Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

Ndio shida ilipo give qualified people technical posts za uwaziri or atleast wawe na washauri technocrats.

Serikali aiwezi kuwa legelege hivyo ina bulge kwa kila shinikizo la kipuuzi.
 
TRA waendelee na zoezi lao kwenye mikoa mingine ya kikodi.
 
Asante kwa elimu nzuri.
 
Wanadekezwa hao na Samia Kwa sababu Kila kitu anawasikiliza.

Rais angekuwa Magu au Makonda au Mwigulu na PM Chalamila hakuna rangi wangeacha kuona

View: https://www.instagram.com/reel/C8mEzRNN7QA/?igsh=aDNoeDhzdTh2b3czView attachment 3024811

Nchi haiongozwi kwa ubabe.
Ikishaomgozwa kibabe imeshafeli kabla hata haijaanza.

Nchi inahitaji mazungumzo. Maelewano. Kila awasilishe maslahi na changamoto zake ili suluhu ijadiliwe inapatikanaje.

Lakini ubabe ubabe. Ni mbaya

Ubabe ni mzuri kwa wahalifu na wanaokiuka sheria kimakusudi
 
Unataka kusema Mwigulu siyo "Qualified for the post" na siyo "technocrat"?

Tatizo letu linawezekana linaanzia kwenye Elimu za vyuo vikuu vyetu " a fish rots from the head down".
Mwigulu ni economist sio accountant, uelewa wake wa maswala ya administration za kodi atakama anazitunga yeye bila ya mhasibu au mtaalamu wa maswala ya kodi kumuelezea utekelezaji wake lazima utampiga chenga.

Na it’s not rocket siasa huko wizarani huyo mshauri hayupo kutokana na majibu ya waziri bungeni anapoongelea maswala ya kodi anapwaya.

Na huyo anaejibu wafanyabiashara Kitila ndio kabisa clueless. Ukitaka kuona hilo hapo anasema TRA wawataarifu wafanyabiashara nyaraka za kuwa nazo wakati hivyo vitu vipo kwenye VAT na Income Tax acts wafanyabiashara wenyewe hawataki kujiongeza.
 
Wahusika wametumia ubabe
 
Mwigulu ni mpiga dili kama wengine
 
Ukiona hivyo ujue hajawahi kufanya biashara yoyote
 
Akili ake haina akili
 
Kitila Mkumbo ni waziri wa mipango na uwekezaji na siyo viwanda na biashara.Ashatu Kijaji ni waziri wa viwanda na biashara.
 
Imeisha hiyo kirahisi tu bila bughudha maduka yanafunguliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…