Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Mnyapara wa barabara, by KINGUNGEWenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
R. I. P Babu wa taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyapara wa barabara, by KINGUNGEWenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
Soma barua ya kwanzaMheshimiwa diwani ambaye ndiye shahidi namba moja hakuhojiwa
Wala usiumize kichwa, mbona rahisi tu. Unachotakiwa kuwasaidia ni kwenda kuwaonyesha hayo makaburi au ndugu wa marehemu.CCM na mwenyekiti wao Jiwe ni kama bibi kizee mchawi akizoea kula nyama za watu haachi, Hawa CCM ndio wachawi wakuu wa nchi hii,wanajiskia raha wakiona wananchi wanakufa, ITV na watu wa Ifumbo sio wajinga kusema kuna ugonjwa umeibuka watu wanakufa, sasa wasingizie vifo na ugonjwa kwa faida ya nani? CCM haina upendo na watu ila ina upendo na madaraja,barabara na ndege,kila kitu serikali hii kukanusha tu badala ya kufuatilia kwa kina na kuja na majibu yanayoeleweka.
Kwani hujui kusoma ukaelewa!?Kwahiyo hao watatu ni ugonjwa gani umewakumba..!?
Wapingwe ban wapuuzi snKumekucha,
ITV licha ya kujipendekeza kwenye kampeni hatimaye mnafungiwa,mliambiwa hakuna atakayebaki salama,wakiwamaliza wapinzani watakuja kwenu.
Dikteta ameharibu mifumo yoteWaziri anakanusha kovidi ila yuko busy kujifukiza namumewe na anapost kwenye official social media za wizara wakati ni maisha binafsi maana anafanya huo hayo maujinga na mumewe,yeye yupo sahihi? Nchi imekuwa ya mambo ya hovyo hovyo tu
Hii serikali sasa hivi inakanusha kila kitu, wamekuwa too predictable mpaka wanapoteza maana, kwani wakisema upo ila wanachukua hatua kuudhibiti na kuwaasa wananchi wachukue tahadhari kuna tatizo gani?
Huu ushamba sasa ni too much na sijui utakwisha lini.
[/QUOTE
Tarifa za magonjwa ya kurogwa yanawaponza Itv na hao watu wakoDr.Kisandu,Diwani pamoja na ITV walijisahau wakafikiri kuwa Tanzania bado ipo kwenye utawala wa kidemokrasia.The worst is yet to come folks!
Hata Bongo flavor wawe makini na hizo nyimbo!Hata watu wa Zama za Kale wangerudi sasa hivi wangetushangaa jinsi mambo yanavyokwenda....
By they way hivi vyombo vya habari vyaweza kujikuta vinafilisika vyote ushauri wakijikite tu kwenye burudani (bongo fleva na telenolleva); this are Hard Times.....
kwenye burudani napo wanafungiwa si umeona gigy mane alichomoa wayaHata watu wa Zama za Kale wangerudi sasa hivi wangetushangaa jinsi mambo yanavyokwenda....
By they way hivi vyombo vya habari vyaweza kujikuta vinafilisika vyote ushauri wakijikite tu kwenye burudani (bongo fleva na telenolleva); this are Hard Times.....
Mimi naona mamlaka ndio zmeongeza taharuki kwa wananchi wenye akili....lakin zmeondoa taharuki kwa wananchi viazi kama weweHivi nyie hua mnajua taratibu za kazi,hivi kama dokta amegundua ugonjwa mpya kwa nini hakuwasiliana na wakuu wa kazi,ili wao ndio watutangazie wana inchi kuna mamulaka zina husika na hayo mambo kwa kufuata utaratibu,sio kila mutu tu ameshiba makande anajitokeza kuleta taharuki kwa taifa bila sababu za musingi ote mnaopinga hamjielewi kabisa,hata hao itv wali paswa kuwasiliana na mamulaka ili kujirizisha kwanza kwa sababu hizohizo za kutokuleta taharuki kwa taifa.
Duh!!!Hivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya,unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?.
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine..
Wanasema upo ni baada ya uchunguzi wa kitalaamu, lakini pia wanakanusha vilevile baada ya uchunguzi wa Kitalaamu, sasa wewe unataka waseme upo hata kama watu wanarogana? Unakuwa lipinzani lililovaa miwani myeusi siyo?
Huu uchunguzi wako ukatambua wanalogana umeufanyia wapi? nyie kenge hamsikii, halafu mnaamini ushirikina sana ndio maana mambo ya kisayansi hamyataki.Tarifa za magonjwa ya kurogwa yanawaponza Itv na hao watu wako
Pumbuvu wewe, na hiyo sayansi yako ilianza baada ya sayansi ya kichawi kuwepo!Huu uchunguzi wako ukatambua wanalogana umeufanyia wapi? nyie kenge hamsikii, halafu mnaamini ushirikina sana ndio maana mambo ya kisayansi hamyataki.
We jamaa ni hopeless sijawai honaHivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya,unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?.
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine..