Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

Serikali yakanusha kuwepo mlipuko wa Ugonjwa wowote kata ya Ifumbo, Mbeya. Wizara ya Afya kuichukulia hatua ITV

millard ayo nae achukuliwe hatua sio itv peke yao
 
Pumbuvu wewe, na hiyo sayansi yako ilianza baada ya sayansi ya kichawi kuwepo!

Elewa Sana jinga wewe! Serikari ya kijinga inayopelekeshwa na mtu kama wewe hsipo, mbuzi mkubwa wewe, ulifikiri baada ya wewe kuleta tarifa za kipumbavu basi na Serikali ikubaliane na wewe? We jitu la wapi? Ebooh!
Mchawi umepandisha pepo, na serikali yako ya wachawi nayo ikisikia habari za sayansi inapandisha mapepo kama wewe.
 
Mchawi umepandisha pepo, na serikali yako ya wachawi nayo ikisikia habari za sayansi inapandisha mapepo kama wewe.
Huna hoja nimekupuuza rasimi!

Serikali ni chombo kilichojiwekea utaratibu, si kila mtu anaweza kuwa msemaji wa mambo ya Serikari na hata hizo wizara zina utaratibu, kunaanayetakiwa atoe tarifa za wizara na si kila mtu anaweza kuwa msemaji, Pumbavu elewa Sana!!
 
Yaliyotabiriwa sasa yametimia. Badala ya kuhangaika na tatizo, tunahangaika na w ( 621 X 640 ).jpg


Hii nchi hata kuiombea haiwezekani , tumuachie tu Mungu mwenyewe aamue kuchukua hatua kwa kadri atakavyoona inafaa .
 
ITV hawakutengenza habari hii.

Walihojiwa diwani wa kile chama pendwa cha CCM. Pia mganga mkuu wa wilaya wa huko wakitoa habari hiyo.

Hapo kosa lao ITV ni nini?

Kwa nini serikali hii imejikita kwenye kupotosha potosha habari za magonjwa ambayo kimsingi yapo kufanya kama hayapo?
Jambo lolote linaloweza kuleta taharuki, ni Lazima tarifa zake ziwe zimetolewa na wizara husika ama msemaji husika wa serikali

Kwa hiyo wao mganga mkuu ndio msemaji wa serikali na wizara husika??
 
Mungu ni Mwema Wakati Wote.

Haki Huinua Taifa Bali Dhambi ni Aibu Kwa Watu Wote
 
Huyo Mganga mkuu hajui Miiko na mipaka ya kiuongozi

Itakuwa kasahau kilichomkuta Mwele Malecela alipotangaza mambo ya Zika

Viongozi wa ngazi za chini wanapswa kusoma sana majukumu yao na mipaka yao ya kiuongozi
 
Huyo Mganga mkuu hajui Miiko na mipaka ya kiuongozi

Itakuwa kasahau kilichomkuta Mwele Malecela alipotangaza mambo ya Zika

Viongozi wa ngazi za chini wanapswa kusoma sana majukumu yao na mipaka yao ya kiuongozi
Wazee wa kuficha ficha
 
Madaktari wa hivi sijuhi hata vyuoni walikuwa wanasomea nini......kuripoti mlipuko wa ugonjwa kwenye media sio sawa na kurusha udaku facebook!
 
Back
Top Bottom