watu haachi, Hawa CCM ndio wachawi wakuu wa nchi hii,wanajiskia raha wakiona wananchi wanakufa, ITV na watu wa Ifumbo sio wajinga kusema kuna ugonjwa umeibuka watu wanakufa, sasa wasingizie vifo na ugonjwa kwa faida ya nani?

CCM haina upendo na watu ila ina upendo na madaraja,barabara na ndege,kila kitu serikali hii kukanusha tu badala ya kufuatilia kwa kina na kuja na majibu yanayoeleweka.
 
Sometimes jiwe huwa anabetigi kwenye haya Mambo na kwa kiasi flani anapatia.

Kunakipindi yule mama wa nimri alitangaza uwepo wa ebola na akafukuzwa kazi mara moja.

Kwenye corona Napo Kama kafanikiwa kwa kiasi flani.

Hata hapa naona yupo sahii

Hakuna haja ya kutengeneza taharuki
 
Hii serikali sasa hivi inakanusha kila kitu, wamekuwa too predictable mpaka wanapoteza maana, kwani wakisema upo ila wanachukua hatua kuudhibiti na kuwaasa wananchi wachukue tahadhari kuna tatizo gani?

Huu ushamba sasa ni too much na sijui utakwisha lini.
Na kama haupo,⁉️
 
Back
Top Bottom