toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Wenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
aiseee daaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
Hivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya,unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?.
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine..
Nipe dalili 3 za EbolaTatizo la serikali kuficha ugonjwa.
Zika - Aliondolewa Dr Mwelentuli Malecela
Ebola - Imemuondoa Mganga wa huko Ifumbo.
Nipe dalili 3 za Ebola
Serikali haifanyi kazi kama genge!Watz kwa pa1 tusipokuwa wamoja na kukemea huu ujinga, tutapukutika kama màjani! Imagine mtu amewatahadharisha juu ya ujio wa ugonjwa usiofahamika but jitu linakuja et siyo kaz yake. Yan tukusubr ww wazr ndo uje utangaze[emoji848][emoji848] roho za watu hazina spea!
Hii n nchi ya mashetani kweli kweli!
Siungi mkono mahamuzi ya waziri, ila pia sielewi wizara hii KWA Sasa inafanyakazi katika utaratibu upo, ninachojua mlipuko ukitokea sehem husika wapo wafawidhi wa zahanati ,na H/C ndani ya Saa 24 hulazimika toa tahalifa KWA DMO na bila kuchelewa, DMO huruma timu ya kuchukua sampuli plus kuongeza nguvu ya vitendea kazi,na wakati huo akitoa tahalifa KWA RMO,ambae pia atoa Tim ya kushirikiana na wilaya husika huku akiitajika kutoa allert wizarani, so ndani ya masaa 48 au 36 wizara itakua inajua kwamba sehem kunatatizo,Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Chunya, Dkt. Felista Kisandu kupisha uchunguzi kwa madai ya kutoa taarifa zisizo sahihi za ugonjwa usiofahamika.
Amesema hata kama ugonjwa huo ungekuwepo waziri ndiye anatakiwa kutoa taarifa.
View attachment 1696883View attachment 1696884
Hivi kwa serikali serikali ya Ccm inayo ongozwa na ukanda pendwa ni dhambi kuwa na mlipuko wa ugonjwa?? Mambo ya aibu kanisa haya.Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Chunya, Dkt. Felista Kisandu kupisha uchunguzi kwa madai ya kutoa taarifa zisizo sahihi za ugonjwa usiofahamika.
Amesema hata kama ugonjwa huo ungekuwepo waziri ndiye anatakiwa kutoa taarifa.
View attachment 1696883View attachment 1696884
Ni kumuonea lakini. Ugonjwa upoMganga ataishi kama shetani awamu hii ya 5
Watz kwa pa1 tusipokuwa wamoja na kukemea huu ujinga, tutapukutika kama màjani! Imagine mtu amewatahadharisha juu ya ujio wa ugonjwa usiofahamika but jitu linakuja et siyo kaz yake. Yan tukusubr ww wazr ndo uje utangaze[emoji848][emoji848] roho za watu hazina spea!
Hii n nchi ya mashetani kweli kweli!
Wenye akili walitusihi watanzania tusimchague mwehu kutuongoza haya ndiyo madhara yake
Hivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya, unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine.
Mbona ile shule ilivofunga kisa corona mkuu wa mkoa alikuja akasema mwenye kutakiwa kutangaza corona n wazir mkuu na siyo wazr wa wizara ya afya?Serikali haifanyi kazi kama genge!
Kuna taratibu zake za uwasilishaji wa taarifa!...
Ameanza diwani (mwanasiasa) daktari akaunga tela, matokeo dokta kaliwa kichwa, diwani yupo tu na mshahara na marupurupu yake!Siungi mkono mahamuzi ya waziri, ila pia sielewi wizara hii KWA Sasa inafanyakazi katika utaratibu upo, ninachojua mlipuko ukitokea sehem husika wapo wafawidhi wa zahanati ,na H/C ndani ya Saa 24 hulazimika toa tahalifa KWA DMO na bila kuchelewa, DMO huruma timu ya kuchukua sampuli plus kuongeza nguvu ya vitendea kazi,na wakati huo akitoa tahalifa KWA RMO...
Kwa inshu Kama hii Kama ni kusimamisha wapo wengi, wenda huyu ametolewa kafara, iundwe tume, sio kumuachia wizari eti tahalifa za uongo,Ameanza diwani (mwanasiasa) daktari akaunga tela, matokeo dokta kaliwa kichwa, diwani yupo tu na mshahara na marupurupu yake!
Nimesomea kulima,,hasa kutumia jembe la mkono,,mimi ni mbobevu sana sana...We umesomea na kubobea katika uandishi na utangazaji wa habari mkuuu?
Nini maana ya chombo cha habari mzeeHivi itv hawajifunzi tu..?,katika mazingara haya, unaanzaje kutangaza ugonjwa bila idhini ya wizara husika?
Wafungiwe hata maisha ili liwe fundisho kwa wengine.
MH AISEEIliyoharibiwa na wachache wenye ukichaa wa madaraka, wasiojali maisha ya Watanzania.