Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Anaehitaji msaada apite mbele
IMG-20210511-WA0011.jpg
 
Wakuu kama hujajitolea ,na barua ya kujitolea huna ,maombi yanaweza kukamilika kwa asilimia mia ? Na ukatuma
 
Wakuu msaada apo nilifungua account kipindi cha nyuma lkn nikiingia inaniambia ivyo shida nn
JPEG_20210511_182127_835425230764186560.jpg
 
Tumeongeza vifaa tiba kwenye mahospitali, mbona sioni mainjinia wa vifaa tiba wakiajiriwa? Hawapo au vikiharibika tutatafuta wataalamu kutoka nje?
 
Anaekutana na hii kitu anambie au ni kwangu tyu[emoji849][emoji849][emoji45]

Screenshot_20210511-165744_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom