maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,874
Watoto Wanaosoma shule za serikali hizi wanatumia usafiri wa uma. Wana gari zao maalum kabisa kwamba hawapandi zingine Hadi afike konda flani wa gari Fulani.
Watoto wakiingia humo garini wanatoka flash na kumpa dereva awawekee playlist Yao humo kwe gari kunakua kama club.
Sasa we mtu mzima jifanye unajua malezi uropoke utashambuliwa had utiwe aibu nimekiona hili kwe daladala nyingi za mbez temeke. Hiki kizazi sijui kitapona kwa dawa gani
Watoto wakiingia humo garini wanatoka flash na kumpa dereva awawekee playlist Yao humo kwe gari kunakua kama club.
Sasa we mtu mzima jifanye unajua malezi uropoke utashambuliwa had utiwe aibu nimekiona hili kwe daladala nyingi za mbez temeke. Hiki kizazi sijui kitapona kwa dawa gani