Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,786
yani wewe sijui unauzalendo upi!!? hizo hela za wawekezaji kula au fedha ambazo tungepoteza kwenye ujenzi huo bora kipi, kweli maghufuli amezungukwa na maadui wengi ndani ya chama... bora june ifike achukue rungu kabisaHapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.