Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Yangu nimekamilisha tayari iko hivo
JPEG_20210512_182552_7152439561930991969.jpg
 
Habari ya mchana huu wana jukwaa.

Mimi nimefanikiwa kufanya registration ila kuna kipengele nimekwama. Kwenye sehemu ya kuchaguwa mkoa na kituo ambacho unataka ukafanye kazi hapo nimeshindwa.

Nijifungua sehemu ya SELECT REGION, sipati option ya mikoa, kadhalika na sehemu ya SELECT COUNCIL na sehemu ya SELECT HEALTH FACILITY.

Msaada wenu tafadhali.View attachment 1779669View attachment 1779672
Rudi kwenye taarifa binafsi kwenye kuchagua aina ya maombi utakuwa umeweka siyo isome vizuri
 
TAMISEMI AWAPOKEI SIMU YANI HATA KIDOGO WAMETUWEKEA KAMA MAPAMBO JAMANI UKU TUNA SHIDA SANA KWENYE MFUMO OTEAS
Waziri alisema zitakuwa zinapokelewa, kwanini wazingue?
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Ummy Mwalimu ametangaza ajira za walimu 6,949 wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa Afya 2,726

Nafasi hizi ni kujaza nafasi wazi kutokana na vifo, kustaafu, kuacha kazi au kuhamia sekta nyingine. Waombaji wanatakiwa kuomba kupitia tovuti ya tamisemi, ajira.tamisemi.go.tz kuanzia leo tarehe 9-23 mei, 2021

Maelekezo.
  • Maombi ya ajira za UALIMU , yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Maombi ya ajira za AFYA, yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba
  • Ingiza namba ya kidato cha Nne ikiwa na mwaka wa kuhitimu kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
  • Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
  • Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
  • Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
  • Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
Kwa Msaada
Tafadhali piga simu namba : 026-2160210
View attachment 1779597
Sielewi hii kitu, hivi ni kwa Afya tu au hata watu wa Elimu wanapititia hii. kwenye kuichagua vituo, vituo havijitokezi au vimeshajaa tayari
 
Naomba kuuliza wakuu cv tunaiattach wap maana naona inahitajika
Sina uhakika ila nadhan ile hatua ya Kwanza ambayo unajaza taarifa zako binafsi Kama jinsia, level ya elimu yako, namba ya simu, namba ya nida, na mengine ndio usimama Kama CV
 
Back
Top Bottom