Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mbowe alichokunyima ni siri yako,sio kwa mahaba haya!Ni kama Mbowe tu ,unaangushwa na konyagi alafu unasingizia wasiojulikana, Lema na Nyalandu wamekimbizwa na madeni alafu wanasingizia wanataka kutekwa na Serikali.!
Tumuheshimu kwa kutumia laughs nzuri jamaniHuyu mzee amesababisha wasomi wote waonekane ni wajinga
Hakuna ugumu wowote kwa bwana yule!Sio rahisi mkuu. Labda aje na Tanzania yake. Hata wao wako kimya ila wamemchoka. Hajufikia sehemu ya kuzalisha wakimbizi wa kisiasa ila uroho wa mtu mmoja ambaye hana ubinadamu umetufikisha huko na kututia aibu
Ukijiheshimu utaheshimiwaTumuheshimu kwa kutumia laughs nzuri jamani
Hawa ni wapuuzi mkuuEti UN ni wambea. Hivinhuwa wanatoa wapi hayo maneno yao? Kesho utawaona na makopo wanaenda kuomba huko maji.
Madikteta yote yanafananaHakuna ugumu wowote kwa bwana yule!
Njia za madikteta syllabas ni ileile.
Hahahaaaa........Simlaumu kuwa hajapata hio taarifa, maana internet walizima.
Imeisha hiyooooo ndugu, acha kujiondoa akili na wewe. Vipi maandamano?Eti profesa. Hivi ukiingia CCM kipindi hiki cha CCM mpya lazima unajisi akili yako mwenyewe?