Serikali yasogeza mbele sheria ya ukomo wa elimu kwa waandishi wa habari

Serikali yasogeza mbele sheria ya ukomo wa elimu kwa waandishi wa habari

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Serikali imetangaza kuongeza mwaka mmoja mbele kabla ya kuanza kutumika sheria ya elimu kuanzia ngazi ya Stashahada kwa waandishi wa habari kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya Habari ya Mwaka 2016.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipokuwa akizungumza na wahariri wa Habari makao makuu ya TCRA, leo Alhamisi Februari 10, 2022.

“Mimi nikiwa Waziri, nilisimamia ile Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari, mazingira ya wakati kule na sasa ni tofauti, mwaka 2016 na 2022 ni tofauti.

“Hili la elimu tutoe mwaka mmoja ili tuone nini cha kufanya huko mbele.

“Niwaombe wanahabari tuaminiane, mimi mwandishi wa habari mwenzenu. Hiki ninachokieleza ndicho kipo kwenye moyo wa Rais Samia na uelekeo wa serikali ya awamu ya sita, tufanye kazi Pamoja.

“Tutatumia busara, tutashikamana kwa pamoja na nia ya Serikali ya awamu ya sita ni nzuri. Mimi najua tulikotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko ni ndefu. Tunaomba tuaminiane tutafika.”

Awali, sheria hiyo ilikuwa ianze kutumika Desemba mwaka 2021, kwa waandishi kuwa na elimu kuanzia ngazi ya stashahada.
 
Hicho kiwango ni sawa mwandishi wa habari kuwa nayo, ila ifahamike kwamba fani ya uandishi ni pana na ni kubwa kama bahari. Uandishi japo una kanuni na miongozo yake ni bora iwe na sheria yake, hicho kiwango cha elimu isiwe kikwazo bali iwe sifa tu zaidi kwani uandishi ni ubunifu na utashi wa mwanataaluma pekee. Kikubwa ni kufuata maadili ya taaluma tu
 
Huyu ndiye alikuwa Kiherehere cha kufanya uchafu wote ule , huyu alishirikiana na kundi lake kuhujumu kila vyombo vya habari vilivyokuwa tofauti na matakwa ya aliyemtuma , huyu alichangia kuficha kila habari kuhusu chochote ikiwemo Corona .

Ni lazima huyu ajadiliwe hapa ili labda atajitokeza na kuwataja wote waliokuwa wanamtuma , walio hai na Waliokufa , hatuwezi kuwa na viongozi kwenye utumishi wa Umma wenye makandokando kama ya Dr Abbas .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO

598FF1E6-7750-45D1-B692-A9EE327AB53E.jpeg
 
Huyu ndiye alikuwa Kiherehere cha kufanya uchafu wote ule , huyu alishirikiana na kundi lake kuhujumu kila vyombo vya habari vilivyokuwa tofauti na matakwa ya aliyemtuma , huyu alichangia kuficha kila habari kuhusu chochote ikiwemo Corona .

Ni lazima huyu ajadiliwe hapa ili labda atajitokeza na kuwataja wote waliokuwa wanamtuma , walio hai na Waliokufa , hatuwezi kuwa na viongozi kwenye utumishi wa Umma wenye makandokando kama ya Dr Abbas .Ajiuzulu arudi mitaani ajifunze uungwana .

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Huwa unawaza Kwa kutumia utumbo

USSR
 
Serikali imetangaza kuongeza mwaka mmoja mbele kabla ya kuanza kutumika sheria ya elimu kuanzia ngazi ya Stashahada kwa waandishi wa habari kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya Habari ya Mwaka 2016.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipokuwa akizungumza na wahariri wa Habari makao makuu ya TCRA, leo Alhamisi Februari 10, 2022.

“Mimi nikiwa Waziri, nilisimamia ile Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari, mazingira ya wakati kule na sasa ni tofauti, mwaka 2016 na 2022 ni tofauti.

“Hili la elimu tutoe mwaka mmoja ili tuone nini cha kufanya huko mbele.

“Niwaombe wanahabari tuaminiane, mimi mwandishi wa habari mwenzenu. Hiki ninachokieleza ndicho kipo kwenye moyo wa Rais Samia na uelekeo wa serikali ya awamu ya sita, tufanye kazi Pamoja.

“Tutatumia busara, tutashikamana kwa pamoja na nia ya Serikali ya awamu ya sita ni nzuri. Mimi najua tulikotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko ni ndefu. Tunaomba tuaminiane tutafika.”

Awali, sheria hiyo ilikuwa ianze kutumika Desemba mwaka 2021, kwa waandishi kuwa na elimu kuanzia ngazi ya stashahada.
Akina Kitenge maskini....
 
Hicho kiwango ni sawa mwandishi wa habari kuwa nayo, ila ifahamike kwamba fani ya uandishi ni pana na ni kubwa kama bahari. Uandishi japo una kanuni na miongozo yake ni bora iwe na sheria yake, hicho kiwango cha elimu isiwe kikwazo bali iwe sifa tu zaidi kwani uandishi ni ubunifu na utashi wa mwanataaluma pekee. Kikubwa ni kufuata maadili ya taaluma tu
Waziri anavuruga historia kwa makusudi, tuko awamu ya tano rais wa sita, vipiiii?
 
