Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afya ni NACTEAlie fanikisha kujisajili afya jmn, nimekwama kipengele cha NACTE / EQUIVALENT, quote hapa
Unatakiwa update tu taarifa zako maana ushajisajiliKwa wale wa afya hapo shida nn make nakwamia hapo kukamilisha usajili kwenye icon ya HifadhiView attachment 1779036
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
Mfumo utakuwa jam kuwa mpole baadae utaachiamfumo wa hovyo kwanini kila saa inasemeka
Unauthorized User
Rudi kwenye taarifa binafsi kuna mahali utakuwa hujakamilishaMsaada Kwneye MACHAGUO YA MUOMBAJI hapafanyi kazi
View attachment 1779636
Hiyo ni mtandao umeelemewa jaribu mda tofauti tofauti itakubaliNaambiwa hivi nikilogin,shida ni niniView attachment 1779654
Rudi kwenye taarifa binafsi kwenye kuchagua aina ya maombi utakuwa umeweka siyo isome vizuriHabari ya mchana huu wana jukwaa.
Mimi nimefanikiwa kufanya registration ila kuna kipengele nimekwama. Kwenye sehemu ya kuchaguwa mkoa na kituo ambacho unataka ukafanye kazi hapo nimeshindwa.
Nijifungua sehemu ya SELECT REGION, sipati option ya mikoa, kadhalika na sehemu ya SELECT COUNCIL na sehemu ya SELECT HEALTH FACILITY.
Msaada wenu tafadhali.View attachment 1779669View attachment 1779672
Waziri alisema zitakuwa zinapokelewa, kwanini wazingue?TAMISEMI AWAPOKEI SIMU YANI HATA KIDOGO WAMETUWEKEA KAMA MAPAMBO JAMANI UKU TUNA SHIDA SANA KWENYE MFUMO OTEAS
Acha uzushi!!! wenzio wako serious ujue!!!View attachment 1782432
Mzigo mpya wizara ya Afya
Mwamba kumbe password ilikubali?Wakuu, kwenye option ya kujaza chuo Mbona University of Iringa HAKIPO? au ni kwangu tu kuna changamoto hii? Msaada wenu tafadhali
Asante.
View attachment 1782013
Hili tangazo umelipata wapi ?
Sielewi hii kitu, hivi ni kwa Afya tu au hata watu wa Elimu wanapititia hii. kwenye kuichagua vituo, vituo havijitokezi au vimeshajaa tayariWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Ummy Mwalimu ametangaza ajira za walimu 6,949 wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa Afya 2,726
Nafasi hizi ni kujaza nafasi wazi kutokana na vifo, kustaafu, kuacha kazi au kuhamia sekta nyingine. Waombaji wanatakiwa kuomba kupitia tovuti ya tamisemi, ajira.tamisemi.go.tz kuanzia leo tarehe 9-23 mei, 2021
Maelekezo.
Kwa Msaada
- Maombi ya ajira za UALIMU , yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
- Maombi ya ajira za AFYA, yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
- Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba
- Ingiza namba ya kidato cha Nne ikiwa na mwaka wa kuhitimu kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
- Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
- Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
- Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
- Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
Tafadhali piga simu namba : 026-2160210
View attachment 1779597
Kama umejitolea haina haja ya cv taarifa zakujitolea zinakuwa nndo cv toshaNaomba kuuliza wakuu cv tunaiattach wap maana naona inahitajika
Umeandika masomo gani ya kufundishia??
Umeandika masomo gani ya kufundishia??
Mkuu vipi kwa mtu ambaye masomo ya kufundishia hayaonekani?Umeandika masomo gani ya kufundishia??
Attach palipoandikwa attach baruaHili swali nimeliuliza sana lakini halina majibu
Sina uhakika ila nadhan ile hatua ya Kwanza ambayo unajaza taarifa zako binafsi Kama jinsia, level ya elimu yako, namba ya simu, namba ya nida, na mengine ndio usimama Kama CVNaomba kuuliza wakuu cv tunaiattach wap maana naona inahitajika