Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Leaked statoil doc
On surface inaonekana ni very ‘Interesting read’ but I need to digest the information slowly in order to make sense of it all.

If anything kwa haraka haraka unapata picha kwanini majadiliano yalikwama, kwanini hawa watu awakuzitaka sheria za JK (zile za hati ya dharura).

Kumbe walikuwa na frameworks zao tayari za majadiliano.

Basically walikuwa na PSA Framework tayari ya majadiliano, unfavourable kwa serikali na awataki kuibadili. Hizo ndio sababu za kuchelewa kwa final negotiations.

Sasa what has changed from that 2013 PSA framework (which they were reluctant to modify) to the newly agreed this year which is used with the current negotiations is a different story.

Ila kwa limitations ya waziri na pressure ya raisi waliyopewa negotiators kumaliza majadiliano only God knows.

Either way hizo zilikuwa ni frameworks not actual contracts.
 
Kwa hiyo alishindwa kuwashughulikia kwa miaka 5 yote.
Majengo yalitelekezwa hadi nilipokuwa nikipita nashangaa inakuaje mradi umeshatumia mamilion ya pesa umefika pale halafu majumba yanaachwa tu yaoze
Utawashughulikia wastafuuu sijui km umeelewa
 
Ndio wapinzani walivumisha huo uongo eti gesi ya Mtwara ishauzwa China, mwendazake nae akaamini hivyo, matokeo yake mradi ukaishia njiani🤷🏼‍♂️, saa hii tungekuwa na gesi refinery tayari tusingekuwa tunahangaika kuagiza gesi ya kupikia nje ya nchi.
Yani Mwendazake aache kuangalia kwenye Mikataba awaamini Chadema? Hivi kwamba unaamini mpaka anafariki kuna mkataba ambao hakuusoma?
 
Wapi ulisikia Serikali ya Wezi ikikamilisha miradi? Kwanza waje hewani wataje kiasi gani kilitolewa na kilichotumika hadi kukwama la sivyo walimega alimia kubwa kuliko yaliyofanyika.
Hivyo mkandarasinameachwa anaendeleaje na maisha.
Tanzania pekee Kuna haya mauzauza!!
About bilion 300 kama sikosei
 
Hoja
Yani Mwendazake aache kuangalia kwenye Mikataba awaamini Chadema? Hivi kwamba unaamini mpaka anafariki kuna mkataba ambao hakuusoma?
Ilikua eti mradi umeuziwa heka moja kwa million 800,wakati bei halisi ni milioni 25,haikuwa kweli, maana ingekuwa kweli viwanja tu vingecost 1.6 Trilion,
So kwa bei ya milioni 25,, kwa ekari 20,000 inakuwa bilion 500 kama calculator ya kichwani haijakosea😂.
Akbar aliwekwa msukosuko nadhani kwa hii maneno,, baadae aliachiwa, maana sheria hainaga mambo ya kubuni buni na majungu
 
Sijui tuseme ni Siasa au ni Mipango mibovu au AHADI nyingi alafu kutekelezeka inakuwa shida.
Mfano Bajeti ya Mwaka huu Mwezi wa Saba ni miezi minne SASA je,wizara zimepewa hizo pesa Kwa mujibu wa bajeti? Ukifuatilia utagundua pesa nyingi bado wanazitazama pale hazina wanasubiri mambo yaende Kwa kudra za Mungu.
 
Tatizo huo mradi siasa iliingia kati,, walianza chadema wakaupiga vita sana hadi kuulegeza, alipokuja jpm akawa kawasikiliza wapinzani kama alivyosikiliza suala la wapinzani juu ya babu seya, gesi mtwara, PAP, etc,, mradi ukadoda,,
Hakuna mtu anakubali kuwekeza mahali kusiko na stability🤗
Upo sahihi,

Magu kafanya maamuzi mengi sana kwa "kucheza na jukwaa" bila kujua kwamba mengine yalikuwa siasa tu!

Ndo maana wale wale waliokuwa wanamlaumu JK kutonunua ndege ndo hao hao wakaanza kumlaumu JPM kwa kununua ndege!!
 
Kafanyeje?

Mradi wa NSSF marehemu karudi kuukwamisha?

Hadi mkishndwa kabisa kuongoza hii nchi ndipo mtaenda kutambika kwenye kabuli lake. Shwaini wakubwa.
Kama mwendazake aliweza kuongoza hii nchi hata taahira ataweza kuiongoza, bora taahira kuliko kichaa
 
George Walker Bush alikuwa anaitaka sana hizo Kigamboni lakini aliyuiwa na Mwendayake. Sasa labda atarudi tena.
 
01 November 2022

Chadema waingilia kati sakata la Miradi mikubwa hasa DEGE ECO VILLAGE, waanika madudu yote​


Source : mwanzo tv
 
Amini amini nawaambia, wenye pesa chafu hatimae wataununua mradi huu, na usalama wa nchi utakuwa mashakani.
Na baadae utasikia nyumba za serikali zilizo dsm zinauzwa kwani zimeshajengwa nyingine Dodoma na Serikali kuhamia huko - nani atazinunua? Kizazi kijacho kitaona haya ninayosema
 
Worst hakuna proper marketing research ya kuuza nyumba haraka and the whole project was overpriced.

Hivi unadhani Magufuli alikuwa mtu wa kukurupuka ovyo.
Assuming over-prcing isingekuwa imefanyika, would the project still not be viable in JPM's or anyone else's eyes?
 
Kwakuwa mama ameamua kukamilisha miradi ilioachwa na watungulizi wake atupie jicho lake huo mradi sababu hata NSSF wakiuza ni kuuza kwa hasara tu.
 
Assuming over-prcing isingekuwa imefanyika, would the project still not be viable in JPM's or anyone else's eyes?
Depends on how much each unit they were planning to sell in the end, I don’t have those details.

Nonetheless overspending on the projects increases the breakeven per house unit and therefore requiring unnecessary higher markup price, with higher house prices means less potential buyers.

Sasa kama wewe ni pension fund that is not an ideal situation. First they were not allowed by law to invest such large sums on those type of projects and second the return is not guaranteed nor having clear time frame.

So I wouldn’t say it was totally unviable but too risky for a pension fund to get involved, this is why they have a huge all
hole in their liquidity.
 
Back
Top Bottom