Hicho kiwango ni sawa mwandishi wa habari kuwa nayo, ila ifahamike kwamba fani ya uandishi ni pana na ni kubwa kama bahari. Uandishi japo una kanuni na miongozo yake ni bora iwe na sheria yake, hicho kiwango cha elimu isiwe kikwazo bali iwe sifa tu zaidi kwani uandishi ni ubunifu na utashi wa mwanataaluma pekee. Kikubwa ni kufuata maadili ya taaluma tu
Rais Mkapa alikuwa mwandishi wa habari kabla ya kuingia siasa. Alipokuwa Rais, siku moja aliwaambia waandishi wa habari wa Tanzania kuwa wako 'boring' kufuatana na maswali wanayouliza kwenye mahojiano. Ni kweli ukilinganisha mahojiano ya waandishi wetu na wa mashirika mengine ya habari kuna tofauti kubwa. Sasa kwa nini tung'ang'anie kuwa na viwango vya chini kitaaluma?
 
Rais Mkapa alikuwa mwandishi wa habari kabla ya kuingia siasa. Alipokuwa Rais, siku moja aliwaambia waandishi wa habari wa Tanzania kuwa wako 'boring' kufuatana na maswali wanayouliza kwenye mahojiano. Ni kweli ukilinganisha mahojiano ya waandishi wetu na wa mashirika mengine ya habari kuna tofauti kubwa. Sasa kwa nini tung'ang'anie kuwa na viwango vya chini kitaaluma?
Ni yeye huyohuyo alipohojiwa na mwandishi wa habari kipindi cha Hard Talk alipanic!
 
Ni yeye huyohuyo alipohojiwa na mwandishi wa habari kipindi cha Hard Talk alipanic!
Hiyo inakazia haja ya kuwa na waandishi waliokolea kwenye taaluma. Asinge-panic kama angekuwa akihojiwa na waandishi wa Tanzania kwa kuwa mahojiano yangekuwa ya hadhi ya chini. Huyo mwanahabari aliyekuwa akimhoji alikuwa ameiva kwenye taaluma. Hiyo ndiyo sababu ya kutaka waandishi wetu waive kwenye taaluma yao.
 
Serikali imetangaza kuongeza mwaka mmoja mbele kabla ya kuanza kutumika sheria ya elimu kuanzia ngazi ya Stashahada kwa waandishi wa habari kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya Habari ya Mwaka 2016.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipokuwa akizungumza na wahariri wa Habari makao makuu ya TCRA, leo Alhamisi Februari 10, 2022.

“Mimi nikiwa Waziri, nilisimamia ile Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari, mazingira ya wakati kule na sasa ni tofauti, mwaka 2016 na 2022 ni tofauti.

“Hili la elimu tutoe mwaka mmoja ili tuone nini cha kufanya huko mbele.

“Niwaombe wanahabari tuaminiane, mimi mwandishi wa habari mwenzenu. Hiki ninachokieleza ndicho kipo kwenye moyo wa Rais Samia na uelekeo wa serikali ya awamu ya sita, tufanye kazi Pamoja.

“Tutatumia busara, tutashikamana kwa pamoja na nia ya Serikali ya awamu ya sita ni nzuri. Mimi najua tulikotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko ni ndefu. Tunaomba tuaminiane tutafika.”

Awali, sheria hiyo ilikuwa ianze kutumika Desemba mwaka 2021, kwa waandishi kuwa na elimu kuanzia ngazi ya stashahada.
Dr Kumbuka anapiga PhD ya Uandishi wa Habari. Chezeya sheria ww
 
Serikali imetangaza kuongeza mwaka mmoja mbele kabla ya kuanza kutumika sheria ya elimu kuanzia ngazi ya Stashahada kwa waandishi wa habari kwa mujibu wa Sheria ya Huduma ya Habari ya Mwaka 2016.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alipokuwa akizungumza na wahariri wa Habari makao makuu ya TCRA, leo Alhamisi Februari 10, 2022.

“Mimi nikiwa Waziri, nilisimamia ile Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari, mazingira ya wakati kule na sasa ni tofauti, mwaka 2016 na 2022 ni tofauti.

“Hili la elimu tutoe mwaka mmoja ili tuone nini cha kufanya huko mbele.

“Niwaombe wanahabari tuaminiane, mimi mwandishi wa habari mwenzenu. Hiki ninachokieleza ndicho kipo kwenye moyo wa Rais Samia na uelekeo wa serikali ya awamu ya sita, tufanye kazi Pamoja.

“Tutatumia busara, tutashikamana kwa pamoja na nia ya Serikali ya awamu ya sita ni nzuri. Mimi najua tulikotoka, wakati mwingine safari ya mabadiliko ni ndefu. Tunaomba tuaminiane tutafika.”

Awali, sheria hiyo ilikuwa ianze kutumika Desemba mwaka 2021, kwa waandishi kuwa na elimu kuanzia ngazi ya stashahada.
Ooh Nchi ya Tanzania, ni lini utatoka kwenye huu usingizi mzito na kuanza kupiga hatua za maendeleo!?

Pale ambapo sifa za kuwa mtunga sheria ni kujua kusoma na kuandika lakini msimamizi wa sheria lazima awe na elimu walau ya kidato cha nne, mtafsiri wa sheria lazima awe walau na shahada.

Pale ambapo mtu anayejua kusoma na kuandika anaongoza na kusimamia Maprofesa na Madaktari wa falsafa.

Pale ambapo mtu anayejua kusoma na kuandika anatoa maelekezo ya kitaalamu kwa Matabibu na Wahandisi.

Pale ambapo siasa inatawala taaluma....
 
Back
Top Bottom