Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Serikali yakwama ujenzi Mji mpya wa NSSF Dege Eco Village Kigamboni, yatangaza kuuza mradi

Nani alikwambia TPDC ilikuwa ipate sawa na mwekezaji? Wakati ndio kwanza serikali bado ipo kwenye majadiliano.

Hivi unafahamu ata hiyo $40 billion dollars inavyorudishwa kwanza au unatupigia kelele wakati ata abc za investment hujui.
Ndiposa uweke wazi hapa, zinarudishwaje, maana naona unatakA tuamini hii ishu unaijua nje ndani
 
Kila alipojitahidi kuwakamata mnadai hawapendi matajiri anakinyongo nao,akina Manji wote walifirisi NSSF kwa kukopa, lakini Magufuli alivyoanza kumshugulikia makelele kibao,akina Lugemalira wa IPTL walipigiwa kelele na akina Lissu bungeni, lakini Magufuli alivyoanza kuwashugulikia mkaanza kusema wanaonewa, Watanganyika kwa unafiki hawajambo.
Amewashughulikiaje mbona wote hao hakuna hata aliyefungwa wako uraiani hivi unajua maana ya kuwashughulikia
 
Ndiposa uweke wazi hapa, zinarudishwaje, maana naona unatakA tuamini hii ishu unaijua nje ndani
Ndio maana nikakwambia awali, JF sio kijiwe cha kahawa unajiropokea tu.

Unaleta hoja juu ya hoja.

Jibu swali kwanza nani alikwambia TPDC ilikuwa ipate 50/50 ya mradi? Wakati serikali bado ipo kwenye majadiliano.

Matter of fact ata hiyo framework ya majadiliano imepatikana mwaka huu sasa we hayo ya TPDC kuwa na uelewa wa watakachokipata umeyatoa wapi.

Ni hivi ukisikiliza lawama anazopewa Magufuli ni utoto mtupu.
 
Duh...!. Bonge la fursa hili!.
Hapa Mchechu hawezi kuacha hii opportunity!.
Hapa matajiri watauwana!.
Huu ni wakati sasa wa PPR kuachana na media business na kuingia kwenye real estate na property!.
P
Kama ni fursa hivyo kwanini NSSF wauache? Hilo ni white elephant tangu serikali ihamie Dom feasibility study haioani na mradi tena.
 
Kununua mradi tu haileti picha kamili hicho kilichopo hapo kabla hatujaweka ardhi kwa wakati huu na dakika hii kina thamani gani ?

Pili ardhi ya hapo ina thamani gani ?

Tatu huo mradi ukiisha kwa hizo pesa walizoweka nani atakaa na atalipa kiasi gani na itachukua miaka mingapi ku-break even na je kuna developer yoyote atataka kuingizia pesa zake huko

Nne wanauza kwa kiasi gani ?

Angalizo wasije kuuziana kwa bei ya chini kuliko hata ardhi yenyewe na mwisho wa siku wakafugia mbuzi au kumuuzia mwingine hence making profit kwa pesa za vikokotoo vya wazee
 
Ndio maana nikakwambia awali, JF sio kijiwe cha kahawa unajiropokea tu.

Unaleta hoja juu ya hoja.

Jibu swali kwanza nani alikwambia TPDC ilikuwa ipate 50/50 ya mradi? Wakati serikali bado ipo kwenye majadiliano.

Matter of fact ata hiyo framework ya majadiliano imepatikana mwaka huu sasa we hayo ya TPDC kuwa na uelewa wa watakachokipata umeyatoa wapi.

Ni hivi ukisikiliza lawama anazopewa Magufuli ni utoto mtupu.
Ajabu ni kuwa unaponda tu bila kuleta fact unazojua wewe, kiufupi unsjitia muchknow kumbe hola🤗😂,haya hebu tueleze why jpm alimtia ndani james mataragio,, then akamuachia na kesi ikawa ni bogus case,,
Kwanini alimtoa CAG?, Maana huyu ndio angeweza kuonyesha iwapo mradi ulikuwa white elephant,,
 
Kama ni fursa hivyo kwanini NSSF wauache? Hilo ni white elephant tangu serikali ihamie Dom feasibility study haioani na mradi tena.
Huo mradi ulikuwa na mwekezaji mwenza mr Akbar,, ambae alipata msuko suko for bogus accusations na sidhani kama bado ana wazo la kushiriki tena,,
 
