Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

CCM na mwenyekiti wao Jiwe ni kama bibi kizee mchawi akizoea kula nyama za watu haachi, Hawa CCM ndio wachawi wakuu wa nchi hii,wanajiskia raha wakiona wananchi wanakufa, ITV na watu wa Ifumbo sio wajinga kusema kuna ugonjwa umeibuka watu wanakufa, sasa wasingizie vifo na ugonjwa kwa faida ya nani? CCM haina upendo na watu ila ina upendo na madaraja,barabara na ndege,kila kitu serikali hii kukanusha tu badala ya kufuatilia kwa kina na kuja na majibu yanayoeleweka.
Wala usiumize kichwa, mbona rahisi tu. Unachotakiwa kuwasaidia ni kwenda kuwaonyesha hayo makaburi au ndugu wa marehemu.
 
Waziri anakanusha kovidi ila yuko busy kujifukiza namumewe na anapost kwenye official social media za wizara wakati ni maisha binafsi maana anafanya huo hayo maujinga na mumewe,yeye yupo sahihi? Nchi imekuwa ya mambo ya hovyo hovyo tu
 
Ukiona serikali imeandika barua ndefu ujue kuna jambo so inajitetea tu.
 
Wanasema upo ni baada ya uchunguzi wa kitalaamu, lakini pia wanakanusha vilevile baada ya uchunguzi wa Kitalaamu, sasa wewe unataka waseme upo hata kama watu wanarogana? Unakuwa lipinzani lililovaa miwani myeusi siyo?
Hii serikali sasa hivi inakanusha kila kitu, wamekuwa too predictable mpaka wanapoteza maana, kwani wakisema upo ila wanachukua hatua kuudhibiti na kuwaasa wananchi wachukue tahadhari kuna tatizo gani?

Huu ushamba sasa ni too much na sijui utakwisha lini.
[/QUOTE
 
Hata watu wa Zama za Kale wangerudi sasa hivi wangetushangaa jinsi mambo yanavyokwenda....

By they way hivi vyombo vya habari vyaweza kujikuta vinafilisika vyote ushauri wakijikite tu kwenye burudani (bongo fleva na telenolleva); this are Hard Times.....
Hata Bongo flavor wawe makini na hizo nyimbo!
 
Hata watu wa Zama za Kale wangerudi sasa hivi wangetushangaa jinsi mambo yanavyokwenda....

By they way hivi vyombo vya habari vyaweza kujikuta vinafilisika vyote ushauri wakijikite tu kwenye burudani (bongo fleva na telenolleva); this are Hard Times.....
kwenye burudani napo wanafungiwa si umeona gigy mane alichomoa waya
 
Hivi nyie hua mnajua taratibu za kazi,hivi kama dokta amegundua ugonjwa mpya kwa nini hakuwasiliana na wakuu wa kazi,ili wao ndio watutangazie wana inchi kuna mamulaka zina husika na hayo mambo kwa kufuata utaratibu,sio kila mutu tu ameshiba makande anajitokeza kuleta taharuki kwa taifa bila sababu za musingi ote mnaopinga hamjielewi kabisa,hata hao itv wali paswa kuwasiliana na mamulaka ili kujirizisha kwanza kwa sababu hizohizo za kutokuleta taharuki kwa taifa.
Mimi naona mamlaka ndio zmeongeza taharuki kwa wananchi wenye akili....lakin zmeondoa taharuki kwa wananchi viazi kama wewe
 
Ukiona hivi, nguvu nyingi inatumika kukanusha, ujue kuna kitu wanakijua ila wanafanya jitihada kukificha. Diwani, tena wa CCM asingethubutu kutangaza uwepo wa ugonjwa huo akiwa na nia mbaya wala bila ugonjwa wenyewe kuwepo.
 
Wanasema upo ni baada ya uchunguzi wa kitalaamu, lakini pia wanakanusha vilevile baada ya uchunguzi wa Kitalaamu, sasa wewe unataka waseme upo hata kama watu wanarogana? Unakuwa lipinzani lililovaa miwani myeusi siyo?
Tarifa za magonjwa ya kurogwa yanawaponza Itv na hao watu wako
Huu uchunguzi wako ukatambua wanalogana umeufanyia wapi? nyie kenge hamsikii, halafu mnaamini ushirikina sana ndio maana mambo ya kisayansi hamyataki.
 
Huu uchunguzi wako ukatambua wanalogana umeufanyia wapi? nyie kenge hamsikii, halafu mnaamini ushirikina sana ndio maana mambo ya kisayansi hamyataki.
Pumbuvu wewe, na hiyo sayansi yako ilianza baada ya sayansi ya kichawi kuwepo!

Elewa Sana jinga wewe! Serikari ya kijinga inayopelekeshwa na mtu kama wewe hsipo, mbuzi mkubwa wewe, ulifikiri baada ya wewe kuleta tarifa za kipumbavu basi na Serikali ikubaliane na wewe? We jitu la wapi? Ebooh!
 
Back
Top Bottom