captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
mfano malecturer na nyingine uko wanaofundisha vyuo GPA lazima iwe kubwaHuu ni uongo bhana……
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano malecturer na nyingine uko wanaofundisha vyuo GPA lazima iwe kubwaHuu ni uongo bhana……
Interview afya na ualimu hamna wala msijisikie vibaya labda mwakani ila MWAKA huu utumishi hawajajipanga.Huwa ni siku moja maana wanafanya kwa kanda na vituo ni vingi sana!
Kwahiyo watatumia njia kupata wahusika wa hizo nafasi?Interview afya na ualimu hamna wala msijisikie vibaya labda mwakani ila MWAKA huu utumishi hawajajipanga.
Mm sijui jaribu kujiconect na watu was utumishi watakumegea ubuyu sema watu humu wabishiKwahiyo watatumia njia kupata wahusika wa hizo nafasi?
mkuu hata uwe na gpa ya 2.0 unajiiliwa.Bila gpa ya 3.5 and above nasikia "application failed " unakutana nayooo🤔
Huwez omba mikoa tofauti kwa kazi moja, labda tuseme mwl wa kiingereza ukaomba Tanga na Kigoma hapana, ila unaweza kuomba mwl wa kiingereza Tabora, halafu ukaomba mwl wa kiswahili SingidaSasa mbona kwenye ajira portal wamezigawa kila mkoa kwa kila somo
Nawe muongo sasa uone kiingereza halfu kwa acc hiyo ikuruhusu tena kuomba kwa some lingine hamna hizo shughuli utumishiHuwez omba mikoa tofauti kwa kazi moja, labda tuseme mwl wa kiingereza ukaomba Tanga na Kigoma hapana, ila unaweza kuomba mwl wa kiingereza Tabora, halafu ukaomba mwl wa kiswahili Singida
Jamani si unajaza detail zako ndani ya mfumoYaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Nilikua sina
😁😁😁 mapapai daah JF rahaa sanaBora waalimu wapimwe.
Nilikuwa nashangaa sana walivyokuwa wanawabebelea tu kama mapapai.
Ntafuatilia hiliInterview afya na ualimu hamna wala msijisikie vibaya labda mwakani ila MWAKA huu utumishi hawajajipanga.
Hakuna mkoa usio na upungufu. Mkoa wa dodoma tuu una upungufu wa walimu zaidi ya elfu 9000 wa shule za msingi tuu alafu wanatoa ajira 85 tuu za walimu wa msingi mkoa mzima si kichekesho....Wanaangalia uhqba uko wapi hizi nafasi kila halmashauri au mkoa umetoa takwimu za upungufu wake na zimetangazwa kulingana na uoungufu wa m
oa husika,hivyo pia zingatia ngazi ya elimu stashahada (diploma) nq shahada (degree)
Hawana hela mkuu za kuajiri kwa mkupuo kumaliza changamoto zote ni mdogo mdogoHakuna mkoa usio na upungufu. Mkoa wa dodoma tuu una upungufu wa walimu zaidi ya elfu 9000 wa shule za msingi tuu alafu wanatoa ajira 85 tuu za walimu wa msingi mkoa mzima si kichekesho....
aziaSasa ni mwendo wa kukandwa hakuna mambo ya kupangiwa bila interview 😂😂😂😂
😂😂😂Kaka Mungu akutie nguvu kuwaelekeza walimu ni Kazi sana
Huu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.
hakikisha vyeti vyako vna muhuri wa mwanasheria na tangazo limeeleza hili
Toa copy vyeti vyako harafu hizo copy ndo uka'certify Kwa mwanasheria.
Kumbuka kwenda na original certificates Kwa mwanasheria maana kabla haja'certify hiyo copy lazima aone original yake kwanza.
Hvikwa hz ajira za utumishi, cheti ni lazma ku certify kwa mwanasheria? au naweza ku certify hata mahakaman na wakakikubalia?Fanya edit kuweka hvy ambavyo n certified, halafu Tulia fanya mambo mengn, utavikuta vipo.
Ajira zote zinazotangazwa na utumishi ni interview 100%Mwenye mjomba pale utumishi
hivi na walimu watapigwa interview au ni sandakalawe