Ajabu ni kuwa unaponda tu bila kuleta fact unazojua wewe, kiufupi unsjitia muchknow kumbe hola🤗😂,haya hebu tueleze why jpm alimtia ndani james mataragio,, then akamuachia na kesi ikawa ni bogus case,,
Kwanini alimtoa CAG?, Maana huyu ndio angeweza kuonyesha iwapo mradi ulikuwa white elephant,,
Kwa kifupi wewe ni muongo maana umeshindwa kuleta uthibitisho wa madai na kutetea position yako ya kuwa Magufuli alifuta uwekezaji wa Kigamboni na LNG kwa kusikiliza CDM pamoja na kununua ndege kwa kuwasikiliza CDM.

Hayo mengine sasa ni utaratibu wa ‘akutukanae, akuchagulii tusi’; unatafuta tu visababu visivyo na kichwa wala miguu vya kutoa lawama.

Siwezi kujadili kuhusu maswala ya mradi wa gas kwa sababu hizo ni complicated advanced financial management trust me, sasa unataka nijadili mambo ya investment za dollar billion 40 ambazo kiasi kikubwa zimekopwa, zina rudi kwa muda mrefu, no one knows future stability ya currencies, nor bei ya gas ndani ya muda sokoni (trust me all those factors zipo kwenye negotiations).

Sasa mtu mwenyewe uelewi ata hatua za mradi ulipo when that information is in the public domain kweli nianze majadiliano na wewe kuhusu oil and gas contracts lines of commercial negotiations. Kwa kifupi what you receive as divided ina fluctuate based on so many of factors related to the source of capital and markets variables; sometimes you get nothing.

Spare a thought on the assignment unayotaka kunipa ya kujadili hayo mambo na wewe usually I charge for such reports.

115B4876-8D3D-421F-AE07-3FC80C775DB1.jpeg


Na kuhusu uwekezaji wa pension funds nilishaweka sheria inasemaje NSSF walivuka kiwango cha umiliki. Sasa huyo CAG wako angekuwa makini angeionya serikali huko ni kuchezea hela (risk) ya shirika la kutotimiza wajibu wake wa kulipa watu mbeleni.

Ni hivi huo mradi chini ya serikali makini usingefanyika in the first ni kuweka sehemu kubwa ya mapato ya pension funds in a project which has long term on return of investment.

Worst hakuna proper marketing research ya kuuza nyumba haraka and the whole project was overpriced.

Hivi unadhani Magufuli alikuwa mtu wa kukurupuka ovyo.
 
Kwa kifupi wewe ni muongo maana umeshindwa kuleta uthibitisho wa madai na kutetea position yako ya kuwa Magufuli alifuta uwekezaji wa Kigamboni na LNG kwa kusikiliza CDM pamoja na kununua ndege kwa kuwasikiliza CDM.

Hayo mengine sasa ni utaratibu wa ‘akutukanae, akuchagulii tusi’; unatafuta tu visababu visivyo na kichwa wala miguu vya kutoa lawama.

Siwezi kujadili kuhusu maswala ya mradi wa gas kwa sababu hizo ni complicated advanced financial management accounting trust me, sasa unataka nijadili mambo ya investment za dollar billion 40 ambazo kiasi kikubwa zimekopwa, zina rudi kwa muda mrefu, no one knows future stability ya currencies, nor bei ya gas ndani ya muda (trust me all those factors zipo kwenye negotiations).

Sasa mtu mwenyewe uelewi ata hatua za mradi ulipo when that information is in the public kweli nianze majadiliano na wewe kuhusu oil and gas contracts lines of commercial negotiations.

Spare a thought on the assignment unayotaka kunipa usually I charge for such reports.

View attachment 2399520

Na kuhusu uwekezaji wa pension funds nilishaweka sheria inasemaje NSSF walivuka kiwango cha umiliki. Sasa huyo CAG wako angekuwa makini angeionya serikali huko ni kuchezea (risk) ya kutoweza shirika la kutotimiza wajibu wake wa kulipa watu mbeleni.

Ni hivi huo mradi chini ya serikali makini usingefanyika in the first ni kuweka sehemu kubwa ya mapato ya pension funds in a project which has long return of investment.

Worst hakuna proper marketing research ya kuuza nyumba haraka and overpriced.

