OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Taasisi zetu hasa mashule na magereza zimejiandaaje na hili katazo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Right step, right direction.View attachment 2948986
Taasisi zetu hasa mashule zimejiandaaje na hili katazo?
Sio mdogo ukizingatia gharama za umeme na gesi bado ipo juuMtihani upo
Labda hivoNi jambo jema sana! Mazingira yameathirika vibaya sana na ukataji miti ovyo. Serikali kwa upande wake ihakikishe nishati mbadala inapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi nchini kote.
serikali hii haijali raia unga bei juu,maharage bei juu,nauli bei juu,tatizo waziri anafanya biashara atamjali mtanzania?hivi rostam atauza gesi Kwa shilingi elfu kumi?Nchi imetekwa IPO Kwa wahuni usitegemee jipyaNi jambo jema sana! Mazingira yameathirika vibaya sana na ukataji miti ovyo. Serikali kwa upande wake ihakikishe nishati mbadala inapatikana kwa wingi na kwa bei rahisi nchini kote.
Ni jambo zuri ila ilipaswa bei ya nishati mbadara iwe cheap kuliko mkaa na kuni hapo hakuna ambaye angetumia kuni wala mkaaRight step, right direction.
Njia rahisi ni kupunguza gharama za umeme na gas. Nje ya hapo, ni porojo tuView attachment 2948986
Taasisi zetu hasa mashule zimejiandaaje na hili katazo?
Mbona Waziri JAFFO alisema January 24 ndio MWISHO wa KUTUMIA KUNI na MKAA?View attachment 2948986
Taasisi zetu hasa mashule zimejiandaaje na hili katazo?
kwani hawatekelezi, maana katazi lilianza tarehe 1 Jan, 2024View attachment 2948986
Taasisi zetu hasa mashule zimejiandaaje na hili katazo?
Hili katazo utekelezaji wake utakuwa mgumu kama Sheria ya kukataza kuvuta sigara hadharani Kwenye mikusanyiko ya watukwani hawatekelezi, maana katazi lilianza tarehe 1 Jan, 2024
Best move, mara nyingi huwa nafikiria kimoyomoyo, kwanini serikali isipige marufuku matumizi ya kuni na mkaa?View attachment 2948986
Taasisi zetu hasa mashule zimejiandaaje na hili katazo?