Aiseeeh mie nkajua wale wa advanced Diploma, kumbe degree? TobaaaahHukusikia Kuna walimu wa Arts walipunguzwa kutoka sekondari kwenda msingi? [emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usijar bhana, kila kitu kitakua sawa, kuwa mpole mbna mda bado sana.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] mkuu unaniaribia
Inasemekana ni original, kwasababu ni ku scan na kutuma onlinemkuu unawekaje original??? mara nyingi ni certified copy
original unapeleka siku ya kwenda kuripoti ikitokea umeitwaInasemekana ni original, kwasababu ni ku scan na kutuma online
kwani uliambiwa uki scan kikawa mfumo wa pdf ndio kinakuwa original?original unapeleka siku ya kwenda kuripoti ikitokea umeitwa
ndio mm hichiNaandikiwa bad credentials anayejua jamani[emoji17]
hapana ila ni utaratibu kutuma certified copy za vyeti.kwani uliambiwa uki scan kikawa mfumo wa pdf ndio kinakuwa original?
ndio mm hichi
Nimekuuliza swali ulipaswa ujibu kulingana na shida yako.Sirahisi kama ulivyoandika ila nishafajikisha
si kweli hii siyo loans board.na loans board wanataka certified copies maana wao hawakagui physical, huku ukichaguliwa utapeleka vyeti physical vihakikiwe.hapana ila ni utaratibu kutuma certified copy za vyeti.
haya kampe mwana sheria hela ya kulahapana ila ni utaratibu kutuma certified copy za vyeti.
Kwakuwa ni online barua haiwezi kupotea labda ingekuwa kutuma maombi kwa njia ya posta ndio ungeweka hizo posti kodi ili kusaidia barua ifike kunako husika bila kupoteaWakuu kwenye anuani ya tamisemi tunaweka na hii no 41118 DODOMA?
msaada sion sehemu ya user mpya kwenye panel yangu ikoje kwa mtumiaji wa kwanza
"No Regions with deficiet found" hatari sana
machaguo kada ya afya kwenye kituo cha kazi bado yanagoma jamni… msaada tunatokaje
haipo aisee mpaka nazima pc nanza upyaKwenye yale maelezo kuna sehemu wameandika
Maneno Bofya hapa yako nadhan sjui namba ngap pale,ukibonyeza tu hapo inakuletea usajil mpya
haipo aisee mpaka nazima pc nanza upya
hapana ila ni utaratibu kutuma certified copy za vyeti.