Hivi unadhani Magufuli alikuwa mtu wa kukurupuka ovyo.
So kwa mawazo yako Rais hapaswi kuwasikiliza cdm na ni dhambi upinzani kutoa ushauri na ukafuatwa?
Mimi nachosema ni kuwa ushauri wa upinzani ulikua una mislead kwa sababu za kisiasa,,
Lakini sio dhambi serikali kuchukua ushauri mzuri wa oppositions
 
So kwa mawazo yako Rais hapaswi kuwasikiliza cdm na ni dhambi upinzani kutoa ushauri na ukafuatwa?
Mimi nachosema ni kuwa ushauri wa upinzani ulikua una mislead kwa sababu za kisiasa,,
Lakini sio dhambi serikali kuchukua ushauri mzuri wa oppositions
CDM can say what they want, lakini usisingizie maamuzi ya Magufuli yaliyotakana na kauli zao.

Kwanza si kweli China aijawahi kumiliki vitalu kama ulivyodai na wala JK akufikia makubaliano yoyote ya mradi wa LNG mpaka anatoka. So hapo uliongopa kusema Magufuli alikuwa anamkomoa JK kuchelewesha mradi.

Na kununuliwa kwa ndege ni ilani ya CCM 2015 iliagiza nothing to do with kelele za mitaani kama unavyodai.

Ni hivi wewe ni muongo we have established that.

Mchana/jioni njema

👋
 
Kwa kifupi wewe ni muongo maana umeshindwa kuleta uthibitisho wa madai na kutetea position yako ya kuwa Magufuli alifuta uwekezaji wa Kigamboni na LNG kwa kusikiliza CDM pamoja na kununua ndege kwa kuwasikiliza CDM.

Hayo mengine sasa ni utaratibu wa ‘akutukanae, akuchagulii tusi’; unatafuta tu visababu visivyo na kichwa wala miguu vya kutoa lawama.

Siwezi kujadili kuhusu maswala ya mradi wa gas kwa sababu hizo ni complicated advanced financial management accounting trust me, sasa unataka nijadili mambo ya investment za dollar billion 40 ambazo kiasi kikubwa zimekopwa, zina rudi kwa muda mrefu, no one knows future stability ya currencies, nor bei ya gas ndani ya muda (trust me all those factors zipo kwenye negotiations).

Sasa mtu mwenyewe uelewi ata hatua za mradi ulipo when that information is in the public kweli nianze majadiliano na wewe kuhusu oil and gas contracts lines of commercial negotiations. Kwa kifupi what you receive as divided ina fluctuate based on so many of factors related to the source of and markets; and sometimes you get nothing.

Spare a thought on the assignment unayotaka kunipa ya kujadili hayo mambo na wewe usually I charge for such reports.

View attachment 2399520

Na kuhusu uwekezaji wa pension funds nilishaweka sheria inasemaje NSSF walivuka kiwango cha umiliki. Sasa huyo CAG wako angekuwa makini angeionya serikali huko ni kuchezea (risk) ya kutoweza shirika la kutotimiza wajibu wake wa kulipa watu mbeleni.

Ni hivi huo mradi chini ya serikali makini usingefanyika in the first ni kuweka sehemu kubwa ya mapato ya pension funds in a project which has long return of investment.

Worst hakuna proper marketing research ya kuuza nyumba haraka and overpriced.

Hivi unadhani Magufuli alikuwa mtu wa kukurupuka ovyo.
Sasa mkuu unapojadili hapa unajadili kwa faida ya dunia nzima wanasoma, na hii record vizazi vijavyo miaka 200 ijayo wataikuta,, hapa sio pm,
Mimi nimekupa circumstantial effidence kuonyesha what i beliave was an attempt to destroy JK legacy😄
 
Huu mradi faida yake ni moja tu, Waturiki waliokuwa wajenzi wa mradi huu wameacha vitoto kibao kule Mbutu na viunga vya jirani na eneo la mradi. 🙂
 
Sasa mkuu unapojadili hapa unajadili kwa faida ya dunia nzima wanasoma, na hii record vizazi vijavyo miaka 200 ijayo wataikuta,, hapa sio pm,
Mimi nimekupa circumstantial effidence kuonyesha what i beliave was an attempt to destroy JK legacy😄
Circumstantial evidence thats the key word.

But then you presented the accusations as if they were facts wakati unajenga hoja zako za kupika.

