Uliisikia kauli ya mwigulu baada ya kufuta baadhi ya tozo?Zitaenda kutekeleza miradi mingine ya maendeleo acha upotoshaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliisikia kauli ya mwigulu baada ya kufuta baadhi ya tozo?Zitaenda kutekeleza miradi mingine ya maendeleo acha upotoshaji
Mama kiboko 😁 pongezi pia ziende kwa Januwari.mama kaupiga mwingi sana kigoma walipata shida ya umeme muda mrefu na hayo majenereta lazima yatapelekwa sehemu nyingine
Kwanini asimsaidie Makamba kutafuta ile Crane ambayo ilikuwa haipatikani ili mradi wa Bwawa la Nyerere uishe na gharama ziwe rafiki ?Rais Samia Suluhu aliahidi kutekeleza miradi yote iliyoachwa na mtangulizi wake na amemaliza miradi mingi mikubwa kwa wakati kwaiyo bila usimamizi mzuri mpaka leo mradi ungekua haujakamilika kwaiyo mama anaupiga mwingi sana
Gharama ya kuunganisha umeme ni rafiki kwa vijijini wanalipa elfu 27 tuKwanini asimsaidie Makamba kutafuta ile Crane ambayo ilikuwa haipatikani ili mradi wa Bwawa la Nyerere uishe na gharama ziwe rafiki ?
Kuna faida gani ya kuunganishiwa umeme ambao gharama zake sio rafiki ?
kweli wote wananstahiri pongezi maana january makamba anasimamia idara ya nishati vizuri sanaMama kiboko 😁 pongezi pia ziende kwa Januwari.
alisema watapunguza matumizi kwenye chai na sio kuongezaUliisikia kauli ya mwigulu baada ya kufuta baadhi ya tozo?
Kwahio ni wazee wa reactiveness na sio Pro-activeness ?!!alisema watapunguza matumizi kwenye chai na sio kuongeza
Hata kama angekua anagawa ges za oryx lazima mngesema ni sales wa oryx january makamba alichokua anakifanya ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi na kugawa gesi za kupikia kwa kaya masikiniKi vip akati akati alikuta kilakitu nipo tayari
Aliyefanya kazi ni Ndugu yangu Kalemani sio hicho kipara sales manaja wa Taifa gasi
Januwari akimaliza kazi hapo ahamishiwe Wizara ya Fedha akanyooshe mambo na huko.kweli wote wananstahiri pongezi maana january makamba anasimamia idara ya nishati vizuri sana
Akimaliza kazi hapo wote tutakuwa gizani na kule atakuta mwenzake kashamaliza kazi na nchi ishauzwa ipo mikononi ya sijui nani (proof za kuuzwa sina ila nachukua maneno ya Ndugai.., na kwa hii issue nimeamua kuamini anachosema)Januwari akimaliza kazi hapo ahamishiwe Wizara ya Fedha akanyooshe mambo na huko.
Wanaofura na wafure😂😆