Serikali yaokoa mabilioni ya pesa Kigoma

Serikali yaokoa mabilioni ya pesa Kigoma

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
FdPOa3ZXEAEXMrK.jpg

Tangu Tanzania ipate uhuru Kigoma wamekuwa wakitumia umeme wa Jenereta lakini serikali ya Rais Samia Suluhu imefanikiwa kuiunganisha kigoma katika Grid ya Taifa na kufanikiwa kuzima majenereta yote ya Kibondo, Ngara na Biharamulo na kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa.

kwa kufanikiwa kuunga umeme wa grid ya taifa TANESCO sasa itakuwa ikiokoa shilingi Bil. 22.4 kwa mwaka serikali imetengeneza historia ya kipekee kwenye sekta ya nishati, nampongeza sana Rais Samia Suluhu ameandika historia.

Kweli mama anaupiga mwingi amekumbuka maeneo yaliyokua yamesahaulika.
 
Hawa hawa walioshindwa kupata Crane ?!!!!

Anyway sio Mbaya wakiunganishwa kwenye Mgao wa Umeme na pia bado ni hizo hizo generator tofauti hii iliwashiwa Kigoma nyingine zitawashiwa sehemu nyingine...

Hawa wajamaa waache sarakasi na hizi Tamthiliya wamalize Bwawa ili bei ya Unit zishuke kwa kila mmoja...
 
Kwahio hizo Pesa zilizo-okolewa zinakwenda / zimekwenda wapi, as kitaa mbano bado upo pale pale.
 
Ni miaka mingi kweli lakini Rais Samia Suluhu amefanikisha
Sitaki kujua nani kafanikisha ila Kigoma ilikuwa na shida ya umeeme.

Sasa hayo Majenereta yapelekwe sehemu nyingine zisizo na Umeme.

Laa sivyo yataibiwa tu a kupimwa skrepa.
 
Siasa za kitoto hizi wakati kila siku tunakatwa rea
Rais Samia Suluhu amefanikisha kupeleka umeme sehemu zilizokua zimesahaulika ili kuokoa pesa ambazo sasa zitasaidia katika miradi mingine
 
Wametekeleza maagizo ya jpm aliyoyatoa february 2021.pamoja na hivyo wamechelewa sana.Angekuwe jpm wangekuwa wameshamaliza kitambo sana lakini kwa kuwa awamu hii ya wazembe wamechelewa hadi tumechoka
 
Rais Samia Suluhu amefanikisha kupeleka umeme sehemu zilizokua zimesahaulika ili kuokoa pesa ambazo sasa zitasaidia katika miradi mingine
Kwa hili mama Samia anafanya vizuri, Ila pia mradi wa kuuunganisha kigoma na gridi ya taifa umeanza 2019
 
Sitaki kujua nani kafanikisha ila Kigoma ilikuwa na shida ya umeeme.

Sasa hayo Majenereta yapelekwe sehemu nyingine zisizo na Umeme.

Laa sivyo yataibiwa tu a kupimwa skrepa.
mama kaupiga mwingi sana kigoma walipata shida ya umeme muda mrefu na hayo majenereta lazima yatapelekwa sehemu nyingine
 
Wametekeleza maagizo ya jpm aliyoyatoa february 2021.pamoja na hivyo wamechelewa sana.Angekuwe jpm wangekuwa wameshamaliza kitambo sana lakini kwa kuwa awamu hii ya wazembe wamechelewa hadi tumechoka
Rais Samia Suluhu aliahidi kutekeleza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake na amemaliza miradi mingi mikubwa kwa wakati kwaiyo bila usimamizi mzuri mpaka leo mradi ungekua haujakamilika kwaiyo mama anaupiga mwingi sana
 
Hiyo kazi alifanya JPM

Japo imekamilaka kipindi hicho Mkuu.

Pesa Chuma alimtafutia yeye na mkandarasi alitafuta yeye kila kituu.

So kwa mama hapana
Lakini Rais Samia Suluhu amefanikisha mradi kukamilika kongore kwa mama
 
Ki vip akati akati alikuta kilakitu nipo tayari

Aliyefanya kazi ni Ndugu yangu Kalemani sio hicho kipara sales manaja wa Taifa gasi
 
Back
Top Bottom