Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Shukrani saaaaana saaanaBwana Mtemvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani saaaaana saaanaBwana Mtemvu
yuko sawa acheni kujisomba Nchi za watu bila utaratibu matapata tabu kenge nyie !Exactly mkuu, yaani hawa politicians wamelewa madaraka kwa kiasi kikubwa, ni wajibu wake kufuatilia kila raia wake, ni wajibu wake yeye kutoka pale ofisini ni kuingia mitaani ili kujua raia wake wako wapi na wanafanya nini, mpuuzi sana huyu balozi, mabalozi wetu wengi wamepewa vyeo hivi kama ahsante yao kwa kuwalinda politicians hawajui kabisa wajibu wao, ona balozi wa kenya hapo Namibia anaingia mitaani kutafuta raia wake na huu ndio wajibu wao, hii ni craze
Mkuu wewe unaonekana unaishi in a ivory towel na wazazi wako waliofisadi nchi hii na kuwafanya vijana wake waishi kama kuku wa kienyeji, endelea ila kuna siku upepo utabadilika, balozi yupo kuwawakulisha watanzania means ni wajibu wake kuwatafuta raia wake ili ajue wapo wapi na msaada gani wanahitajiyuko sawa acheni kujisomba Nchi za watu bila utaratibu matapata tabu kenge nyie !
yaani Balozi atembee mitaani na kwenye majumba ya watu kujua kuna Mtanzania hapa ?wewe unaweza ?
Wabongo sometimes mnazingua sana
acha kuleta majungu mitandaoni utakufa kibudu kijana !Mkuu wewe unaonekana unaishi in a ivory towel na wazazi wako waliofisadi nchi hii na kuwafanya vijana wake waishi kama kuku wa kienyeji, endelea ila kuna siku upepo utabadilika, balozi yupo kuwawakulisha watanzania means ni wajibu wake kuwatafuta raia wake ili ajue wapo wapi na msaada gani wanahitaji