Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
C unaenda pale kwenye forget password auPassword inazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C unaenda pale kwenye forget password auPassword inazingua
Certified form four ,six ,Chet cha chuo na transcript...OK, kwahy kwenye academic qualifications ulikuwa umeweka vyeti gn tangu mwanzo
Vyovyote vile cha msingi ni u-signBarua nitype kwa mashine au niandike kwa mkono then niipeleke pdf? Msaada wadau
Chet cha chuo ndio ualimu?Certified form four ,six ,Chet cha chuo na transcript...
Soma tangazo mkuu Lina maelezo yoteBarua nitype kwa mashine au niandike kwa mkono then niipeleke pdf? Msaada wadau
Na pia usisahau kuisign iyo barua ni muhimu na pia hakikisha attachment zako zote ziwe kwenye pdfBarua nitype kwa mashine au niandike kwa mkono then niipeleke pdf? Msaada wadau
Nimelimaliza nikarudia tena,ila hapo sjaoaelewa. Wamesema barua ya maombi itumwe kw anuani hyooooooo. Sas hapo ndipo napouliza hyo barua iwe ya kuandika kwa mkono au typed?Soma tangazo mkuu Lina maelezo yote
Kama wameandika barua iandikwe Kwa kiingereza au Kiswahili utachagua mwenywe pia kama hawajasema NI Kwa format gani hapo utachagua wewe mwenyweBarua nitype kwa mashine au niandike kwa mkono then niipeleke pdf? Msaada wadau
Iyo itype Tu mkuu, pia ukiandika Kwa mkono Sawa Tu, utona mwenywe chaguo zuri hapoNimelimaliza nikarudia tena,ila hapo sjaoaelewa. Wamesema barua ya maombi itumwe kw anuani hyooooooo. Sas hapo ndipo napouliza hyo barua iwe ya kuandika kwa mkono au typed?
Jibu mbona lilo wazi inamaana kwamba upungufu ulikuwa mwingi kwenye walimu wa level ya degree kuliko hao unaowaongeleaNilivyopitia mimi
Hao daraja la IIIB ni diploma na daraja la IIIC ni degree. Sasa rudi kasome tena utaona diploma wamepewa nafasi chache sana ambazo ni Food and Nutrition na Commerce
Ukija kwa hao daraja la IIIC wao ndio wenye degree na ndio wamepewa nafasi nyingi kwenye
FIZIKIA
MATH
GEOGRAPHY
BAIOLOJIA
Swali langu likawa mbona hayo masomo wapo pia wa Diploma na hawajaweka hapo?
Nope kigezo cha GPA sidhani wangeweka kwenye tangazo zipo Kada ambazo wanahitaji GPA kubwaBila gpa ya 3.5 and above nasikia "application failed " unakutana nayooo🤔
Wapigie utumishi kesho watakusaidia maana ukijaribu kureset huwa inazingua sana sana ! Wapigie mapemaKwaiyo hakuna wa kunisaidia nimesahau username na passwords Kila nikijaribu inakataa
Pengine, itategemea sasa na ratiba zao ila mara nyingi kama Kada NI nyingi huwa wanakuwaga na ratiba tofauti tofautiNadhani usaili itakuwa siku 1 itakuwa ngumu but let's wait.
Huu ni uongo bhana……Bila gpa ya 3.5 and above nasikia "application failed " unakutana nayooo🤔
Huwa ni siku moja maana wanafanya kwa kanda na vituo ni vingi sana!Pengine, itategemea sasa na ratiba zao ila mara nyingi kama Kada NI nyingi huwa wanakuwaga na ratiba tofauti tofauti
Tuma email ict@ajira.go.tzKwaiyo hakuna wa kunisaidia nimesahau username na passwords Kila nikijaribu inakataa