4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Haya haya kumekucha mlioko mbeya tafadhali kapigen kambi mje na nyongeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya haya kumekucha mlioko mbeya tafadhali kapigen kambi mje na nyongeza.
Kumekucha,
ITV licha ya kujipendekeza kwenye kampeni hatimaye mnafungiwa,mliambiwa hakuna atakayebaki salama,wakiwamaliza wapinzani watakuja kwenu.
Kwani wametangaza ugonjwa au habari???na ktk uandishi wa habari kama source wasingeitaja hapo kidogo ingekuwa shida!!sasa source yupo na ni kiongozi, wala kufumba habari zisitoke sio dawa!!ndio maana siku hivi habari za Tz,Kama hizi lazima zitangazwe na BBC, VOA na DW!!Hivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya,unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?.
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine..
View attachment 1696883View attachment 1696884Wakishamaliza upinzani, waturudiana wao kwa wao, ITV mtajua pakusimama, maana mmekuwa mkitupilia mbali habari za upinzani, sasa mtaionja joto ya jiwe, siku mbaya zinakuja zaidi. 5 TENA!
Kwani kachaguliwa?jizi la kuraWenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
Lazima wapindishe ukweli....walikwenda chunya na majibu yao mfukoniMheshimiwa diwani ambaye ndiye shahidi namba moja hakuhojiwa