Serikali yasema haiwatambui wanaofanya kazi za ndani Saudi Arabia

Serikali yasema haiwatambui wanaofanya kazi za ndani Saudi Arabia

Exactly mkuu, yaani hawa politicians wamelewa madaraka kwa kiasi kikubwa, ni wajibu wake kufuatilia kila raia wake, ni wajibu wake yeye kutoka pale ofisini ni kuingia mitaani ili kujua raia wake wako wapi na wanafanya nini, mpuuzi sana huyu balozi, mabalozi wetu wengi wamepewa vyeo hivi kama ahsante yao kwa kuwalinda politicians hawajui kabisa wajibu wao, ona balozi wa kenya hapo Namibia anaingia mitaani kutafuta raia wake na huu ndio wajibu wao, hii ni craze
yuko sawa acheni kujisomba Nchi za watu bila utaratibu matapata tabu kenge nyie !

yaani Balozi atembee mitaani na kwenye majumba ya watu kujua kuna Mtanzania hapa ?wewe unaweza ?

Wabongo sometimes mnazingua sana
 
yuko sawa acheni kujisomba Nchi za watu bila utaratibu matapata tabu kenge nyie !

yaani Balozi atembee mitaani na kwenye majumba ya watu kujua kuna Mtanzania hapa ?wewe unaweza ?

Wabongo sometimes mnazingua sana
Mkuu wewe unaonekana unaishi in a ivory towel na wazazi wako waliofisadi nchi hii na kuwafanya vijana wake waishi kama kuku wa kienyeji, endelea ila kuna siku upepo utabadilika, balozi yupo kuwawakulisha watanzania means ni wajibu wake kuwatafuta raia wake ili ajue wapo wapi na msaada gani wanahitaji
 
Mkuu wewe unaonekana unaishi in a ivory towel na wazazi wako waliofisadi nchi hii na kuwafanya vijana wake waishi kama kuku wa kienyeji, endelea ila kuna siku upepo utabadilika, balozi yupo kuwawakulisha watanzania means ni wajibu wake kuwatafuta raia wake ili ajue wapo wapi na msaada gani wanahitaji
acha kuleta majungu mitandaoni utakufa kibudu kijana !

kwani we unajua mimi nimekulia maisha gani au unanijua ?

tuliza makalio wewe kwenda Nchi za watu bika utaratibu ni sawa na kijitia kitanzi muwe mnakubali ukweli
 
Back
Top Bottom