I’ll give you 80% for honesty by displaying gentleman’s behaviour in the end kwa kuja clean ya kuwa vitu ulivyoandika ni mawazo yako tu.

As kuongelea mikataba ya natural resources ni complicated business and you need geological data too.

Mchana mwema

👋
 
Huo mradi ulikuwa na mwekezaji mwenza mr Akbar,, ambae alipata msuko suko for bogus accusations na sidhani kama bado ana wazo la kushiriki tena,,
Ndo nakuambia huo mradi feasibility study yake iliinvolve kwa asilimia kubwa serikali target market wafanyakazi kukopa kwa udhamini wa serikali sasa focus ya serikali ni Dom siyo dar, huwezi kuwahamisha wafanyakazi Dom then uwadhamini wakope wakae dar wakati sasa kila mfanyakazi anafukuzwa dar aende Dom. Mradi ni mkubwa sana kuuza kiholea holela kwa walalahoi bila wadhamini wa mikopo. Hii ni real estate case study ya ulaya unajenga ukiwa na soko tayari kwapani sasa utanunua hu mradi unaenda kumuuzia nani?
 
View attachment 2398070

Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.

Ujenzi wa mradi huo wa mji mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam ulioanzishwa na NSSF mwaka 2014 ulisimama tangu Januari 2016 ukidaiwa kufisidi zaidi ya Sh179 bilioni hivyo kutokamilika kwa nyumba za kifahari, hoteli, maduka makubwa, eneo la wazi la mapumziko, baa, shule, hospitali, kumbi za mikutano, nyumba za ibada na migahawa.

Taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba na kusambazwa Jumanne Oktoba 25 imetangaza kutafutwa kwa mzabuni atakayeuendeleza mradi huo.

“NSSF inakusudia kuuza mradi mzima wa Dege Eco Village, shirika halitowajibika tena baada ya mauzo haya. NSSF inakaribisha zabuni zilizofungwa kuununua mradi huu kwa viwango vya kimataifa vilivyoainishwa kwenye Kanuni za Ununuzi wa Umma zilizochapishwa kwenye gazeti la Serikali namba 446,” inasomeka sehemu ya taarifa ya NSSF.

Kwa wawekezaji watakaovutiwa kuuendeleza mradi huo uliosimama kwa miaka saba sasa, NSSF imesema wanaweza kuutembelea huko Rasi ya Dege iliyopo Kigamboni jijini hapa ili kuukagua na kujiridhisha na mandhari yake kuanzia saa 4:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana wa Novemba 3.

Zabuni zote, shirika hilo limesema zinapaswa kuwasilishwa mpaka Novemba 14, saa 9:00 alasiri kabla hazijafunguliwa mbele ya waombaji wote watakaokuwa wamejitokeza kwenye ukumbi wake uliopo ghorofa ya saba katika Jengo la Benjamin William Mkapa.

View attachment 2398094

Pia, soma=> Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni
Wapi ulisikia Serikali ya Wezi ikikamilisha miradi? Kwanza waje hewani wataje kiasi gani kilitolewa na kilichotumika hadi kukwama la sivyo walimega alimia kubwa kuliko yaliyofanyika.
Hivyo mkandarasinameachwa anaendeleaje na maisha.
Tanzania pekee Kuna haya mauzauza!!
 
Baada ya kusuasua kukamilika kwa mradi wa Dege Eco Village kwa thamani ya dola 653 milioni za Marekani (zaidi ya Sh1.3 trilioni), Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lililokuwa linautekeleza limetangaza kuuza kwa mwekezaji mwingine atakeyevutiwa nao.
1666883630645.png
 
Circumstantial evidence thats the key word.

But then you presented the accusations as if they were facts wakati unajenga hoja zako za kupika.

I’ll give you 80% for honesty by displaying gentleman’s behaviour in the end kwa kuja clean ya kuwa vitu ulivyoandika ni mawazo yako tu.

As kuongelea mikataba ya natural resources ni complicated business and you need geological data too.

Mchana mwema

👋
Leaked statoil doc
 
Kama ni fursa hivyo kwanini NSSF wauache? Hilo ni white elephant tangu serikali ihamie Dom feasibility study haioani na mradi tena.
Duh...!.
Watu wanajengaga a satelite city porini kabisa na inakuja ku catch up, itakuwa Kigamboni?.
P
 
Back
Top Bottom