Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
Either way watu lazma watapiga mijihela.
Kuna mambo yanakwaza sanaa.
 
Kama kweli hii habari ni ya kweli, itakuwa ni faraja kubwa kwa watanzania bila kujali itikadi au vyama vya Siasa. Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ulikuwa hauna tija yoyote kwa Taifa na badala yake ilikuwa ni maslahi binafsi ya JK na kundi lake ambalo majority of them wamenunua mashamba Wilaya ya Bagamoyo ili kufaidika na uwekezaji huo. Kimsingi ujenzi wa bandari hii ungeigharimu nchi mamilion ya shilingi ambazo kwa mtazamo wangu zingetosha kuziboresha bandari za Tanga, Mtwara na Dar-es-Salaam.

Baada ya kuzuia ujenzi huu, naishauri serikali ya JPM kuimarisha bandari zilizopo na ili kutake advantage ya land locked countries serikali ifikirie kujenga reli toka bandari ya Mtwara to Bambay ili kusave Malawi na pia reli hiyo iextend kuungana na Tazara ili kusave nchi za Zambia, DRC and Zimbabwe somehow. Pia kwa upande wa Bandari ya Tanga kunahitajik reli itakayo kwenda mpaka Mwanza ili kusave Uganda, Burundi na Rwanda. Kwa kuimarisha Bandari ya Tanga tutakuwa strategically tuna weaken Bandari ya Mombasa at the same time kutaiwezesha Bandari ya Dar-es-Salaam kuwa moja ya Bandari kubwa kabisa katika ukanda wetu wa nchi za maziwa makuu! We need to think positive kama hivi sio kama kina Faiza Foxy wenye maslahi na Mkwere na sasa JPM anamkamua majipu yake mkwere!
 
Habar

Habari ina ukweli kabisa, soma The Citizen, huwa gazeti hili hawaongei mambo ya mitaani.
Serikali Awamu ya Nne inaelekea ilitumia vigezo visivyoeleweka vyema katika sekta nzima ya usafirishaji, hususan bandari.
Bagamoyo haina hata reli ya kuunga bandarini, jipu hilo!
....maadam tuna nia ya kushindana ktk biashara ya iliyojaa ushindani, ya bandari ujenzi wa bandari mpya, kubwa, na ya kisasa haukwepeki....
 
....maadam tuna nia ya kushindana ktk biashara ya iliyojaa ushindani, ya bandari ujenzi wa bandari mpya, kubwa, na ya kisasa haukwepeki....
Ninadhani ni muhimu hiyo bandari iwe mtwara...sio bagamoyo.....Mtwara narurally ina kina kirefu...Pia kwa maana ya Location imekaa strategically zaidi

Bagamoyo was a waste...watu walikuwa wanajali kwao
 
Kama kweli hii habari ni ya kweli, itakuwa ni faraja kubwa kwa watanzania bila kujali itikadi au vyama vya Siasa. Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ulikuwa hauna tija yoyote kwa Taifa na badala yake ilikuwa ni maslahi binafsi ya JK na kundi lake ambalo majority of them wamenunua mashamba Wilaya ya Bagamoyo ili kufaidika na uwekezaji huo. Kimsingi ujenzi wa bandari hii ungeigharimu nchi mamilion ya shilingi ambazo kwa mtazamo wangu zingetosha kuziboresha bandari za Tanga, Mtwara na Dar-es-Salaam.

