Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

Serikali yasalimu amri mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, yakubali kusitisha kamatakamata ya TRA na kuleta mfumo mpya wa kodi

Tax rates anapanga waziri kila mwaka kupitia ‘finance act’ hiyo ndio inaamua rates za income tax, VAT na import duties; pamoja na misamaa au nafuu za biashara serikali inazitoa.

Sasa humo waziri na team yake ya mipango wao ndio wanajua wanalenga nini kwenye fiscal policies zao, targets za uchumi, social policies, kuondoa inequality kwenye jamii, public goods and so on kilicho important kama kipaumbele chao huko serikalini na kwenye chama chao.

Maana yake ni you can’t ‘copy and paste’ finance act ya nchi nyingine (ambayo inapanga kodi) kkwa vipaumbele vya nchi tofauti havifanani wala mtazamo wa kugawana keki ya taifa aufanani.

However Income Tax act na VAT acts (hizi zinaweza fanana na nchi nyingi, ni sheria lakini zipo sana kufuata accounting standards za dunia) na uwa azibadiliki sana ni kwa ajiri ya administration purposes za kodi, kikubwa zinaelezea taratibu za kukusanya kodi information ambazo TRA na person (hilo ndio jina la kikodi kwa biashara ndogo), biashara kikodi ni (usajili wa public or private listed companies).

Shida ya wafanyabiashara wengi hawajasoma hizo sheria za (VAT and Income tax acts) hapo ndipo wanaposhindwa kuelewa hatua za TRA na kudhani wanaonewa.

Moreover kila ‘finance act’ mpya inapoanza kazi, TRA kupitia site yao (ambayo design view yake ni mbaya with so much clustered information inahitaji maboresho) uwa wanaweka necessary info kwenye website yao. Kule unapata info kama za import duties ya bidhaa mbali mbali, VAT zote fully, reduced rates and zero rated products, kuna maelezo ya kupiga hesabu mbali mbali za kodi.

Wakija sasa kama ni hesabu za kodi unatakiwa kujua finance act inasemaje kuhusu hiyo bidhaa VAT rate gani, import duty ni kiasi gani etc. Same kama ni income tax unatakiwa kujua how they calculate turnover ya chini tsh 100 na what changes ukizidisha.

Routine zingine za kuandaa vitabu vya biashara na jinsi TRA watakavyodai (fanya kazi ya kukusanya kodi) soma sasa ‘VAT na Income tax’ acts. Wafanyabiashara wa Tanzania they don’t read those acts wakitoka hapo wanalaumu TRA kwa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria.
Mfanyabiashara wa standard 7 asome Income tax Act,Finance Act,Tax Administration Act? Mkuu hauko serious.Kwa wenzetu hawadeal na sijui efd etc wanaangalia profit na income Yako.Kwetu mifumo haiko sawa TRA akienda kwenye Duka la mtu anaangalia turnover ya machine kukadilia Kodi that is very wrong.Kiwango cha Kodi kinapaswa kupimwa kwenye profit earning.Ukiangalia machine kwa wafanyabiashara wanaopenya hapa hapa bongo maana anaenda kuchukua dozen 5 kwenye duka nyingine anachukua faida ya 1000 tu nguo anuza 18000 akimaliza kuuza anarudi tena mwisho faida labda 20000 lakini turnover inasoma laki Tano.TRA anakimbulia laki Tano na sio 20000 na hadi tatizo linaanzia.
 
Mfanyabiashara wa standard 7 asome Income tax Act,Finance Act,Tax Administration Act? Mkuu hauko serious.Kwa wenzetu hawadeal na sijui efd etc wanaangalia profit na income Yako.Kwetu mifumo haiko sawa TRA akienda kwenye Duka la mtu anaangalia turnover ya machine kukadilia Kodi that is very wrong.Kiwango cha Kodi kinapaswa kupimwa kwenye profit earning.Ukiangalia machine kwa wafanyabiashara wanaopenya hapa hapa bongo maana anaenda kuchukua dozen 5 kwenye duka nyingine anachukua faida ya 1000 tu nguo anuza 18000 akimaliza kuuza anarudi tena mwisho faida labda 20000 lakini turnover inasoma laki Tano.TRA anakimbulia laki Tano na sio 20000 na hadi tatizo linaanzia.
Kuna mahala nimeandika hizi biashara nyingi ni holela ndio shida ilipo pia.

Elewa unapoenda kuomba TIN number na kusajili biashara Brella, kuanzia hapo sheria husika za biashara zinakuhusu.

Either utafute muhasibu, nenda sehemu ya ushauri wa biashara (ukapewe abc) au nenda kwenye seminar za TRA.

Kutokujua sheria aina maana unakuwa excused ufanye mambo unavyadhani wewe ndio sahihi badala ya kufuata sheria.

Ni huko kutokufahamu sheria kama umemsikiliza mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo ndugu ‘Martin Mbwana’ kulalamikia TRA kufuta madai ya marejesho ya VAT ya wafanyabiashara.

Halafu mwenyekiti huyo-huyo anashangaa TRA kumrudia mfanyabiashara husika aliekuwa anataka TRA imlipe tsh 30 million, kwenda kuhakiki kama kwwli ana evidence ya hilo deni la VAT input.

Wakati hayo maelezo ya kutakiwa kutunza ushahidi kwa miaka mitano upo sheria ya VAT. Inakuonyesha mtu kazoea kukwepa kodi mpaka anafikia hatua anadhani anaweza waongopea TRA wamlipe yeye.

Sasa kama wafanyabiashara wenyewe wanaishia darasa la saba na mwenyekiti wao mwenyewe ambae anatakiwa kupigania maslahi yao uelewa wake wa maswala ya kodi yana limitations; uoni serikali kila siku itakuwa na tishiwa na hoja ambazo msingi wake ni uelewa mdogo tu wa wafanyabiashara na viongozi wao.

Ni kwa utaratibu wa kukabanana tu mpaka waelewe somo, sio hizo cheap popularity za siasa wanazotaka kulea watu wasiotaka kujifunza, na kuwapa lawama TRA katika kutimiza wajibu wao.
 
Wafanyabiashara have not gained much. Walichofanya ni ku delay makali . Serikali wa ache unafiki. Wanategemea TRA wataweza ku meet targets zao za tax collection kama the government does support them. I believe wako watu wanaweza ku replace hao wafanyabiashara.
So, you believe in TRA door to door tax collections, instead of using dedicated systems?

And by the way how to do you replace these tradesmen?

Some people's views here are somewhat disingenuous as well as cynical.
 
Back
Top Bottom