Baada ya kuzuia ujenzi huu, naishauri serikali ya JPM kuimarisha bandari zilizopo na ili kutake advantage ya land locked countries serikali ifikirie kujenga reli toka bandari ya Mtwara to Bambay ili kusave Malawi na pia reli hiyo iextend kuungana na Tazara ili kusave nchi za Zambia, DRC and Zimbabwe somehow. Pia kwa upande wa Bandari ya Tanga kunahitajik reli itakayo kwenda mpaka Mwanza ili kusave Uganda, Burundi na Rwanda. Kwa kuimarisha Bandari ya Tanga tutakuwa strategically tuna weaken Bandari ya Mombasa at the same time kutaiwezesha Bandari ya Dar-es-Salaam kuwa moja ya Bandari kubwa kabisa katika ukanda wetu wa nchi za maziwa makuu! We need to think positive kama hivi sio kama kina Faiza Foxy wenye maslahi na Mkwere na sasa JPM anamkamua majipu yake mkwere!
....lkn, kuna suala la uwezo wa bandari zetu kuhudumia meli kubwa,zinazobeba mpaka kontena elfu kwa mkupuo(3G&4G sea vessels), ambazo lamu port itakuwa na uwezo wa kuzihudumia...tunatazamaje hilo? Au sisi tutabaki tunapokea meli ndogo tu na kuacha biashara kubwa ya bandari, kwa wakenya, djibout, na south afrika?
 
ebu fafanua mkuu,,..point nzuri bt nieelezee vzuri mkuu
Ni mipango ya kuchota pesa za serikali kupitia kuvunjwa kwa mkataba baina ya serikali na mkandarasi.
Itaonekana kwamba serikali imeshindwa kuendelea na mradi hivyo inavunja mkataba waje na mkandarasi na kupoteza stahiki zote walizoingia kwenye mkataba awali.
 
Ni mipango ya kuchota pesa za serikali kupitia kuvunjwa kwa mkataba baina ya serikali na mkandarasi.
Itaonekana kwamba serikali imeshindwa kuendelea na mradi hivyo inavunja mkataba waje na mkandarasi na kupoteza stahiki zote walizoingia kwenye mkataba awali.
got ya,..true
 
Hapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Mradi ule ulikuwa ni kwa maslahi ya JK period.unaacha kuimarisha bandari ya mtwara na tanga unajennga bandari ya bagamoyo?
 
Ninadhani ni muhimu hiyo bandari iwe mtwara...sio bagamoyo.....Mtwara narurally ina kina kirefu...Pia kwa maana ya Location imekaa strategically zaidi

Bagamoyo was a waste...watu walikuwa wanajali kwao
...mimi pia nikipendelea na nikidhani hivo, lkn usanifu ulionesha kuwa ni bagamoyo tu, ndipo pana mazingira ambayo kitaalam yanatoa fursa ya ujenzi wa bandari kubwa na ya kisasa, huku bandari zingine zote zikiwa zina mapungufu ya aina moja au ingine, ktk mazingira ya ujenzi wa bandari kubwa....
 
Hapa sawa. Na aliyetoa amri ya kujengwa bandari hiyo ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na ubadhirifu wa mali ya umma. fedha nyingi sana ya walipa kodi imeshapotea kwenye ujinga huo.

Naanza kuona sababu za wageni wanafiki kutokukauka kwa Magufuli.
Binafsi Sidhani Kama Ni Busara KUSITISHA UJENZI BANDARI YA DARESALAAM Imeelemewa Saana , Haina Eneo Sioni Dhambi Kujengwa Bandari Bagamoyo Ni Sehemu ya Tanzania Na Ilikuwepo Kwenye Mipango.
Daresalaam Hakuna Sehemu ya Miundombinu.
KUINGIA Bandarini Leo Inachukua Lorry Hata 6 Hours Foleni Baadae Itakuwaje?
Mizigo Ikiingezeka???
Tunafanya Mambo Kwa Hisia Na Chuki Tu.
Daresalaam, Mtwara Ni Tanzania Bagamoyo Ni Tanzania Pia
 
Hata Ombeni Sefue Ni Vema Akapumzishwe
Sijaona Ikiwa Naye Ana Kasi Yoyote Maana Haya Yalifanyika Akiwa Ikulu
 
Mradi ule ulikuwa ni kwa maslahi ya JK period.unaacha kuimarisha bandari ya mtwara na tanga unajennga bandari ya bagamoyo?

Bandari ya Mtwara kivyake na ile ya Tanga kivyake.

Habari imekaaa kiudaku zaidi na siwezi kuishadidia mpaka nione tamko rasmi la serikali.

Strategically Bagamoyo Port ni better kuliko Dar.
 
Last edited:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom